Tusimdharau mtu yeyote,kila kiongozi ana pande mbili,Magufuli yeye alipenda sana kusifiwa na ukimsifia unapata cheo,Nikimuangalia Samia na ni wale wale wanaopenda kusifiwa kama akina magufuli,ndio maana uliona pale spika Ndugai aliposema mama anaenda nje kukopa kopa tu ilihali deni la Taifa ni kubwa,sote tunakumbuka nn kilitokea,spika alinangwa balaaa.wenye akili tukajua kumbe wanataka wakikopa wasifiwe kila Kona.WATANZANIA MTAMBUE DAWA ILIYOBAKI NI MOJA TU,NAYO NI KUACHA UJINGA NA UPUMBAVU ULIOPITILIZA WA KUISHABIKIA CCM AMBAYO KWA STAILI YAKE MPYA INATESA WATU WOTE WALA HAIBAGUI,SASA CCM INASTAILI YA KILA MTU AJIFIE MWENYEWE.WATANZANA TUACHE UJINGA TUKATAE MATESO YA KULAZIMISHWA.