Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

Mtu aliyekula fedha za Tetemeko la Kagera, na kuwalaumu kuwa limesababishwa na Kijiji cha Katerero na Mto ngono🤔
Mfano watu walipokuwa sio wacha Mungu kupindukia kupindukia Hali ya hewa ilibadilika ikashuka gharika ikateketeza dunia nzima

Sodoma na gomora watawala watu wengi wakiharibika Hadi joto likawa Kali Hadi sodoma na gomora ikawaka Moto

Dhambi zina uwezo zikizudi zinaweza kubadilisha Hali ya hewa iwe ya kimapato,kikazi,kibiashara,kimafanikio nk iwe kwa taifa au mtu binafsi


Kagera Dhambi nyingi za majority zina athari kwa mkoa
Vita za Kagera zao,ukimwi kwa wingi wao Mafuriko na vimbunga vyao,minyauko ya migomba yao,matetemeko ya ardhi yao nk mlitaka Magufuli afanyanyaje amwambie Mungu asiwaadhibu au? Matatizo yao ndio maana aliruka kuwa hakuyaleta yeye wasisukumie serikali

Kagera watubu warejee kwa Mungu Kama Wana Kagera

Magufuli hahusiki wamalizaneni na Mungu sio serikali
 

WALAWI 26​

Baraka kwa utiifu
(Kumb 7:12-24; 28:1-14)
1“Msijitengenezee sanamu za miungu ya uongo, msishike sanamu zao za kuchonga wala nguzo wala sanamu za mawe yaliyochongwa nchini mwenu na kuvisujudu. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu. 2Shikeni sabato zangu na kuheshimu mahali pangu patakatifu. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.

3 “Kama mkifuata masharti yangu na kuzishika amri zangu, 4nitawanyeshea mvua wakati ufaao, nchi ipate kuzaa mavuno kwa wingi, nayo miti ya mashambani matunda yake. 5Kupura nafaka kutaendelea mpaka wakati wa kuvuna zabibu, na uvunaji zabibu mpaka wakati wa kupanda mbegu. Mtakuwa na chakula tele na kuishi kwa usalama nchini mwenu. 6Nitawapeni amani nchini hata muweze kulala bila ya kuogopeshwa na chochote.

Nitawaondoa wanyama wakali katika nchi na nchi yenu haitakumbwa na vita. 7Mtawafukuza adui zenu na kuwaua kwa upanga. 8Watano wenu watawafukuza adui 100 na 100 wenu watawafukuza adui 10,000. Adui zenu wataangamia mbele yenu kwa upanga. 9Nitawafadhili na kuwajalia mpate watoto wengi na kuongezeka; nami nitaliimarisha agano langu nanyi. 10Wakati wa mavuno mtakuwa bado mnakula mazao ya zamani; tena itawalazimu kuondoa yaliyobaki kupata nafasi ya kuhifadhi mavuno mapya. 11Nitaweka maskani yangu miongoni mwenu, wala sitawaacheni. 12 Nitatembea kati yenu na kuwa Mungu wenu nanyi mtakuwa watu wangu. 13Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, niliyewatoa nchini Misri ili msiwe watumwa wa Wamisri. Mimi nimevunja nira mliyofungiwa shingoni mwenu na kuwafanya mtembee wima.

Laana
(Kumb 28:15-68)
14“Lakini kama hamtanisikiliza wala kufuata amri zangu, 15kama mkidharau masharti yangu na kuchukia kwa roho maagizo yangu mkaacha kuzitii amri zangu zote na kuvunja agano langu, 16basi, mimi nitafanya hivi: Nitawapiga kwa kuwaletea hofu kuu ya ghafla, kifua kikuu na homa itakayowapofusha macho na kuwadhoofisha. Mtapanda mbegu zenu bila mafanikio kwani adui zenu ndio watakaokula. 17Mimi nitawakabili, nanyi mtapigwa na adui zenu; mtatawaliwa na wale wanaowachukia. Mtatishwa na kukimbia hata kama hakuna mtu yeyote anayewafukuza. 18Na Kama hata baada ya kuadhibiwa hivyo, hamtanisikiliza, basi, nitawaadhibu mara saba zaidi kwa ajili ya dhambi zenu. 19Kiburi chenu nitakivunjilia mbali kwa kuzifanya mbingu huko juu kuwa ngumu kama chuma, na nchi yenu bila mvua iwe ngumu kama shaba. 20Mtatumia nguvu zenu bure maana mashamba yenu hayatatoa mavuno na nchi yenu haitazaa matunda.

21“Kama mkiendelea kunipinga na kukataa kunisikiliza, nitazidisha tena adhabu yenu mara saba kadiri ya wingi wa dhambi zenu. 22Nitawapeleka wanyama wakali kati yenu ambao watawanyakulieni watoto wenu na kula mifugo yenu; na kukata idadi yenu hata njia zenu zigeuke kama jangwa.

23“Kama hata baada ya adhabu hiyo bado hamnigeukii mimi, ila mnazidi kupingana nami, 24basi, nami nitapingana nanyi na kuwaadhibu mara saba zaidi kwa ajili ya dhambi zenu. 25Nitawaleteeni upanga ambao utalipiza kisasi juu ya agano mlilovunja. Nyinyi mtakimbilia katika miji yenu, lakini nitawapelekea maradhi mabaya na kuwatia mikononi mwa adui zenu. 26Chakula chenu nitakipunguza hata wanawake kumi watumie jiko moja tu kuoka mikate. Watawagawia kwa kipimo. Na hata baada ya kula bado mtakuwa na njaa tu.

27“Na kama hata baada ya hayo yote bado hamtanisikiliza mkaendelea kunipinga, 28basi nami nitapingana nanyi kwa hasira kali, na kuwaadhibu mimi mwenyewe mara saba zaidi kwa ajili ya dhambi zenu. 29Ndipo mtakula watoto wenu, wa kiume na kike. 30Nitapaharibu mahali penu pa ibada milimani, nitazibomoa madhabahu zenu za kufukizia ubani, na kuzitupa maiti zenu juu ya sanamu za miungu yenu. Roho yangu itawachukia kabisa. 31Miji yenu nitaiteketeza mahali penu patakatifu nitapafanya jangwa na harufu zenu nzuri za sadaka kamwe sitazikubali. 32Nitaiteketeza nchi yenu hivyo kwamba hata adui wanaohamia humo watashangaa. 33Nitawatawanya nyinyi miongoni mwa watu wa mataifa na kuchomoa upanga dhidi yenu. Nchi yenu itakuwa ni ukiwa na miji yenu uharibifu.

34“Nyinyi mtakapokuwa mikononi mwa adui zenu, hapo ndipo nchi itakapozifurahia sabato zake wakati itakapokuwa hali ya ukiwa. Nchi itapumzika na kufurahia sabato zake. 35Kadiri itakapokuwa hali ya ukiwa itapata kiasi ambacho haikupata katika sabato zenu mlipokuwa mkiishi humo. 36Na kwa baadhi yenu watakaosalimika nitawaletea woga mioyoni mwao, katika nchi ya adui zao hata jani linalopeperushwa litawakimbiza. Watakimbia kama mtu anayekimbia vita. Watakimbia na kuanguka hata kama hamna mtu anayewafukuza. 37Wataangukiana ovyo kama mtu anayekimbia vita hata kama hamna anayewafukuza. Hamtakuwa na nguvu yoyote kuwakabili adui zenu. 38Mtaangamia kati ya mataifa na nchi za adui zenu zitawameza. 39Kama baadhi yenu wakisalimika katika nchi za adui zenu watadhoofika kwa sababu ya uovu wao; na kwa sababu ya uovu wa wazee wao.
 
Binadamu hasa kutoka Tanzania kwa kufuata mkumbo hawajambo, umempa zoezi dogo tu kukutajia hao watu 10 waliotekwa? Kang’ang’ania ben saanane hao wengine mbona hawataji?

Watu wengi wamepotea wewe,acha UZUZU! Zitto alitaja list ya watu 300 waliopetea kusini na pia Kigoma! Kuna wale waliokuwa wanatekwa Facebook,Twita na instagram na Kundi la kina DAB,Mwanaharakati huru hao nikna kanguye,gwanda,ben saa8 ,rwajabe ni wanajulikana kwenye jamii.
 
Viroba kumi vyenye miili mlisema ni Wakimbizi wa Ethiopia.

Sasa hata nikikutajia utaakanusha..usinipotezee Bando langu.

Lissu pia mlisema 'kajishambulia'.
🤣 Mkuu mbona swali jepesi tu sa ya haja gani kupanic namna hiyo.?
Umeambiwa taja orodhesha watu kumi tu walio uwawa unakimbilia kujificha kwenye viroba.!!

Taja watu kumi hapo walio uawa.
 
Watu wengi wamepotea wewe,acha UZUZU! Zitto alitaja list ya watu 300 waliopetea kusini na pia Kigoma! Kuna wale waliokuwa wanatekwa Facebook,Twita na instagram na Kundi la kina DAB,Mwanaharakati huru hao nikna kanguye,gwanda,ben saa8 ,rwajabe ni wanajulikana kwenye jamii.
Sasa katika hao mia 3 unashindwa vipi kutaja watu 10 tu?

Yaani wewe kisa Zitto kasema basi na we unabeba tu na kuja kuaminisha watu huku?
 
Mfano watu walipokuwa sio wacha Mungu kupindukia kupindukia Hali ya hewa ilibadilika ikashuka gharika ikateketeza dunia nzima

Sodoma na gomora watawala watu wengi wakiharibika Hadi joto likawa Kali Hadi sodoma na gomora ikawaka Moto

Dhambi zina uwezo zikizudi zinaweza kubadilisha Hali ya hewa iwe ya kimapato,kikazi,kibiashara,kimafanikio nk iwe kwa taifa au mtu binafsi


Kagera Dhambi nyingi za majority zina athari kwa mkoa
Vita za Kagera zao,ukimwi kwa wingi wao Mafuriko na vimbunga vyao,minyauko ya migomba yao,matetemeko ya ardhi yao nk mlitaka Magufuli afanyanyaje amwambie Mungu asiwaadhibu au? Matatizo yao ndio maana aliruka kuwa hakuyaleta yeye wasisukumie serikali

Kagera watubu warejee kwa Mungu Kama Wana Kagera

Magufuli hahusiki wamalizaneni na Mungu sio serikali
Angalia Miaka mitano iliyopita Hali ya hewa Afrika ya Mashariki yote Mvua zilinyesha vizuri.

Kwahiyo mtazamo wako wa Kishamba ina maana Uhuru,Mseveni,Kagame nao ni Watakatifu kama huyo Chizi wako?
 
Angalia Miaka mitano iliyopita Hali ya hewa Afrika ya Mashariki yote Mvua zilinyesha vizuri.

Kwahiyo mtazamo wako wa Kishamba ina maana Uhuru,Mseveni,Kagame nao ni Watakatifu kama huyo Chizi wako?
Uongo Kenya tu hapo Hali ilikuwa mbaya mno vyakula walitoa Tanzania tulikuwa donor country kwenye vyakula kwa kenya walikuwa hoi kwa ukame na nzige
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Mwovu hulipwa Kwa uovu wake,hivyo hili linaweza kuwa ni kumbusho kwetu tubadili njia zetu ovu na tuifuate njia iliyoofu na kuachakubaguana
Sisi sisi Kwa sisi, kuoneana, na kunyanyasana.
 
Watu wengi wamepotea wewe,acha UZUZU! Zitto alitaja list ya watu 300 waliopetea kusini na pia Kigoma! Kuna wale waliokuwa wanatekwa Facebook,Twita na instagram na Kundi la kina DAB,Mwanaharakati huru hao nikna kanguye,gwanda,ben saa8 ,rwajabe ni wanajulikana kwenye jamii.
Taja watu 10 waliouawa mbona mnakuwa wagumu kuelewa?
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Tunasubiri pia utuambie kipindi cha magufuri ulikuwa unagongwa mala sita kwa siku sasa hivi unagongwa mala mbili kwa siku.
 
Back
Top Bottom