Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Inashangaza kidogo kwamba rais Mkapa alikuja kurekebisha chaos iliyoachwa na Mwinyi, na JPM akaja kurekebisha chaos iliyoachwa na JK. Mi binafsi nauona ubora wa rais Magufuli katika kufikiri kwake nje ya box. Na hilo ndilo lililomtofautisha na Mkapa. Mkapa alijenga institutions, lakini kama ni mfuatiliaji wa mambo, utagundua kuwa wanaoitwa "washirika" wetu huko nje pia walitaka (na walikuwa wakitushawishi) tuweke hizo institutions, ili uporaji wao upate uhalali wa kisheria. Kwa mfano, kwa bepari mnyonyaji, ni rahisi kudeal na semi autonomous agencies za serikali zinazodeal na madini (wakideal na mkurugenzi wa hiyo taasisi na watu flan flan mifukoni mwao, wakasign contract kwa niaba ya serikali, inakuwa imekwisha hiyo).

So mzee Mkapa alikutana na ubeberu sophisticated, uliotake advantage ya hali yetu mbaya ya kiuchumi, kuharibu kila mzizi wa kujitegemea tuliokuwa nao, ili tuzidi kuwa tegemezi. Ubora wowote wa kiongozi unapimwa au upimwe kwa namna gani nchi inazidi kujitegemea.
Na ndo kelele zote kutoka kwao wasema wamenyimwa access.

Wamegharamia mambo mengi lakini ikawa wamepoteza.

Sasa huu ni mtihani tuloachiwa.

Ni jukumu la serikali ya mama Samia kuhakikisha tunarekebisha panapohitajika na tuiangalie uzuri sera yetu ya mambo ya nje.

Pili, tuchunge sana adui zetu wa ndani na wa nje ambao wamefanya taswira ya nchi yetu iwe mbaya sana kwa sasa kwa kuandika habari nyingi hasi kuliko chanya.

Serikali kupitia bwana Abbas wawakaribishe vyombo vya habari vya Tanzania na nje kujionea yalofsanywa na serikali hii na kuvihimiza vyombo vya habari vya Tanzania kuhakikisha vinashindana vyombo vyombo vya habari vya Kenya.

Naamini vyombo vya habari vya Kenya vinaipenda sana Tanzania na vimekuwa vikiifuatilia sana nchi hii, lakini huu sasa ni wakati wa kuheshimiana.

Serikali ihakikishe inatumia uzuri mitandao ya kijamii na ofisi za kibalozi kueneza ujumbe kuhusu Tanzania kiufasaha na kuondokana na kutoleana maneno ya kuleta sintofahamu au "confrontational comments" khasa katika majukwaa ya kimataifa.
 
Huyo daktari anasemaje kuhusu hatari ya kupiga nyungu kwa mgonjwa wa moyo?
Sikumwuliza hilo, ila inajulikana kuwa Sauna haina madhara yoyote kwa mgonjwa wa moyo. hakuna ushahidi to the contrary.
 
Vetting ya Tanzania iko very poor,unaruhusu vipi mtu mwenye serious heart problems kuwa Rais wa nchi? imetucost sana
TISS wamejivua nguo sana katika hili, hawakufanya kazi yao sawasawa! Kwanza hata kama isingekuwa mgonjwa wa moyo hakupaswa kabisa kuwa Rais, kwa maana alikuwa anatoka nchi jirani! TISS haikututendea haki!
 
..halafu it doesnt make sense mtu ana tatizo la MOYO halafu anatoka Jakaya Kikwete Cardiac Institute anakwenda kutibiwa Mzena Hospital. daktari aliyemuandikia hiyo discharge / transfer kwa maoni yangu atakuwa ni mwendawazimu.
Ukijiongeza utagundua kwamba kumpeleka mzena ilikuwa tayari kakata moto so akahifadhiwe kwa hatua zaidi za kiusalama
 
Je, yawezekana pia hayo matatizo yake ya moyo ndo yaliyomfanya asiwe anasafiri sana hususan nchi za nje?

Manake wakati mwingine ujinga unaweza ukamfanya mtu amhukumu kimakosa mtu mwingine.

Sisi tulikuwa tukitania ni kwa sababu alikuwa haongei vizuri Kiingereza na ndo maana alikuwa hasafiri sana kwenda nchi za nje.

Nimelifikiria sana hili suala na naona lina make sense.

Dah! I wish I knew he had some serious heart problems.
Tuliokuwa na taarifa tulibaki wapenzi watazamaji. Hakuna mahali alipo kwenda bila Dr. Kisenge kuwa karibu nae. Hakutakiwa kusafiri more than 5hrs angani bila uangalizi wa karibu. Anyway mwendo kaukamilisha... Regardless of his weaknesses as human being.. jamaa alikuwa mpiga kazi sana tutamkumbuka sana kwa aliyoyafanya kwa nchi yetu kwa vizazi na vizazi. Ukitembelea hii nchi kila kona unamuona namtakia pumziko la amani. RIP brother JPM
 
Hizi pacemaker huwa zinahitaji kubadilishwa kila baada ya miaka 6 au 7 hivi.

Kuna risks za kutumia hivi vifaa bila kuchukua tahadhari.

1. Mgando wa damu enye sehemu ya kifaa hadi kwenye mkono ulio upande wa moyo. Kuna siku (hivi karibuni) akiwa kwenye ziara zake utamwona akiwa na bandage mkono wake wa kushoto.

2. Infection au au wadudu kushambulia sehemu iliyo na kifaa. hali hii hutokea miezi 12 tangu kifaa kipya kipandikizwe. Hivyo inawezekana kifaa kilipandikizwa miezi 12 ilopita. Moja ya dalili za infections ni joto kali na ndo ukaona feni yatumika kila mara.

Hii infection isiposhughulikiwa hupelekea mgonjwa kupata homa ya mapafu (Pneumonia) kuzunguka sehemu ya moyo na njia za damu kwenda kwenye moyo.

3. Kifaa hiki kikipandikizwa vibaya na kukawepo nguvu kubwa basi husababisha kuweo njia za wazi (air leak) ambapo hewa hujipenyeza kwenda kwenye mapafu. Hapo ndipo huitajika upasuaji kuondoa hewa ya ziada.
Hivyo hupenyezwa kiwaya kidogo kutoa hewa na mgonjwa hutakiwa kukaa hospitali kama siku mbili hivi.

Moja ya hatari ya pacemaker kushindwa kufanya kazi yake sawasawa ni kukutana na miali mikali ya mvuto au magnetic fields.

Mgonjwa alieathirika na kushindwa kwa pacemaker kufanya kazi yake sawasawa ni pamoja na mapigo ya moyo kuwa ya taratibu sana, kizunguzungu, kupiga kwikwi mfululizo na kupoteza fahamu na kuanguka ghafla.

Marehemu alikuwa akitumia kipoza hewa, na gari maalum kwa ajili ya kutoa huduma ya kwanza, na pia mmoja wa walinzi alianza kubeba kisanduku kidogo pengine kwa ajili ya kuichaji pacemaker.

Hivyo Pacemaker ni kifaa muhimu sana na kinahitaji watu ambao wanaelewa matumizi yake na utunzaji wake.

Naamini watu hao wapo na waliaminiwa kukitunza kifaa hicho.

Pia hospitali ya MOI huenda ina vifaa muhimu vya kushughulikia watu wenye pacemaker na kuhakikisha hawavurugio utaratibu mzima wa mstakabali wa kifaa hicho na hali ya mgonjwa.

Hata hospitali ya Mzena sidhani kama ina wataalam wa kushughulikia pacemaker.

Lakini pia siwelewi kwanini marehemu hakupata nafasi ya kubadilishiwa kifaa ambapo sasa hivi hukohuko walikoweka vifaa vya mwanzo, sasa hivi wanatengeneza kifaa hicho chenye umbo la dawa ya kidonge.

Kifaa hicho kipya hupandikizwa moja kwa moja kwenye moyo na hutumia wireless technology ambapo kukiprogram inakuwa rahisi na pia kunazuia infections ambazo husababishwa na kupandikizwa kifaa cha zamani ambacho hutumia nyaya.

RIP John Pombe Joseph Magufuli.
Duuuh[emoji134][emoji134][emoji134][emoji24][emoji24][emoji22][emoji22]
 
Hizi pacemaker huwa zinahitaji kubadilishwa kila baada ya miaka 6 au 7 hivi.

Kuna risks za kutumia hivi vifaa bila kuchukua tahadhari.

1. Mgando wa damu enye sehemu ya kifaa hadi kwenye mkono ulio upande wa moyo. Kuna siku (hivi karibuni) akiwa kwenye ziara zake utamwona akiwa na bandage mkono wake wa kushoto.

2. Infection au au wadudu kushambulia sehemu iliyo na kifaa. hali hii hutokea miezi 12 tangu kifaa kipya kipandikizwe. Hivyo inawezekana kifaa kilipandikizwa miezi 12 ilopita. Moja ya dalili za infections ni joto kali na ndo ukaona feni yatumika kila mara.

Hii infection isiposhughulikiwa hupelekea mgonjwa kupata homa ya mapafu (Pneumonia) kuzunguka sehemu ya moyo na njia za damu kwenda kwenye moyo.

3. Kifaa hiki kikipandikizwa vibaya na kukawepo nguvu kubwa basi husababisha kuweo njia za wazi (air leak) ambapo hewa hujipenyeza kwenda kwenye mapafu. Hapo ndipo huitajika upasuaji kuondoa hewa ya ziada.
Hivyo hupenyezwa kiwaya kidogo kutoa hewa na mgonjwa hutakiwa kukaa hospitali kama siku mbili hivi.

Moja ya hatari ya pacemaker kushindwa kufanya kazi yake sawasawa ni kukutana na miali mikali ya mvuto au magnetic fields.

Mgonjwa alieathirika na kushindwa kwa pacemaker kufanya kazi yake sawasawa ni pamoja na mapigo ya moyo kuwa ya taratibu sana, kizunguzungu, kupiga kwikwi mfululizo na kupoteza fahamu na kuanguka ghafla.

Marehemu alikuwa akitumia kipoza hewa, na gari maalum kwa ajili ya kutoa huduma ya kwanza, na pia mmoja wa walinzi alianza kubeba kisanduku kidogo pengine kwa ajili ya kuichaji pacemaker.

Hivyo Pacemaker ni kifaa muhimu sana na kinahitaji watu ambao wanaelewa matumizi yake na utunzaji wake.

Naamini watu hao wapo na waliaminiwa kukitunza kifaa hicho.

Pia hospitali ya MOI huenda ina vifaa muhimu vya kushughulikia watu wenye pacemaker na kuhakikisha hawavurugio utaratibu mzima wa mstakabali wa kifaa hicho na hali ya mgonjwa.

Hata hospitali ya Mzena sidhani kama ina wataalam wa kushughulikia pacemaker.

Lakini pia siwelewi kwanini marehemu hakupata nafasi ya kubadilishiwa kifaa ambapo sasa hivi hukohuko walikoweka vifaa vya mwanzo, sasa hivi wanatengeneza kifaa hicho chenye umbo la dawa ya kidonge.

Kifaa hicho kipya hupandikizwa moja kwa moja kwenye moyo na hutumia wireless technology ambapo kukiprogram inakuwa rahisi na pia kunazuia infections ambazo husababishwa na kupandikizwa kifaa cha zamani ambacho hutumia nyaya.

RIP John Pombe Joseph Magufuli.
Duu alikuwa na tatizo kubwa kweli kweli,sio sawa kuruhusu mgonjwa wa hivi kuwa Rais hata kama anataka
 
Corona wengi waliomzunguka imewaua na mlinzi wake tunaambiwa, amefia Nairobi walikokua wanauguzana.
Moyo mbovu unapona vipi Corona
Hivi, Korona umekuwa ugonjwa wa aibu kiasi tunashangaa raisi akiupata? Raisi Trump aliupata! Waziri mkuu wa Canada na mkewe waliupata! Waziri mkuu wa Uingereza aliupata! Waziri mkuu wa Israeli aliupata! Sio ajabu raisi wetu kuupata.
Kwanini mnatumia nguvu nyingi kumkinga kuwa hakufa kwa ugonjwa huo?

Korona ilikuwa inatembea pale ofisini kwake Dodoma. Kijazi ambaye ni kama wanashea ofisi alikufa muda mfupi kabla ya Magufuli. Lakini pia kulingana na imani ilikuwa kosa kubwa kujikinga km kuvaa barakoa au kijisanitaizi. Imani yake hiyo ilimfanya awe vulnerable kwa ugonjwa huo. Ukweli ni kwamba pia alikuwa anaumwa ugonjwa wa moyo.

Kwa mazingira yale ya kuzungukwa na wagonjwa wa Korona, mtu hawezi kubisha akiambiwa kuwa alikufa kwa Korona kama ambavyo huwezi kubisha kuwa kafa kwa matatizo ya moyo. Hata hivyo wanasema na mlinzi wake naye kafa kwa korona.

Narudia tena. KORONA NI IGONJWA WA KAWAIDA. Sio ugonjwa wa aibu.
 
Duu alikuwa na tatizo kubwa kweli kweli,sio sawa kuruhusu mgonjwa wa hivi kuwa Rais hata kama anataka
Ni sawa na hakuna tatizo lolote maana alikuwa akitumia hiki kifaa tangu miaka ya 90.

Cha msingi ni umakini kwenye Maisha yako yote na kufuata kanuni.
 
mkuu chawa wa marehemu na hasa sukumagang hawaamini kilichotokea hivyo lazima wamtetee na watafute namna ya kumpa sifa ambazo hakuwa nazo kabisaa.

Acha dharau mkuu. Sukumagang una maana gani? Kwani huwezi eleweka had ulete ukabila. Behave
 
Back
Top Bottom