Wilderness Voice
Kuna sauti ikikuambia tukaombe au tunamtegemea Mungu kweli utaisikia. Lakini siyo sauti ya Magufuli. Kamwe huyu Mungu tunayemwabudu Wakristo Mungu wa Abraham, Izaka na Yakobo siye Mungu aliyekuwa ana mwabudu Magufuli.
Kwa matendo aliyowatendea wenye vyeti feki, aliowatumbua kazini, aliowapeleka Segerea, aliowaua kwa kikundi cha WASIOJULIKANA, aliowanyima nyongeza za mishahara, aliowabomolea nyumba Kimara kamwe hawezi kuomba Mungu akamsikiliza.
Labda mungu (m- ndogo) wa Gwajiboy, Mch Mashimo. Hilo DUBWASHA mnalilisifia kwa Tanzania likikuwa Moja tu. Nalo liliingia kwa bahati mbaya toka Burundi. Baada ya kulizika pale Chato mnamo tarehe 27/ 03/ 21, Tanzania imekuwa kama imepata Uhuru wa pili
Hakika nasema Mtanzania halisi hawezi kuwa na chuki ambayo Magufuli alikuwa nayo dhidi ya Watanzania.
Kwa wanaompenda nawashauri wamfuate huko kuzimu, hamna namna