Hayati Magufuli alishatuambia kuwa Rais Samia ana wajomba Oman

Hayati Magufuli alishatuambia kuwa Rais Samia ana wajomba Oman

Siasa zina Fitina Sana,

Salim Ahmed Salim alikosa nafasi ya kugombea Uraisi kwa sababu tu tuliambiwa kuwa alikuwa na Vinasaba vya Waarabu.
Halafu huyu Samia inaonekana kama ni sifa yeye kuwa na mjomba Oman
 
..yule alikuwa taswira ya unyang'au hapa Tz.

..mambo aliyowafanyia wapinzani ni mabaya sikuwahi kuota yatatokea hapa Tz.
Orodhesha hayo mabaya, halafu elezea leo yamebadilika vipi.

Tofauti ya Samia na Magufuli ipo kwenye ndimi tu; moja tatu na nyingine chachu. Lakini hatua ni zilezile.
 
Mjomba ni mama.. Mama akitaka kitu mwana hawezi kamwe kumnyima ama kwa upendo ama kwa kuogopa radhi ama kwa kuogopa kusemwa na kutengwa na ndugu
Mjomba ni mama hata akiwahitaji bata wa bwawa la kijiji na nguchiro wa msitu wa hifadhi wa kijiji atapata...[emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Ndiyo maana ameomba meli ya kuwapelekea wanyamapori
 
Samia kuwa na ndugu Oman sioni ajabu.
Maana watanzania asilimia kubwa ni wakimbizi.
 
Alisemaje?
CC: Johnny Sack

“Najua ilivyokuwa nyuma kidogo ukitaka kuwekeza, mimi pia nilikuwepo najua mnanielewa. Ila nawahakikishia mambo yamebadilika na tutawawekea special incentives”.

Na ata body language yake ukiangalia wakati anaongea hayo maneno imejaa kejeli na dharau tupu.
 
“Najua ilivyokuwa nyuma kidogo ukitaka kuwekeza, mimi pia nilikuwepo najua mnanielewa. Ila nawahakikishia mambo yamebadilika na tutawawekea special incentives”.

Na ata body language yake ukiangalia wakati anaongea hayo maneno imejaa kejeli na dharau tupu.
Haya bana.....hajui cheo ni dhamana leo upo kesho haupo
 
Yap !!Atakuwa Dsm au Oman.Jamaa alikuwa beki Namba tatu kisiki Sana wa Yanga na Timu ya Taifa.Walimwita mathematician.Siku nyingi Sana .Alicheza mpira na Athuman Juma Chama,Yusuph Ismail Bana,Hamis Kinye.Joseph Fungo,Charles Boniface Mkwasa,Juma Mkambi,Allan Shomari,Omary Hussein,Abeid Mziba.,Makumbi Juma,Rashid Hanzuruni.
Una kumbu kumbu sana.Umetuletea mambo muhimu sana,ingekuwa jf ina sehemu ya michezo,tungefaidi sana.Tuwaombe wahusika watuekee jukwaa la michezo,tupate historia za michezo na habari za sasa.
 
Huyo jamaa ni kocha saa hizi Oman

Pia yupo yule alikua Simba anaitwa Talib Hilal pia ni kocha huko Oman timu yao ya taifa ya mpira wa ufukweni(Beach soccer)
Inatakiwa tupate jukwaa la michezo,tupate habari za michezo,hapa jf.Michezo ni ajira,michezo ni afya ya akili na mwili.Michezo inaunganisha undugu,michezo inaburudisha.
 
Huu ndio ukweli,na ukweli,haupati wachangiaji.Wanaouliza kuhusu undugu wa Mama Samia na wajomba zake wa Oman,alishatueleza Mh.Rais Magufuli,na pia akatuambia hawa wa Oman ni ndugu zetu.

Walipokuja mawaziri kutoka Oman,ambao wengi wao asili yao ni Tanzania na wanaongea kiswahili.Hapa inatakiwa sisi watanzania,kutembea kifua mbele,kuwa tumejipenyeza katika nchi mbali mbali duniani,katika uongozi,na kueneza lugha ya kiswahili.
Utaolewa.... Sio watu wazuuri saana
 
Siasa zina Fitina Sana,

Salim Ahmed Salim alikosa nafasi ya kugombea Uraisi kwa sababu tu tuliambiwa kuwa alikuwa na Vinasaba vya Waarabu.
Kazi ya wana mtandao...ukiongozwa na yule mstaafu.
 
Mbon Magufuli mwenyewe si alikuwa mhutu wa Burundi ndio maana jamaa lilikuwa katili na roho mbaya kama ndugu zake wahutu. Yaani ikulu ya nchi ilikuwa inaongozwa na raia wawili toka mataifa tofauti ***** kafa mmoja mwingine kachukua hatamu.

Kwa KATIBA hii mbovu sio tuu dada yao anatawala Hata mfalme wa Omani atakuja kutawala hapa na hamumfanyi chochote majuha ninyi.
Sawa na Kikwete naye utasema ana asili ya wapi...
 
Back
Top Bottom