Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Ile misiba MFULULIZO ITAKUWA ILIMCHANGANYA.
hata alivyokuwa anakaa kwenye msiba wa kijazi ILIKUWA KUNA NAMNA .
ila mwanaume HUFA NA MAUMIVU YAKE.
ila wakenya ni waongo sana.
"Eti alikuwa nairobi."
Ng'ombe wa museven nyie
 
Hata kuna wakati walimshauri "mzee vaa barakoa" ila yeye akasema hapana, sitavaa na hata walionizunguka sitaki wavae. Kwa kutojua kwetu hatukulalama.

..Magufuli alikuwa anapenda "ligi" na wapinzani na Tundu Lissu.

..labda hao wangekuwa wanapinga barakoa, Magufuli akiamrisha kila Mtanzania awe anavaa barakoa.

..katika hili huenda wapinzani na Tundu Lissu wanastahili lawama.
 
Pamoja na majonzi ya kuondokewa na mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.

Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe Cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadae iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.

Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.

Hi misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.

Naamini si CORONA Wala Mabeberu

Alale salama.
Comments reserved
 
..wanaodai amefia Nairobi nao wanasema wameambiwa na madaktari waliokuwa wakimtibu.
Walete ushahidi huo. Taarifa zinazojulikana ni kwa Magufuli kwenda muhimbili JKI tarehe 28 Feb,
harafu akeanda tena JKI tarehe 6 March, na mwishoni kupelekwa Mzena
 
Ile misiba MFULULIZO ITAKUWA ILIMCHANGANYA.
hata alivyokuwa anakaa kwenye msiba wa kijazi ILIKUWA KUNA NAMNA .
ila mwanaume HUFA NA MAUMIVU YAKE.
ila wakenya ni waongo sana.
"Eti alikuwa nairobi."
Ng'ombe wa museven nyie
kwa nini unabisha hakuwa nairobi?Nairobi hakurudiki?kama alienda kimya kimya asingeweza kurudi kimya kimya?
 
Roho yangu ilimuonea sana huruma nilipomuona akiwa pua wazi ktk msiba wa kijazi, sincerely roho yangu iliuma nikajua sasa mzee hatakwepa haya maradyi na soon tu anaondoka na kwrli kaondoka.
Kosa kubwa kuliko yote aliyoyafanya ni alipoidharau corona na kufuata ushauri wa Msukuma

Tulikuwa tunasema anajiamini nini au ameshachanjwa
 
Pamoja na majonzi ya kuondokewa na mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.

Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe Cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadae iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.

Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.

Hi misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.

Naamini si CORONA Wala Mabeberu

Alale salama.
Upuuzi huu uishe, baada ya mazishi tunapenda kinachowaua viongozi ni nini!
Uwongo hatuutaki, Wala slogan yenu ya tatizo la kupumua.

Corona siyo uzinzi, siyo ugoni kwamba Rais, waziri, au katibu mkuu kiongozi atapata kashfa na aibu.
Kama siyo Corona, mbona huko nyuma hawakufa viongozi mfululizo hivi?

Endeleeni kuipet pet Corona iwamalize
 
Ni kweli ugonjwa wake wa moyo niliwahi kusikia...kipindi chake cha kampeni 2015.

Alafu Mara ghafla likazimwa...!
 
..Magufuli alikuwa anapenda "ligi" na wapinzani na Tundu Lissu.

..labda hao wangekuwa wanapinga barakoa, Magufuli akiamrisha kila Mtanzania awe anavaa barakoa.

..katika hili huenda wapinzani na Tundu Lissu wanastahili lawama.
Mkuu elekeza lawama panapostaili. Kati yao nani alikuwa sahihi? Jiwe alitakiwa kuchukua ushauri wa Lissu bila kuleta ligi,usilete ligi kwenye kifo
 
Alikuwa muhimbili akatoka.
Akaenda hapo mzena...
Kama wana uhakika magufuli alikuwa nairobi watoe.
kenya wanapenda sana kuzusha vitu vya tanzania.
Ng'ombe wa museveni hao
kwa nini unabisha hakuwa nairobi?Nairobi hakurudiki?kama alienda kimya kimya asingeweza kurudi kimya kimya?
 
Nie nina maradhi ya kisukari na presha na nimepata korona na inshallah nimepona.

Msiwatabilie na kuwasemea watu vitu msokuwa na experience navyo.
Corona na ugonjwa wa moyo ni kama uji na mgonjwa,ukishakua na magonjwa sugu kama hili la jiwe na ukapigwa na coona hutoboi lazima parapanda italia tu.
 
Alikuwa muhimbili akatoka.
Akaenda hapo mzena...
Kama wana uhakika magufuli alikuwa nairobi watoe.
kenya wanapenda sana kuzusha vitu vya tanzania.
Ng'ombe wa museveni hao
Dokumenti za mhimbili unazo? halafu wakupe ushahidi wewe au nani mwingine anayeutaka?
 
Roho yangu ilimuonea sana huruma nilipomuona akiwa pua wazi ktk msiba wa kijazi, sincerely roho yangu iliuma nikajua sasa mzee hatakwepa haya maradyi na soon tu anaondoka na kwrli kaondoka.
Alichezea kamari maisha yake kwa sababu ya popularity ya kisiasa sasa imekula kwake let's move on
 
Back
Top Bottom