Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Mataga kumbe bado mpo, ila mna roho ngumu nyie. Kwa hali waliyokuwa nayo watanzania Mungu angeongeza na ukame hivi yangebaki madaraja na midege iliyopaki tu.
 
Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu😁😁😁
162869316286936.jpg
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Tuache kuandika vitu ambavyo havina maana yoyote
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.

Acheni kumuandama mama,,,na uzuri wa mama hana muda na mitandao.

Kila ki2 munamsakama mama,,, Tena ninyi munaomchukia uyu mama mushukuru sana yeye ni mzanzibari, na isitoshe ni muisilamu analiongoza taifa, anahofu ya Mungu, hata wakristo wenyewe wanalitambua hilo.


Sasa endeleeni kulialia but uyo ndiye rais wenu mutake muctake
 
Mwovu hulipwa Kwa uovu wake,hivyo hili linaweza kuwa ni kumbusho kwetu tubadili njia zetu ovu na tuifuate njia iliyoofu na kuachakubaguana
Sisi sisi Kwa sisi, kuoneana, na kunyanyasana.
Magufuli angekuwa si mtetezi wa walio wengi wasio na sauti kipindi chake ukame,njaa,korona,nzige na majanga kibao yangemaliza nchi

Mungu alitaka kuangamiza taifa zima la Israel lakini Musa kiongozi wa wanyonge akawatetea akasema Mimi nitaelewekaje kwamba ulinituma niwabebe wafie jangwani

Mungu akaona huruma hakuangamiza

Ukipata kiongozi asiyejali watu wanyonge na Maskini nchi kuingia majanga Rahisi mno

Kibiblia Kiongozi yeyote lazima awe mtetezi mkuu wa wanyonge sio atumir nafasi yake ooh nataka tume huru Ili nichaguliwe ohh nataka serikali ya umoja wa kitaifa ili niwemo ohh nataka na Sisi Tanganyika au Zanzibar tupewe haki sawa uongozi hopeless

Mungu anataka majority voiceless unawasaidiaje kutoka walipo? Sio minority wataka ubunge au udiwani au Ikulu.Una agenda gani na majority watu wa chini? Iwe kwenye umeme nk? Una agenda selfish au ya majority? Hata ufiche kwenye public Mungu huangalia ndani ya Moyo na sio unachotamka .Ndio maana Biblia husema wazi kuwa mpumbavu husema moyoni mwake Hakuna Mungu haisemi husema kwa sauti publicly

Tofauti ya Mungu na wanadamu Ni kuwa Mungu huwa haangalii unasema Nini kwenye public huangalia moyoni unawaza Nini? Waweza danganya wananchi kwa speech fake publicly lakini Mungu huangalia moyoni tu unawaza Nini na unapanga nini.?Hababaishwi na speech na uhodari wa maneno yako ya kitapeli kwenye hotuba kwenye public!!!

Ndio maana Kuna msemo usemao Mungu sio Athumani.Usimfananishe Mungu na Binadamu Athumani tapeli mtoa speech isiyoendana na kilichomo moyoni mwake
 
Acha kudanganya watu kipindi cha JPM hakikuwa na upandaji wa bei za vyakula! Uwe mpole baraka zishatoka mmebaki mazuzu kusifiana!
Haaaaa!!kweli wewe zuzu, mimi nimesema kati ya 2016, 2017, bei ya unga wa mahindi ilifikia kilo moja tsh.2200!!sasa nadanganya wapi?? kwa mala ya kwanza.na ilikuwa ni kutokana na ukame na NFRA, hawakununua mahindi ya kutosha na kuyahifadhi gharani, kutokana na sera za kishamba za jamaa!!wenzake kwa mwaka walikuwa wananunua tani laki 3, na kuzihifadhi, yeye ananunua tani 80!!!MUNGU FUNDI
 
Wakati wa Magufuli JOBO Aliishia alikoishia.
Uko sahii utabiri wa hali ya hewa dunia nzima walisema kimbunga Jobo kinaelekea Tanzania watakoma kilikata Kona na kutokomea kusokojulikana pamoja na vipimo vyote vya hali ya hewa vya sattelite vya nchi Zilizoendelea kilitokomea mbali chezea mcha Mungu Magufuli
 
Haaaaa!!kweli wewe zuzu, mimi nimesema kati ya 2016, 2017, bei ya unga wa mahindi ilifikia kilo moja tsh.2200!!sasa nadanganya wapi?? kwa mala ya kwanza.na ilikuwa ni kutokana na ukame na NFRA, hawakununua mahindi ya kutosha na kuyahifadhi gharani, kutokana na sera za kishamba za jamaa!!wenzake kwa mwaka walikuwa wananunua tani laki 3, na kuzihifadhi, yeye ananunua tani 80!!!MUNGU FUNDI
Kipindi hicho soko lilikuwa bado linatembelea harufu ya JK.

mimi nliwahi shuhudia mchele ukiuzwa sh. 3,000 mpaka 4,000.

Kipindi cha Magu halijawahi kutokea hilo ila safari hii litatokea
 
Back
Top Bottom