Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki sio kizazi cha CCM boss, imeshashindikana kuiua CDM kwa mbinu halali na mbaya. Njia pekee ya kuimaliza CDM ni kuifuta. Ukitaka kujua CDM ndio chenye ushawishi kwa umma, nenda kaangalie kampeni za uchaguzi mdogo wa Mbarali ambapo CDM wamesema hawawezi kushiriki huo upuuzi, ndio utajua CDM ni chama cha aina gani, kwa jinsi kampeni zilivyododa, na utegemee idadi ndogo sana ya wapiga kura kujitokeza hiyo septemba 19, ambao kimsingi ndio wapiga kura wenu, kisha mnaishia kupora uchaguzi.Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Ukipinga wizi wa kura wa CCM ww sio mwanasiasa bali ni mwanaharakati. Ila ukikubali kuporwa uchaguzi ww ndio mwanasiasa! Hizi ndio tafsiri za akili za kukimbizia mwenge.Imekuwa NGO's ya harakati na si chama cha siasa.....
Madhara ya kuwaachia chama WAHUNI wasiodhibitika.....
Tundu Lissu ni wa kumteua kuwa VC?!! [emoji3][emoji3][emoji3]
Mjomba wangu alisoma naye LAW SCHOOL....anasema huyo jamaa ni mjuaji wa kila kitu....huwezi kujadiliana naye jambo akakubali hoja za wengine.....
Alinieleza kuwa amekutana na watata wengi....ila ndg.Tundu alimpa TUZO ya zaidi ya utata wa kawaida wa wanasheria MAHAKAMANI....
Mzee wa "kubadili gia angani" wala hayamuumizi kimaslahi....
Kwani zile alizochota baada ya "askofu mshenga" kumkabili....bado zipo katika akaunti za OFFSHORE.....
Hizo zilikutana na zile alizodibua kwa R.A 2005...
Akina RODNEY wanajichana nazo tu....Mdude kazi kwake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#SiempreJMT[emoji7][emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hivi sasa wamesahau hoja ya bandari kuuzwa, wanakuja na video zinazoonyesha wamasai wakirudisha kadi za CCM.Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Jionee harakati za TL....Ukipinga wizi wa kura wa CCM ww sio mwanasiasa bali ni mwanaharakati. Ila ukikubali kuporwa uchaguzi ww ndio mwanasiasa! Hizi ndio tafsiri za akili za kukimbizia mwenge.
Umekula maharage ya wapi !.Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Alisoma na mjomba wako anamkubali kweli kweli.Imekuwa NGO's ya harakati na si chama cha siasa.....
Madhara ya kuwaachia chama WAHUNI wasiodhibitika.....
Tundu Lissu ni wa kumteua kuwa VC?!! [emoji3][emoji3][emoji3]
Mjomba wangu alisoma naye LAW SCHOOL....anasema huyo jamaa ni mjuaji wa kila kitu....huwezi kujadiliana naye jambo akakubali hoja za wengine.....
Alinieleza kuwa amekutana na watata wengi....ila ndg.Tundu alimpa TUZO ya zaidi ya utata wa kawaida wa wanasheria MAHAKAMANI....
Mzee wa "kubadili gia angani" wala hayamuumizi kimaslahi....
Kwani zile alizochota baada ya "askofu mshenga" kumkabili....bado zipo katika akaunti za OFFSHORE.....
Hizo zilikutana na zile alizodibua kwa R.A 2005...
Akina RODNEY wanajichana nazo tu....Mdude kazi kwake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#SiempreJMT[emoji7][emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2956][emoji2956]Hivi sasa wamesahau hoja ya bandari kuuzwa, wanakuja na video zinazoonyesha wamasai wakirudisha kadi za CCM.
Hakika aliniambia jamaa ni KIPANGA...ana akili nyingi...ila ndani ya hizo akili huwa hana UTULIVU wa kutumia hekima na busara [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alisoma na mjomba wako anamkubali kweli kweli.
Magu aliwashindwa vipi watu aliwapiga marufuku wasifanye mikutano ya hadhara wakatii, aliwatisha wakatishika wakakimbia nchi, akawapora majimbo yote na viti Maalum akawachagulia Wabunge ?Kama magu alishindwa bi kidude hataweza asilan...
Then badaa ya kupora unajua kilichofata...hakuna alichofaidi had leo imebak stor na chadema wapo na bi kidude halali stress in climax...Magu aliwashindwa vipi watu aliwapiga marufuku wasifanye mikutano ya hadhara wakatii, aliwatisha wakatishika wakakimbia nchi, akawapora majimbo yote na viti Maalum akawachagulia Wabunge ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Magu aliwashindwa vipi watu aliwapiga marufuku wasifanye mikutano ya hadhara wakatii, aliwatisha wakatishika wakakimbia nchi, akawapora majimbo yote na viti Maalum akawachagulia Wabunge ?
Ni wahuni hawa, watanzania wapuuzeni shida yao njaa ya ruzukuTukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Ya DJ MboweUmekula maharage ya wapi !.
Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.