Hayati Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini kama sasa

Umenikumbusha mbali sana chief..

Awamu ya tano ilisababisha pia KUPATWA KWA JUA SONGWE
 
Kwa ufupi you have made my day. Naelekea chattle.
 
Kuna watu wataitafsiri hii kama ilivyo...
 
Kwanza nadhani ni wakati wa kumuacha marehemu apumzike kwa wale wapenzi wake na wasio sababu ndio utamaduni wetu na dini zetu. Ameshaondoka na hukumu yake iko kwa muumba wa yote maana hata sisi hatujui hatima zetu. Ila suala la mvua je kama nchi tunaamini science au bado tunaamini matambiko na dua? Mimi naamini science na science ni maarifa Mungu katujalia kupata uelewa kwa yale yaliyotuzunguka mwisho wa siku ni kutumia maarifa tuliyobarikiwa sio tunaharibu mazingira halafu tunakimbilia kuomba. Nyerere alitawala miaka kibao iko miaka tulipata neema na miaka majanga sasa tumuweke kundi gani? Mungu hampi neema mtu mwema tu hata waovu anawapa neema na majaribio tele ili tujuwe kushukuru kwenye neema na balaa pia ndio maana tukishiba tunashukuru na hata tukifiwa tunashukuru. Tukipata mvua tushukuru tukikosa tushukuru ila tufuate science kwenye hili ndio tunu Mungu katupa viumbe wake Maarifaa.
 
Mungu alikuwa anawaambia Mayahudi sio dunia nzima ndio maana huko England mvua zinanyesha mpaka wanachukia mvua kila siku na wale hata makanisani hawaendi. Nchi kibao kama huko Japan, china hata makanisa hawana ila mvua kibao...
 
Mwenzako alimtangaza Mungu na kulitaja jina lake hadharani, Je wewe umewahi kufanya hivyo? Hivi unadhani kati yako mkaa kimya unayempinga Mungu nani atakua na thamani mbele za Mungu?? Umewahi mkiri Mungu mbele za watu?? Hiyo ndio kanuni ya kwanza ya Mungu, kumkiri mbele za watu. Sasa mwenzako alimkiri mbele ya dunia.
 
Kuna sauti ikikuambia tukaombe au tunamtegemea Mungu kweli utaisikia. Lakini siyo sauti ya Magufuli. Kamwe huyu Mungu tunayemwabudu Wakristo Mungu wa Abraham, Izaka na Yakobo siye Mungu aliyekuwa ana mwabudu Magufuli.

Kwa matendo aliyowatendea wenye vyeti feki, aliowatumbua kazini, aliowapeleka Segerea, aliowaua kwa kikundi cha WASIOJULIKANA, aliowanyima nyongeza za mishahara, aliowabomolea nyumba Kimara kamwe hawezi kuomba Mungu akamsikiliza.

Labda mungu (m- ndogo) wa Gwajiboy, Mch Mashimo. Hilo DUBWASHA mnalilisifia kwa Tanzania likikuwa Moja tu. Nalo liliingia kwa bahati mbaya toka Burundi. Baada ya kulizika pale Chato mnamo tarehe 27/ 03/ 21, Tanzania imekuwa kama imepata Uhuru wa pili

Hakika nasema Mtanzania halisi hawezi kuwa na chuki ambayo Magufuli alikuwa nayo dhidi ya Watanzania.

Kwa wanaompenda nawashauri wamfuate huko kuzimu, hamna namna
[/QUOTE]
Kama ubaya wa JPM ni kupinga ushoga ambao hata Mungu mwenyewe aliwachoma moto sodoma na gomora sababu ya hii tabia ni bora tu awe mbaya kwa hili.
 
Hakuna binadamu asiyekuwa na mapungufu..
JPM kwenye suala la haki za binadamu lilimuangusha sana.. Watu walibambikwa kesi sana.
Ukibisha tafuta rafiki yoyote ambaye alifanya kazi ofisi ya DPP kipindi cha JPM... Wale mawakili walipata shida
Unaletewa file kutoka PCCB au Polisi unawauliza hiki bado.. Ushahidi huu hautoshi unajibiwa na mkubwa peleka Kisutu hivyo hivyo tutarekebisha mbele ya safari..
Tena unajibiwa huyu akomeshwe vya kutosha ongezea na mengine.. Bwana fulani mkubwa hataki kumuona uraiani
Sasa roho za namna hii jamani tuombe sana zisiwepo tena ni hatari kwa usalama wa nchi
 
Wale watu Mia waliokufa morogoro kwa Moto na meli iliyozama ukerewe, nayo ilikuwa ni neema?
 
Jpm katawala miaka 5 hebu orodhesha walau watu 10 waliotekwa na kuuawa
Alphonso mawazo
Ben Sanane
Anzory Gwanda
Diwan wa hananasifu
Diwan kilombero
Akwili akwin
Wengine mania waliopotea na Kuwawa huko MKIRU-
Unaishi nchi gani wewe
 
Alimwambia mwanasheria mkuu .... nitakupa pesa ila kuna watu wangu uwafunge. Yule hakuwa binadamu lilikuwa dubwasha katili sana. Tumshukuru mungu kwa wema wake 17.3.2021
 
Mkuu umri wako miaka mingapi maana kama kuna janga ambalo halitasahaulika basi 2016/2017.
 

Wanasiasa huwa wanaangalia maslahi yao na ni wanafiki tu hawana lolote
 
Tuone zama hizi zina kuja na nini ambacho ni kipya kwa mustakabali wa mwananchi wa kule igogomelo village.
 
Wewe ni taahira! Unajuaje sio Mungu aliyekuwa anamwabudu? Wewe na wazazi wako **** mtu alikuwa na cheti feki au fisadi ndo maana unakuja hapa na kelele za kipumbavu! Hata Imani huna maana Bwana Yesu alisema kitoe kijinga kilichoko kwenye jicho lako kabla ya kukitoa cha mwenzako! Na usihukumu usije ukahukumiwa! Sasa nashangaa sana wewe unahukumu hapa! Je wewe ni mwema?
 
Nakwambia wewe ni shetani maana shetani yuko ndani yako!
Alimwambia mwanasheria mkuu .... nitakupa pesa ila kuna watu wangu uwafunge. Yule hakuwa binadamu lilikuwa dubwasha katili sana. Tumshukuru mungu kwa wema wake 17.3.2021
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…