Hayati Magufuli alisitisha ongezeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa Bwawa la Nyerere

Hayati Magufuli alisitisha ongezeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa Bwawa la Nyerere

Bado wewe unayejiita wa mjini unamkandia JPM? Hata Dar yenyewe kajitahidi kupunguza kero fulanufulani bado unamwita JPM alikuwa mshamba? Kweli wewe ni tatizo!
Sijasema mshamba, nimesema alikuwa ana matatizo yake mengine, ila kwa infrastructure alijitahidi, Magu alikuwa akipenda vitu vizuri vizuri. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
 
Mungu amlaze mahali pema peponi. Kazi zake zimeonekana na jitihada zake. Wengi wao humponda Magufuli kwa sababu chuki zinatuendesha ila kiuhalisia alifanya mengi na aliona mbali. Kwa wasiokuwa na faida nae nawapa pole sana ila kwa sie tulioona faida nae tunaendelea kumuombea. Huwezi kuwa raisi ukawafuraisha wote. .

Watu hupenda kushangilia vitu bila kutafakazi na mihemko ya vijiweni. Leo hii unaona kabisa mfumuko wa bei wa kiholea yote haya wanamuita dictator ila ilibidi ili mabepari na mabeberu wasitunyonye. Leo hii unaona panya road wengi na hao walifukuzwa machinga. Leo hii wazungu wanadai sisi ni marafiki zao na utumwa wa kumwabudu mzungu kila kitu; tangia lini mzungu akatupenda sisi. .

Ni vitu vingi watu wanapotosha, eti mnafungua nchi, sasa nchi imefunguliwa kipi ambacho tunafaidika na wazungu. Hatuwezi kuishi wenyewe sikatai ila AIBU tupu tunanyonywa hadi na wakenya? Mungu akulaze mahali pema peponi, mapungufu yako kibinadamu Mungu akusamehe, hakuna mkamilifu, umefanya makubwa sana. .
Hakufanya kazi yoyote zaidi ya kufoka na kuaaambia watu shombo.
 
Tunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere.

Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine.

CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
Limeisha hilo bwawa lenu?
 
Tunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere.

Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine.

CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
Siyo eyapoti ya chato?
 
Tusimdharau mtu yeyote,kila kiongozi ana pande mbili,Magufuli yeye alipenda sana kusifiwa na ukimsifia unapata cheo,Nikimuangalia Samia na ni wale wale wanaopenda kusifiwa kama akina magufuli,ndio maana uliona pale spika Ndugai aliposema mama anaenda nje kukopa kopa tu ilihali deni la Taifa ni kubwa,sote tunakumbuka nn kilitokea,spika alinangwa balaaa.wenye akili tukajua kumbe wanataka wakikopa wasifiwe kila Kona.WATANZANIA MTAMBUE DAWA ILIYOBAKI NI MOJA TU,NAYO NI KUACHA UJINGA NA UPUMBAVU ULIOPITILIZA WA KUISHABIKIA CCM AMBAYO KWA STAILI YAKE MPYA INATESA WATU WOTE WALA HAIBAGUI,SASA CCM INASTAILI YA KILA MTU AJIFIE MWENYEWE.WATANZANA TUACHE UJINGA TUKATAE MATESO YA KULAZIMISHWA.
Fedha za ongezeko la salary na ajira na kupandisha madaraja saizi zimetoka wapi?

Bwawa limesimama kujengwa?

Failures siku zote huwa Wana excuses nyingi Sana.
 
Hakufanya kazi yoyote zaidi ya kufoka na kuaaambia watu shombo.
Mwenzio kapewa tuzo kwa kukubali yule mtangulizi wake kama si yeye hata hiyo tuzo asingepata!,
Soma gezeti la mwananchi la tarehe 26 Mei 2022
 
Yule mzee alikuwa muongo hakuna mfano hela anakopa anatudanganya anajenga kwa hela za ndani
Alikopa wapi nyanooko wewe! Nyie ndiyo wale mafisadi mnalipwa kueneza uongo kwamba JPM alikua hafai, nakuambieni ni ngumu kueleweka kwa waTanzania maana waliona Kwa macho yao kilicholala kiliamka, kilichoanguka kiliinuliwa ..... Acha ushenzi wewe
 
Tunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere.

Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine.

CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
Takataka achà lifilie kwa mbali
 
Tunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere.

Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine.

CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
Hii ilikuwa dhambi mbaya sana. Huwezi kuwaibia watu wachache kwa malengo ya nchi nzima. Ilitakiwa kuchukua pesa za madini au kukuza maisha ya watu ndipo tuwekeze kwenye miradi ya namna hii..

Wizi siyo njia halali ya kuendeleza nchi.
 
Tunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere.

Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine.

CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
magufuli alikuwa mtu mpuuzi. nyongeza ya mishahara ni takwa la kisheria, haliamuliwi majukwaani,
makonda alikuwa mpuuzi pia sikukuu ya may mosi siyo siku ya kuusifu utawala.
TANZANIA ILISHAWAHI KUWA NA RAISI CHIZI. ********
 
Tunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere.

Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine.

CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
Hayati alikuwa anaomba mbali pamoja na vurugu zake. Unaendaje shamba kuanza kulima na kutaka kuvuna kesho yake.
 
Mungu amlaze mahali pema peponi. Kazi zake zimeonekana na jitihada zake. Wengi wao humponda Magufuli kwa sababu chuki zinatuendesha ila kiuhalisia alifanya mengi na aliona mbali. Kwa wasiokuwa na faida nae nawapa pole sana ila kwa sie tulioona faida nae tunaendelea kumuombea. Huwezi kuwa raisi ukawafuraisha wote. .

Watu hupenda kushangilia vitu bila kutafakazi na mihemko ya vijiweni. Leo hii unaona kabisa mfumuko wa bei wa kiholea yote haya wanamuita dictator ila ilibidi ili mabepari na mabeberu wasitunyonye. Leo hii unaona panya road wengi na hao walifukuzwa machinga. Leo hii wazungu wanadai sisi ni marafiki zao na utumwa wa kumwabudu mzungu kila kitu; tangia lini mzungu akatupenda sisi. .

Ni vitu vingi watu wanapotosha, eti mnafungua nchi, sasa nchi imefunguliwa kipi ambacho tunafaidika na wazungu. Hatuwezi kuishi wenyewe sikatai ila AIBU tupu tunanyonywa hadi na wakenya? Mungu akulaze mahali pema peponi, mapungufu yako kibinadamu Mungu akusamehe, hakuna mkamilifu, umefanya makubwa sana. .
Wameondoka wasiojulikana vs panya road.vp hapo nani alitishia usalama?
 
Back
Top Bottom