Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

Peleka sifa za kujnga, 2016 kulikuwa na ukame wa ajabu, mpaka akawa anaongea kwa kejeli kuwa mtu abadilishane ng'ombe watatu na debe la mahindi. Au mnadhani tuna ubongo mdogo kama nyie na hatuwezi kukumbuka chochote?
Lakini hapakuwepo na mgao wa umeme
 
Ukute hao maasikofu ndo walipita nae...vibaraka wa COVID-19
 
Yes, Na vile vile katika kipindi chake watu walianza kutekwa, kupotea, kupigwa risasi, kuokota maiti kwa viroba fukweni, kutumbuana hadharani kwa viongozi wa umaa bila kufuata sheria na ustaarabu...wizi kwa kura wa waziwazi mchana kweupe, pia ndani ya chama chetu kuwa mtemi mtemi kukata majina ya washindi wa kura za maoni bila.aibu..na kuweka wa upinzani aliowanunua.

Andika sifa zote, si mvua tu kunyesha.

Andika yote tu..legacy yake ni ndefu sana
 
So unatuaminisha kwamba PR SAMIA amefyonza maji?
 
Kwa kuwa mla ngubi mwenzio ndyo ukaamua kumpa uchamungu????
 
Mkuu usiingize hz aya ktk haya masiasa ya kitwaaghuut
 
Lakini hapakuwepo na mgao wa umeme

Haukuwa mkali kama sasa, lakini ulikuwepo. Ilipofika wakati wa kampeni mgao wa umeme ulianza taratibu, na sasa ni muendelezo tu wa tatizo lile.
 
Haukuwa mkali kama sasa, lakini ulikuwepo. Ilipofika wakati wa kampeni mgao wa umeme ulianza taratibu, na sasa ni muendelezo tu wa tatizo lile.
Muda ni mwalimu mzuri sana!

Tulipowambia kina makamba wameenda pale na hali ya umeme ni mbaya mkaanza kumtetea eti sukuma gang wanaona wivu. Sasa vilio kila kona kuanzia ufipa hadi moshi ni vilio vya umeme tu.

Na bado
 
CCM ni walewale ila awamu ya tano ilikuwa na uzuzu mwingi sana ambao nimekutajia hapo juu...kuongezea tu jamaa akawajaza ujinga vijana wakao wanatesa watu hovyo hovyo..

Na ndiyo maana Katiba mkaibana kabatini ili mtawale nchi kwa mabavu...

Anayeongelea katiba anaitwa Gaidi..CCM hamna jipya..ni jumba bovu !!
 
Muda ni mwalimu mzuri sana!

Tulipowambia kina makamba wameenda pale na hali ya umeme ni mbaya mkaanza kumtetea eti sukuma gang wanaona wivu. Sasa vilio kila kona kuanzia ufipa hadi moshi ni vilio vya umeme tu.

Na bado

Bora umeme ukatike kuliko kutawaliwa na dhalimu. Kwa taarifa yako umeme haupo lakini kwangu ni poa tu kuliko kuwa chini ya dhalimu. Hata hii kukatika sasa sababu ni yeye huko nyuma. Hutaki jinyonge. Ni hivi, hata ufanyike uchafu vipi, kwangu dhalimu ni dhalimu tu fullstop.
 
Utanyoooka tu!


 
Najua unajua ni wapi anakunyoosha ila ni ubishi wako tu

Unatamani angekuwa ananiumiza, kazi ya kilimo cha kisasa anakutana na nini wapi? Ninachojua anaiga tembo kunya lakini hana madhara. Kama unatamani tuone yuko kama dhalimu basi umeukalia.
 
Unatamani angekuwa ananiumiza, kazi ya kilimo cha kisasa anakutana na nini wapi? Ninachojua anaiga tembo kunya lakini hana madhara. Kama unatamani tuone yuko kama dhalimu basi umeukalia.
Anaiga kunya kwa tembo huku mwenyekiti anasota rumande mwezi wa 3 huu?

Hivi kweli bavicha mlifikiri akifa Magu ndio mambo yenu yatakuwa mteremko?

Hivi 2025 mtashiriki uchaguzi?
 
Mungu ndiye ajuaye nafsi zetu, swala la kuzimu soon nawe utaenda.
 
Aisee, Hamieni Chato kwenye kaburi lake ili mumwabudu vizuri,eti mcha Mungu Magufuli,hilo liuaji katili limekuwa mcha Mungu?
Kwa hiyo Magufuli ndo mtakatifu wa Tanzania nzima wewe Boya?
Hata kabla hajazaliwa mvua zilikuwa za Tabu.
Miaka haifanani wewe kiazi
 
Anaiga kunya kwa tembo huku mwenyekiti anasota rumande mwezi wa 3 huu?

Hivi kweli bavicha mlifikiri akifa Magu ndio mambo yenu yatakuwa mteremko?

Hivi 2025 mtashiriki uchaguzi?
Mwenyekiti kusota ndani hakuanza kipindi cha mama wa kambo, bali hata kipindi cha dhalimu. Wapinzani hatutaki mteremko maana tuna wapigakura wa uhakika. Ccm ndio inahitaji mteremko maana ndio inashurutisha kukaa madarakani kwa shuruti.

Mimi sio msemaji wa chama chochote cha siasa hapa nchini, ila nitashiriki kupiga kura mazingira yakiwa tofauti na sasa, kinyume na hapo sijihusishi na ukhanithi.
 
Uhanith?

Mungu wako si amewaondolea mbaya wenu aliekuwa anasababisha uhanith bila kumwaga damu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…