mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,477
- 1,725
Umeambiwa taja watu 10 unaowajua waliouwawa ktk utawala wa Magufuri,wwe unaanza kutema povu,huyo Ben Saanane anajulikana hata Kubenea alipokuwa bado chadema, aliisha wahi sema,kuwa Ben Saanane anaonekana mitaani,hapo hatujui ninini kilichotokea mpaka anapotezwa daiwa,mfuateni Kubenea atakueleza abari za SaananeFara ww ina maana huwajui, Ben sa8 yuko wapi? kikosi cha wasiojulikana kilikuwa na kaz gan? Mbona siku hakipo?