Halafu huyu Samia inaonekana kama ni sifa yeye kuwa na mjomba OmanSiasa zina Fitina Sana,
Salim Ahmed Salim alikosa nafasi ya kugombea Uraisi kwa sababu tu tuliambiwa kuwa alikuwa na Vinasaba vya Waarabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu huyu Samia inaonekana kama ni sifa yeye kuwa na mjomba OmanSiasa zina Fitina Sana,
Salim Ahmed Salim alikosa nafasi ya kugombea Uraisi kwa sababu tu tuliambiwa kuwa alikuwa na Vinasaba vya Waarabu.
Orodhesha hayo mabaya, halafu elezea leo yamebadilika vipi...yule alikuwa taswira ya unyang'au hapa Tz.
..mambo aliyowafanyia wapinzani ni mabaya sikuwahi kuota yatatokea hapa Tz.
Alisemaje?Tatizo la Mama kila akipata fursa anamuongelea mwenzake vibaya, juzi tena karudia Oman.
CCM ni hatari sn na wakati mtu alishakuwa PMSiasa zina Fitina Sana,
Salim Ahmed Salim alikosa nafasi ya kugombea Uraisi kwa sababu tu tuliambiwa kuwa alikuwa na Vinasaba vya Waarabu.
Ndiyo maana ameomba meli ya kuwapelekea wanyamaporiMjomba ni mama.. Mama akitaka kitu mwana hawezi kamwe kumnyima ama kwa upendo ama kwa kuogopa radhi ama kwa kuogopa kusemwa na kutengwa na ndugu
Mjomba ni mama hata akiwahitaji bata wa bwawa la kijiji na nguchiro wa msitu wa hifadhi wa kijiji atapata...[emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Sasa kuna shida gani akiwa na wajomba huko Oman?View attachment 2261727
Hayati Rais Magufuli alishatuambia kuwa Mama Samia ana wajomba Oman na wa Oman ni ndugu zetu
View attachment 2261726
CC: Johnny SackAlisemaje?
Haya bana.....hajui cheo ni dhamana leo upo kesho haupo“Najua ilivyokuwa nyuma kidogo ukitaka kuwekeza, mimi pia nilikuwepo najua mnanielewa. Ila nawahakikishia mambo yamebadilika na tutawawekea special incentives”.
Na ata body language yake ukiangalia wakati anaongea hayo maneno imejaa kejeli na dharau tupu.
Una kumbu kumbu sana.Umetuletea mambo muhimu sana,ingekuwa jf ina sehemu ya michezo,tungefaidi sana.Tuwaombe wahusika watuekee jukwaa la michezo,tupate historia za michezo na habari za sasa.Yap !!Atakuwa Dsm au Oman.Jamaa alikuwa beki Namba tatu kisiki Sana wa Yanga na Timu ya Taifa.Walimwita mathematician.Siku nyingi Sana .Alicheza mpira na Athuman Juma Chama,Yusuph Ismail Bana,Hamis Kinye.Joseph Fungo,Charles Boniface Mkwasa,Juma Mkambi,Allan Shomari,Omary Hussein,Abeid Mziba.,Makumbi Juma,Rashid Hanzuruni.
Inatakiwa tupate jukwaa la michezo,tupate habari za michezo,hapa jf.Michezo ni ajira,michezo ni afya ya akili na mwili.Michezo inaunganisha undugu,michezo inaburudisha.Huyo jamaa ni kocha saa hizi Oman
Pia yupo yule alikua Simba anaitwa Talib Hilal pia ni kocha huko Oman timu yao ya taifa ya mpira wa ufukweni(Beach soccer)
Tuombe Jf,iwe na jukwaa la michezo.Tupate burudani ,michezo ni ajira pia.Kumbe jf wapo,watu wanaelezea vizuri michezo.Umenikumbusha siku nyingi Hamis Kinye, Madata Rubigisa na Mwameja ndio walinifanya nikaamua kuwa Goal Keeper...
Hakuna shida,tunamfahaisha,alieleta uzi,akiwa anashangaa mama Samia kuwa na wajomba Oman,ndio namfahamisha Hayati Mh.Rais Magufuli,alishatuambia.Sasa kuna shida gani akiwa na wajomba huko Oman?
Kwenye ukoo wa Ngedele?Jiwe akaamua kutowazungumzia Wazee wale walioko Burundi, hakutenda Haki kabisa
Ina maana wewe upo hapa JF miaka yote hii hulioni jukwaa la michezo?Tuombe Jf,iwe na jukwaa la michezo.Tupate burudani ,michezo ni ajira pia.Kumbe jf wapo,watu wanaelezea vizuri michezo.
Utaolewa.... Sio watu wazuuri saanaHuu ndio ukweli,na ukweli,haupati wachangiaji.Wanaouliza kuhusu undugu wa Mama Samia na wajomba zake wa Oman,alishatueleza Mh.Rais Magufuli,na pia akatuambia hawa wa Oman ni ndugu zetu.
Walipokuja mawaziri kutoka Oman,ambao wengi wao asili yao ni Tanzania na wanaongea kiswahili.Hapa inatakiwa sisi watanzania,kutembea kifua mbele,kuwa tumejipenyeza katika nchi mbali mbali duniani,katika uongozi,na kueneza lugha ya kiswahili.
Kazi ya wana mtandao...ukiongozwa na yule mstaafu.Siasa zina Fitina Sana,
Salim Ahmed Salim alikosa nafasi ya kugombea Uraisi kwa sababu tu tuliambiwa kuwa alikuwa na Vinasaba vya Waarabu.
Sawa na Kikwete naye utasema ana asili ya wapi...Mbon Magufuli mwenyewe si alikuwa mhutu wa Burundi ndio maana jamaa lilikuwa katili na roho mbaya kama ndugu zake wahutu. Yaani ikulu ya nchi ilikuwa inaongozwa na raia wawili toka mataifa tofauti ***** kafa mmoja mwingine kachukua hatamu.
Kwa KATIBA hii mbovu sio tuu dada yao anatawala Hata mfalme wa Omani atakuja kutawala hapa na hamumfanyi chochote majuha ninyi.