Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

Achana na dunia Mungu alitupiganua barabara kipindi Cha Magufuli Hakuna ukame Wala njaa Wala ukosefu wa mvua kipindi chake .Kuna msemo kuwa ohh Tanzania ni nchi Maskini wakati Kuna mabilionea akina Bakhresa na akina Mo Dewji waliogoma kuwa sehemu ya hiyo sentensi ya kuwa Tanzania ni nchi Maskini

Kwenye swala la ukosefu mvua,ukame na njaa Tanzania tulijipambanua Kama peculiar kwenye huo ubwege wa global climate change hatukukosa mvua,hatukuwa na ukame Wala njaa kipindi chote Cha mcha Mungu Magufuli
Acheni kupotosha watu tukiongelea vipindi vya MaRaisi wa nchi badala ya mabadiliko ya tabia nchi hakuna mvua zilinyesha vizuri kama kipindi cha kikwete vile vile Mkapa ,Mwinyi na wa Kipindi cha Nyerere MIAKA YA 80 wasemeje? ifike mahala mambo yakudanganyama yapungue kidogo........
 
Acheni kupotosha watu tukiongelea vipindi vya MaRaisi wa nchi badala ya mabadiliko ya tabia nchi hakuna mvua zilinyesha vizuri kama kipindi cha kikwete vile vile Mkapa ,Mwinyi na wa Kipindi cha Nyerere MIAKA YA 80 wasemeje? ifike mahala mambo yakudanganyama yapungue kidogo........
Wote hao hawakuwa wacha Mungu

Ni kipindi Cha Magufuli tu Ndipo tulishuhudia neema ya mvua ,na chakula tele na ukame tuliusikia kwa Wenzetu

Magufuli alimpenda Mungu akiona Kuna challenge ya kitaifa aliitisha maombi ya kitaifa na yeye aliongoza laivu kuyashiriki huwezi mlinganisha na Nyerere mkumbatia wakomunisti wasioamini Mungu au ,Mwinyi,
Au Mkapa, Kikwete au Mama Samia. No no no please

Raisi Pekee Tanzania tulipata mjali Mungu na mheshimu Mungu waziwazi kitaifa Ni Magufuli tu hao wengine wote hamna kitu ikifika kwenye maswala ya Mungu kitaifa
 
Wanasema kila kitabu na zama zake. Lakini kweli utawala wa JPM ulikuwa na neema ya mvua. Sijui ni kwa mapenzi ya Mungu au alibebwa na majila.

Huyu mama sijajua Neema ya uongozi wake nini au ndiyo hili jua na joto!!
Majira yalimbeba...na kuhusu hilo usimhukumu mama ndani ya muda huu mfupi.........
 
Wote hao hawakuwa wacha Mungu

Ni kipindi Cha Magufuli tu Ndipo tulishuhudia neema ya mvua ,na chakula tele na ukame tuliusikia kwa Wenzetu

Magufuli alimpenda Mungu akiona Kuna challenge ya kitaifa aliitisha maombi ya kitaifa na yeye aliongoza laivu kuyashiriki huwezi mlinganisha na Nyerere mkumbatia wakomunisti wasioamini Mungu au ,Mwinyi,
Au Mkapa, Kikwete au Mama Samia. No no no please

Raisi Pekee Tanzania tulipata mjali Mungu na mheshimu Mungu waziwazi kitaifa Ni Magufuli tu hao wengine wote hamna kitu ikifika kwenye maswala ya Mungu kitaifa
Kufa umfuate huko tumechoka
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Kosa mlilofanya ni kuitembeza maiti nchi nzima na tuliwaambia kwamba mnailaani nchi mkagoma eti mnamtafutia umaarufu Magufuli sasa ona nchi inapitia ukame na majanga mengine
 
Majira yalimbeba...na kuhusu hilo usimhukumu mama ndani ya muda huu mfupi.........
Kipindi Cha Nyerere asiyejali Mungu kitaifa kulikuwa na njaa Kali sababu ya Mabadiliko ya Tabia nchi haya ikaja Mwinyi the same ikaja Mkapa the Same ,ikaja Kikwete the same kwa hiyo Mabadiliko ya Tabia nchi yaligeuka kuwa mazuri kipindi tu Cha Magufuli ghafla halafu Mama Samia yakarudi ghafla kuwa mabaya Kama watangulizi wa kabla ya Magufuli? Sababu awamu zote kabla Magufuli mcha Mungu tulishuhudia mvua shida,ukame na njaa lakini chake kilikuwa vizuri kwa hiyo Majira yanaanyalia mtu ? Yalipoona Magufuli yakabadilika ghafla? Kuona Mama Samia yakarudi kule kule wakati miti imekuwa ikikatwa yaani deforestation miaka nenda Rudi kuhatarisha Mabadiliko Tabia nchi toka kipindi.cha Nyerere?

Kwa hiyo Magufuli kushika nchi ghafla Majira yakashika adabu na Mabadiliko ya Tabia nchi yakaamua kubadilika Tabia kuwa nzuri? Kwa Nini hayakushika adabu kwa hao waliomtangulia au mama Samia?
 
Wote hao hawakuwa wacha Mungu

Ni kipindi Cha Magufuli tu Ndipo tulishuhudia neema ya mvua ,na chakula tele na ukame tuliusikia kwa Wenzetu

Magufuli alimpenda Mungu akiona Kuna challenge ya kitaifa aliitisha maombi ya kitaifa na yeye aliongoza laivu kuyashiriki huwezi mlinganisha na Nyerere mkumbatia wakomunisti wasioamini Mungu au ,Mwinyi,
Au Mkapa, Kikwete au Mama Samia. No no no please

Raisi Pekee Tanzania tulipata mjali Mungu na mheshimu Mungu waziwazi kitaifa Ni Magufuli tu hao wengine wote hamna kitu ikifika kwenye maswala ya Mungu ku
SIYO KILA AITAYE BWANA BWANA ..........(ATAUONA UFALME WA MUNGU) PIA USIONE UKADHANI............,MAMLAKA ZOE ZINAWEKWA NA MUNGU VIONGOZI WOTE WANACHAGULIWA NA MUNGU Hata kama wanapigiwa kura ila anayeamua waongoze kwa muda gani MAMLAKA HIYO ANAYO MUNGU PEKE YAKE NA si maneno au mtzamo wa wanadamu.Sitaki kuendelea sana hapa naogopa NISIJE NIKAKUFURU...........................
Maana hata Biblia imeandika namna ya kuishi kwa Utii ili uwe na heri na miaka mingi Duniani wacha niishie hivyo.......................
 
Amosi 4:6-9

[6]Mimi nami nimewapa usafi wa meno katika miji yenu yote, na kutindikiwa na mkate mahali penu pote; lakini hamkunirudia mimi, asema BWANA.
[7]Tena nimeizuia mvua msiipate, ilipobaki miezi mitatu kabla ya mavuno; nami nimenyesha mvua juu ya mji mmoja, nikaizuia mvua isinyeshe juu ya mji mwingine; sehemu moja ilipata mvua, na sehemu isiyopata mvua ilikatika.
[8]Basi kutoka miji miwili mitatu walitanga-tanga kuendea mji mwingine wapate kunywa maji, wasipate ya kuwatosha; lakini hamkunirudia mimi, asema BWANA.
[9]Nami nimewapiga kwa ukavu na koga; wingi wa bustani zenu na mashamba yenu ya mizabibu, na mitini yenu na mizeituni yenu imeliwa na tunutu; Lakini hamkunirudia mimi, asema BWANA.
Kwa hakika anayeleta mvua na Kuzuia Ni MwenyeziMungu Peke yake Kwa sababu zke.
Lakini katika Sababu ya kuzuiwa mvua na kupatikana Ukame ni madhambi ya Viumebe.
Na hawa viongozi wa CCM wamezidi mno katika kutenda madhambi ya Dhuluma ,na wala hawaoneshi nia ya KUTUBU na kumrejea Mungu mwenyezi.
Hata Hivyo mzee Magu alikuwa anapenda sana Kumtanguliza Mungu kwa kauli zake Hadharani Na kwa Hili yawezekana sana M/Mungu kufurahi na Utawala wake hata kama ulitenda maovu kiasigani, lakini kwa vile alitubu na Kumrejea Mungu huend basi Mungu alimbarikia utawala wake kwa Mvua..
Quran nayo pia ina ungana na Maandiko hayo hapo juu ya Taurati na Injili kuhusu Kumrejea Mungu.
Qur-an Sura ya 77Aya No10 - 14 inasema:-

10. Nikasema( Mmi Nuhu kuwambia watu wangu watendao maovu): Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe.
11. Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo kwa misimu yake.
12. Na atakupeni mali na watoto, na atakuotesheeni mabustani ya (mazao mbali mbali) na atakufanyieni mito (inayotiririka).
13. Mna nini basi, hamweki heshima kwa Mwenyezi Mungu?
14. Na hali Yeye kakuumbeni hatua kwa hatua ( kuanzia Mimba ,utoto,ujana ,utuuzima na hatimae Uzee kisha Mauti)?


lakini wapi hawakuonesha utiifu na Gharika ikawakumba
 
Amosi 4:6-9

[6]Mimi nami nimewapa usafi wa meno katika miji yenu yote, na kutindikiwa na mkate mahali penu pote; lakini hamkunirudia mimi, asema BWANA.
[7]Tena nimeizuia mvua msiipate, ilipobaki miezi mitatu kabla ya mavuno; nami nimenyesha mvua juu ya mji mmoja, nikaizuia mvua isinyeshe juu ya mji mwingine; sehemu moja ilipata mvua, na sehemu isiyopata mvua ilikatika.
[8]Basi kutoka miji miwili mitatu walitanga-tanga kuendea mji mwingine wapate kunywa maji, wasipate ya kuwatosha; lakini hamkunirudia mimi, asema BWANA.
[9]Nami nimewapiga kwa ukavu na koga; wingi wa bustani zenu na mashamba yenu ya mizabibu, na mitini yenu na mizeituni yenu imeliwa na tunutu; Lakini hamkunirudia mimi, asema BWANA.

Mkuu kwani Ni lazima Kiongozi aanzishe Si Hata Wakuu wa Madhehebu wanaweza Kuanzisha maombi kuombea Mvua,
Mfano Askofu wa Kanisa fulani au Mwenyekiti wa madhehebu si wana Umoja wao?
Wakaanzisha sala ikaanza
 
Ndugu za kuambiwa changanya na zako,sio kila kitu kinachosemwa na wanasiasa ni chakutilia manani vingine unaviacha vipite tu

List ipo na mimi nimefika kusini ,watu wamepotea kweli na sio porojo...Nimekaa kusini najua na wala siyo siasa!!
 
Kosa mlilofanya ni kuitembeza maiti nchi nzima na tuliwaambia kwamba mnailaani nchi mkagoma eti mnamtafutia umaarufu Magufuli sasa ona nchi inapitia ukame na majanga mengine
Wametutembezea mwanalaanakum ametuachia laana tupu.
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.

Joto la Dunia linaletwa na wanadamu sio Mungu ndugu yangu!. Miti ikikatwa na joto kuongezeka kwasababu ya makaa ya mawe na viwanda hata ukisali haitabadilika. Mafuriko ni ishara hiyo na tunahitaji sera sio maombi!. China wanachoma makaa ya mawe na hawana dini!
 
Kipindi hicho soko lilikuwa bado linatembelea harufu ya JK.

mimi nliwahi shuhudia mchele ukiuzwa sh. 3,000 mpaka 4,000.

Kipindi cha Magu halijawahi kutokea hilo ila safari hii litatokea
2017 bado soko lilikuwa linatembea la jk?kwa TZ, hii lini bei ya wastani ya mchele ilishawahi fikia bei hizo unazosema??hatukatai hata leo hii kuna mchele unauzwa tsh.3000, huo ni kwa wale wateule lakini, bei ya wastani ya mchelea huwa ni 1700-1800.miaka mingi tu.kwa unga kufikia 2000-2200!!kilikuwa kitu kipya kwa TZ.
 
🤣🤣🤣 hata kisoka tulikuwa vyema... Kwa Mkapa alikuwa hatoki mtu ,ona siku hizi mambo yalivyokuwa hovyo hadi kwa Mkapa tunakula 3 😁
 
2017 bado soko lilikuwa linatembea la jk?kwa TZ, hii lini bei ya wastani ya mchele ilishawahi fikia bei hizo unazosema??hatukatai hata leo hii kuna mchele unauzwa tsh.3000, huo ni kwa wale wateule lakini, bei ya wastani ya mchelea huwa ni 1700-1800.miaka mingi tu.kwa unga kufikia 2000-2200!!kilikuwa kitu kipya kwa TZ.
Huna kumbukumbu!
.
Jk aliingia madarakani unga unauzwa sh. 250

Baada ya hapo kila ikifika miezi ya novemba hadi februari unga unafika mpka 2000 na tangu.

Kwa mara ya kwanza unga ulifika bei hiyo kipindi cha jk. Kwa magu ilifika mara moja tu.
 
Huna kumbukumbu!
.
Jk aliingia madarakani unga unauzwa sh. 250

Baada ya hapo kila ikifika miezi ya novemba hadi februari unga unafika mpka 2000 na tangu.

Kwa mara ya kwanza unga ulifika bei hiyo kipindi cha jk. Kwa magu ilifika mara moja tu.
Hapana!!unga haujawahi kufika 2000, kuanzia 2017 kurudi nyuma!!hiyo 2017 oulifikia bei hiyo kutokana na sera aliyokuja nayo jpm, ya kupuuza kununua mahindi kwa kiwango kinacho takiwa kupitia NFRA, miaka yote ya nyuma serikali ilikuwa inanunua mahindi kwa kiwango cha kuanzia tani laki 3, kila mwaka, na kuyahifadhi kwenye maghala , ili wakati wa upungufu yanaingizwa sokoni, na ilisaidia sana kufanya bei ya unga kuwa ya kawaida miaka yote huko nyuma, alipoingia yeye, akaachana na utaratibu huu, akawa ananunua kama tani 80, 000 tu!!na ndicho kilicholeta balaa!!mvua zilikataa, mikoa kama ya arusha na mwanza njaa ikaingia!!NFRA, hawana mahindi ya kutosha!!na baada ya fedheha ile utaratibu wa kununua ukarudi kwenye kiwango japo cha juu!!!
 
Back
Top Bottom