Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Nzige hawakuthubutu maana ile mitutu na mabomu ya JEi Wiii ingekuwa halali yao😅😅😅 wangefumuliwa ubongoHadi mzige walikuwa wakimuogopa JPM [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzige hawakuthubutu maana ile mitutu na mabomu ya JEi Wiii ingekuwa halali yao😅😅😅 wangefumuliwa ubongoHadi mzige walikuwa wakimuogopa JPM [emoji23][emoji23]
KheeeeeApumzike kwa Amani, Baba wa watu kaondoka na baraka zote 🥲
Watu wamepotea kipindi chake nazo zilikuwa neemaMcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa
Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona, ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame, ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja...
Ben saanane, azori, akwilina juma Abdallah, Abdul shomari, Ester JOHN, Abdul Mohamed, Tatu Abdul, peter JOHN, Goodluck mwakipesile, Asha Said nk, nkTaja watu 10 waliouawa mbona mnakuwa wagumu kuelewa?
Nchi hupona haraka majanga Kama kiongozi wa nchi akianzisha maombi sio kiongozi wa dini mfano mzuri kwenye Biblia Ni Mfalme wa Ninawi .
Magufuli alikuwa Kama Mfalme wa Ninawi
Laana ya kuwabambikia watu kesi za ugaidi ndiyo hii sasa.Wanasema kila kitabu na zama zake. Lakini kweli utawala wa JPM ulikuwa na neema ya mvua. Sijui ni kwa mapenzi ya Mungu au alibebwa na majila.
Huyu mama sijajua Neema ya uongozi wake nini au ndiyo hili jua na joto!!
Zulumati wa NSSF....Watanzania tulizoea maombi na ndiyo yalikuwa mafanikio yetu. Sasa tumeingia awamu mpya hakuna cha maombi .
Kukosekana kwa maombi tutarajie nini? Ukame utakaoleta njaa, kukosekana kwa mvua, umeme, maji na mwisho umaskini mkubwa.
Mwenzetu hakumbuki maombi na hatujui anasali wapi na lini. Watanzania wanahitaji maombi
Wakati Wanachama wenye fedha NSSF wana IBIWA uliwahi kuleta Maombi? Niki KUTUtuKANA ..ntakosea? Vaa Sinderera bhatoto bamekaukiwaWatanzania tulizoea maombi na ndiyo yalikuwa mafanikio yetu. Sasa tumeingia awamu mpya hakuna cha maombi .
Kukosekana kwa maombi tutarajie nini? Ukame utakaoleta njaa, kukosekana kwa mvua, umeme, maji na mwisho umaskini mkubwa.
Mwenzetu hakumbuki maombi na hatujui anasali wapi na lini. Watanzania wanahitaji maombi
MKUU Msamehe ...Legacy hailazimishwi,bora kuliko kubambika kesi, wasiojulikana, kamata kamata,kuimba mapambio
Salute...Hivi yale ya Magufuli yalikuwa ni maombi au propaganda za kiserikali?
Serikali haina dini wala imani, ukiona serikali inajiingiza kwenye msititizo wa dini au imani basi ujue hizo ni hadaa za kisiasa (propaganda).
Eti unaitisha maombi ya kuifuta Corona hapa Tz halafu baada ya maombi unaitangazia dunia kuwa Corona imefutika Tz na kamwe haitarudi tena Tz! Kilichokuja kutokea ni bendera kupeperushwa nusu mlingoti.
Tuache kumdhihaki Mungu.
Siyo wa kuwasamehe hawa.Wataendelea kuleta ujingaujinga.MKUU Msamehe ...
KATIBA MPYAA...bado na fikra za UJIMA?Watanzania tulizoea maombi na ndiyo yalikuwa mafanikio yetu. Sasa tumeingia awamu mpya hakuna cha maombi .
Kukosekana kwa maombi tutarajie nini? Ukame utakaoleta njaa, kukosekana kwa mvua, umeme, maji na mwisho umaskini mkubwa.
Mwenzetu hakumbuki maombi na hatujui anasali wapi na lini. Watanzania wanahitaji maombi