field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,171
- 2,732
Sijasema mshamba, nimesema alikuwa ana matatizo yake mengine, ila kwa infrastructure alijitahidi, Magu alikuwa akipenda vitu vizuri vizuri. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.Bado wewe unayejiita wa mjini unamkandia JPM? Hata Dar yenyewe kajitahidi kupunguza kero fulanufulani bado unamwita JPM alikuwa mshamba? Kweli wewe ni tatizo!
Hakufanya kazi yoyote zaidi ya kufoka na kuaaambia watu shombo.Mungu amlaze mahali pema peponi. Kazi zake zimeonekana na jitihada zake. Wengi wao humponda Magufuli kwa sababu chuki zinatuendesha ila kiuhalisia alifanya mengi na aliona mbali. Kwa wasiokuwa na faida nae nawapa pole sana ila kwa sie tulioona faida nae tunaendelea kumuombea. Huwezi kuwa raisi ukawafuraisha wote. .
Watu hupenda kushangilia vitu bila kutafakazi na mihemko ya vijiweni. Leo hii unaona kabisa mfumuko wa bei wa kiholea yote haya wanamuita dictator ila ilibidi ili mabepari na mabeberu wasitunyonye. Leo hii unaona panya road wengi na hao walifukuzwa machinga. Leo hii wazungu wanadai sisi ni marafiki zao na utumwa wa kumwabudu mzungu kila kitu; tangia lini mzungu akatupenda sisi. .
Ni vitu vingi watu wanapotosha, eti mnafungua nchi, sasa nchi imefunguliwa kipi ambacho tunafaidika na wazungu. Hatuwezi kuishi wenyewe sikatai ila AIBU tupu tunanyonywa hadi na wakenya? Mungu akulaze mahali pema peponi, mapungufu yako kibinadamu Mungu akusamehe, hakuna mkamilifu, umefanya makubwa sana. .
Limeisha hilo bwawa lenu?Tunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere.
Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine.
CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
Maliziakabisa wa chukua chako mapema 🤔Labda alimkopa yeye
Anawasikiliza wanasiasa uchwara
Siyo eyapoti ya chato?Tunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere.
Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine.
CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
Fedha za ongezeko la salary na ajira na kupandisha madaraja saizi zimetoka wapi?Tusimdharau mtu yeyote,kila kiongozi ana pande mbili,Magufuli yeye alipenda sana kusifiwa na ukimsifia unapata cheo,Nikimuangalia Samia na ni wale wale wanaopenda kusifiwa kama akina magufuli,ndio maana uliona pale spika Ndugai aliposema mama anaenda nje kukopa kopa tu ilihali deni la Taifa ni kubwa,sote tunakumbuka nn kilitokea,spika alinangwa balaaa.wenye akili tukajua kumbe wanataka wakikopa wasifiwe kila Kona.WATANZANIA MTAMBUE DAWA ILIYOBAKI NI MOJA TU,NAYO NI KUACHA UJINGA NA UPUMBAVU ULIOPITILIZA WA KUISHABIKIA CCM AMBAYO KWA STAILI YAKE MPYA INATESA WATU WOTE WALA HAIBAGUI,SASA CCM INASTAILI YA KILA MTU AJIFIE MWENYEWE.WATANZANA TUACHE UJINGA TUKATAE MATESO YA KULAZIMISHWA.
Mwenzio kapewa tuzo kwa kukubali yule mtangulizi wake kama si yeye hata hiyo tuzo asingepata!,Hakufanya kazi yoyote zaidi ya kufoka na kuaaambia watu shombo.
Mwenzio kapewa tuzo kwa kukubali yule mtangulizi wake kama si yeye hata hiyo tuzo asingepata!,
Soma gezeti la mwananchi la tarehe 26 Mei 2022
Alikopa wapi nyanooko wewe! Nyie ndiyo wale mafisadi mnalipwa kueneza uongo kwamba JPM alikua hafai, nakuambieni ni ngumu kueleweka kwa waTanzania maana waliona Kwa macho yao kilicholala kiliamka, kilichoanguka kiliinuliwa ..... Acha ushenzi weweYule mzee alikuwa muongo hakuna mfano hela anakopa anatudanganya anajenga kwa hela za ndani
Takataka achà lifilie kwa mbaliTunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere.
Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine.
CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
eLa nini.
Alikopa benki gani na kiasi gani?Yule mzee alikuwa muongo hakuna mfano hela anakopa anatudanganya anajenga kwa hela za ndani
Hawezi kujibu labda atatukana tuu.Alikopa wapi?
Hii ilikuwa dhambi mbaya sana. Huwezi kuwaibia watu wachache kwa malengo ya nchi nzima. Ilitakiwa kuchukua pesa za madini au kukuza maisha ya watu ndipo tuwekeze kwenye miradi ya namna hii..Tunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere.
Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine.
CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
magufuli alikuwa mtu mpuuzi. nyongeza ya mishahara ni takwa la kisheria, haliamuliwi majukwaani,Tunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere.
Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine.
CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
UTAJUAJE KAMA HUJUIAlimkopa nani wakati nchi ilifungwa?
Hayati alikuwa anaomba mbali pamoja na vurugu zake. Unaendaje shamba kuanza kulima na kutaka kuvuna kesho yake.Tunakumbushana tu kwamba hayati Magufuli alisitisha ongexeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa kwenye ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers gorge au Nyerere.
Kwa sasa mradi uko mwishoni na fedha zinaelekezwa maeneo mengine.
CCM ni sikivu, hongera Rais Samia.
Standard charteredAlikopa wapi?
Wameondoka wasiojulikana vs panya road.vp hapo nani alitishia usalama?Mungu amlaze mahali pema peponi. Kazi zake zimeonekana na jitihada zake. Wengi wao humponda Magufuli kwa sababu chuki zinatuendesha ila kiuhalisia alifanya mengi na aliona mbali. Kwa wasiokuwa na faida nae nawapa pole sana ila kwa sie tulioona faida nae tunaendelea kumuombea. Huwezi kuwa raisi ukawafuraisha wote. .
Watu hupenda kushangilia vitu bila kutafakazi na mihemko ya vijiweni. Leo hii unaona kabisa mfumuko wa bei wa kiholea yote haya wanamuita dictator ila ilibidi ili mabepari na mabeberu wasitunyonye. Leo hii unaona panya road wengi na hao walifukuzwa machinga. Leo hii wazungu wanadai sisi ni marafiki zao na utumwa wa kumwabudu mzungu kila kitu; tangia lini mzungu akatupenda sisi. .
Ni vitu vingi watu wanapotosha, eti mnafungua nchi, sasa nchi imefunguliwa kipi ambacho tunafaidika na wazungu. Hatuwezi kuishi wenyewe sikatai ila AIBU tupu tunanyonywa hadi na wakenya? Mungu akulaze mahali pema peponi, mapungufu yako kibinadamu Mungu akusamehe, hakuna mkamilifu, umefanya makubwa sana. .