Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

Kipindi cha jk kina ulimboka mbowe wote wahanga hata lipumba alivunjwa
 
Nyie timu marehemu mnaona mnachekewa, mnaona Samia mpole mnaleta matusi...sasa tupo tutaomtetea
Mkiona nawakera kajificheni kaburini huko.
Afu K yangu inanuka kuliko mzoga wa basha ako huko aliko?,😂😂😂

Kila day Magu magu magu,,, wamfuate kaburini wamchukue na gwajima wao aliekuwa anajitapa anafufua, wakamfufue kama huo uwezo wanao co kulia lia tuu.

Mama k samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwenye imani,,,,huyu mama navyoona kuna baadhi hawampendi kwa sababu ni mzanzibari na vilevile ni Muisilamu.
 
We jamaa mpumbavu sana, unatukumbusha enzi za praise and worship
Ata mvua ilipokuwa ikinyesha anasifiwa yy
Mkuu wa mkoa wa dar enzi hizo alisika akisema "tunamshukuru Rais Magufuli Leo mvua imenyesha"

Mkuu wa mkoa wa Tabora enzi hizo nae alisikika akisema "Magufuli hastahili kumshukuru Mungu kwa haya makubwa anayoyafanya Mungu Mwenyewe ndo anatakiwa amshkuru Magufuli" na ww ndo una akili kama hizo, lkn sio bure huyo jamaa alikuwa amawafira nyie,
Punguza hasira nchi hii imejaa washamba sana yaana mtu akilamba uteuzi tu akili zinahia matokoni, mimi simlaumu jpm bali watanzania wenzetu waliogeuka baada yakupewa uteuzi wakageuka vichaa kama yule wa majalalani
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Mabadiliko ya tabianchi (climate change) ni dunia nzima.Ndio maana UN ikaitisha mkutano wa kujadili kuhusu mabadiliko ya tabia nchi,na viongozi wa dunia nzima,wamekutana kwenye mkutano wa 26 wa nchi wanachama wa COP26 ,karibia nchi 200 huko Glasgow,Scotland.
 
JPM Baba yetu, pumzika kwa amani, umetujengea ujasiri wa hali ya juu.
Baba, Nchi sasa inanuka. Kalemani, Waziri wako wa Nishati ametolewa kwenye uwaziri, amepewa mtu mwingine mwenye uwezo mkubwa zaidi wa kuhujumu mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere.
Mungu mkubwa, kuna siku atakuja kusikia kilio chetu.
 
Mabadiliko ya tabianchi (climate change) ni dunia nzima.Ndio maana UN ikaitisha mkutano wa kujadili kuhusu mabadiliko ya tabia nchi,na viongozi wa dunia nzima,wamekutana kwenye mkutano wa 26 wa nchi wanachama wa COP26 ,karibia nchi 200 huko Glasgow,Scotland.
Kwani ukame umeanza juzi baada ya mabadiliko ya hali ya hewa? Unasomaga biblia au quran kweli wewe? Mvua inaendana na Baraka pia! Baraka zimepungua hili mkubali mkatae JPM alikuwa Mtu wa Mungu!
 
Mungu hadhiakiwi kamwe!
Tambua pia kwamba watoto wa marehemu kuanza kumzungumzia baba yao wakati alishakufa, ni ujinga na utoto!
Hata mlie vipi hawezi kuinuka!
 
Kwani ukame umeanza juzi baada ya mabadiliko ya hali ya hewa? Unasomaga biblia au quran kweli wewe? Mvua inaendana na Baraka pia! Baraka zimepungua hili mkubali mkatae JPM alikuwa Mtu wa Mungu!
Vitabu vitakatifu vinaendana,na elimu,sio fikira za kutoa kichwani,kuwa kuna mtu analeta mvua,na yuko anayezuia mvua.Ukame unasababishwa na mabadiliko ya tabianchi(climate change).
 
Hakuna cha mzanzibar wala mwislam! Ukiongea ujinga juu ya JPM sikuachi! Huyo mama K malaya tu!

Chief, acha kumwambia malaya, huwezi juwa pengine ni dada ama shangazi yako au katika ukoo wenu alafu unamuita malaya mzehe. Pungujaga hasila mkuu. Kama amekukwaza msamehe yaishe,,,,haya masiasa hayana maana yac2fanye tukosane.
 
Vitabu vitakatifu vinaendana,na elimu,sio fikira za kutoa kichwani,kuwa kuna mtu analeta mvua,na yuko anayezuia mvua.Ukame unasababishwa na mabadiliko ya tabianchi(climate change).
Basi sawa mwanasayansi! Maana wewe ndo unajua sana! Dunia hii sio ya wanasayansi ni ya Mungu tena sio Mungu tu jina Mungu wa Ibrahim,Isaka,Yakobo na baba wa Bwana wetu Yesu kiristo!
 
Kwa iyo ushauri wako ni upi? Tukamfufue JPM au? Atuwezi kukaa apa tungaanza mkumbuka rais aliye kwisha kufa..uko nikukosa maarifa lazma tuwaze mbele(yajayo)
Ushauri wako ni upi kwa taifa saiv kama ww uko potentially kwa taifa?
Katika watu wajinga duniani ni watu wanao tegemea watu walio kufa na kuwakumbuka kumbuka
 
Back
Top Bottom