Hayati Magufuli alitaka kuiangamiza CHADEMA kwa mabavu, Rais Samia amewapa kamba wajinyonge wenyewe

Hayati Magufuli alitaka kuiangamiza CHADEMA kwa mabavu, Rais Samia amewapa kamba wajinyonge wenyewe

Ukiwa hujaelewa kitu ni vizuri uandishi wake usiwe na maneno ya kujifanya unaelewa unachokiongea.

Hati miliki ya bandari ni mali ya bandari yenyewe, ambayo ni mali ya serikali ya JMT.

DP World anapangishwa magat namba tatu mpaka namba nane.

Mwendeshaji mwingine anayetafutwa muda huu atapangishwa magati namba nane mpaka kumi na moja.

Kuna mwendeshaji mwingine anayetafutwa muda huu kwa ajili ya bandari ya Mbegani Bagamoyo, atapangishwa pia.

Kuna mwendeshaji mwingine anatafutwa muda huu kwa ajili ya bandari ya Tanga, atapangishwa pia.

Hawa ni wapangaji sio wamiliki, sasa hayo masuala ya bandari zetu kuuzwa ni matokeo ya uelewa mdogo wa hao wanaoipinga mipango ya kiserikali.

Rasilimali za Taifa sio bandari, kile ni chombo cha kibiashara. Ni sawa uwe na nyumba kadhaa za kupanga na wakati wewe mwenye nyumba unaishi eneo hilo hilo, unavuta kodi yao kwa mujibu wa mkataba mnaokubaliana na wao wanaendelea kutoa huduma bora za bandari.

Watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa - Biblia Takatifu.
Infact Mimi sio mwanataluma wa uwekezaji.
Na Wala sio mwanasheria.
Je wewe unataaluma ipi? Pengine usiwe mtu sahihi katika hoja ya uwekezaji katika bandari au ukawa mtu sahihi. Lakini ni chawa kama chawa wengine hutuwezi tukafikia hatuna nzuri. Maana Kwa uchache tu nimefuatilia mijadara kadhaa inayohusu bandari na Nina maswali yasiyo na majibu.
Kama unataaluma inayoendana na hili nipe nafac nikuulize
 
Infact Mimi sio mwanataluma wa uwekezaji.
Na Wala sio mwanasheria.
Je wewe unataaluma ipi? Pengine usiwe mtu sahihi katika hoja ya uwekezaji katika bandari au ukawa mtu sahihi. Lakini ni chawa kama chawa wengine hutuwezi tukafikia hatuna nzuri. Maana Kwa uchache tu nimefuatilia mijadara kadhaa inayohusu bandari na Nina maswali yasiyo na majibu.
Kama unataalumea inayoendana na hili nipe nafac nikuulize
Hili neno chawa ni tusi kwangu mimi. Nimeishi katika awamu zote sita za marais wa nchi hivyo ninafahamu mengi kuliko hawa kina Maulidi Kitenge, Mwijaku na Baba Levo.

Ni mwandishi wa habari ambaye nipo karibu na wanasheria walioandaa huu mkataba wa IGA unaozungumziwa pasipo watu kuwa na uelewa mpana wa hicho wanachokiongelea.
 
Hili neno chawa ni tusi kwangu mimi. Nimeishi katika awamu zote sita za marais wa nchi hivyo ninafahamu mengi kuliko hawa kina Maulidi Kitenge, Mwijaku na Baba Levo.

Ni mwandishi wa habari ambaye nipo karibu na wanasheria walioandaa huu mkataba wa IGA unaozungumziwa pasipo watu kuwa na uelewa mpana wa hicho wanachokiongelea.
Okay. Naomba unisaidie
Ni mkataba au makubaliano.?
Mkataba huu haujasema kuhusu time limit, ikoje?
Na Kuna kifungu kinachozungumzia umiliki wa ardhi iliyoko kwenye mradi husika, kikoje?
Kwa nini uliingia bungeni, coz mikataba mingi ya kibiashara haziingii bungeni, hata TPA bila shaka haikujadiliwa bungeni?
Kuna maneno yaliyopo kwenye mkataba/makubaliano haya kuwa ukiusaini automatic unakua umekubali kwenye baadhi ya mikataba ijayo. Je hii ikoje?
Lakini wanasheria nguli like lisu, warioba, na taasisi kubwa zingine zinaukataa. Kwa nini serikali ilazimishe na kuharakisha kuusaini, badala Ya kuachana nao, au kuanza kipengele kimoja baada ya kingine katika kujadili na kupisha(ni wazi kuwa sio mkubwa, hauna peji nyingi)?
Nikijiuliza haya naona Kuna mahali hapako sawa ila serikali haitaki kuzngatia.
Isitoshe ipo mikataba mingi iliyopitishwa na serikali na wanasheria wa serikali, na ni ya hovyo,(mingine imeondolewa baada ya hasara na mingine bado inaendelea licha ubovu wake), so lazima ijulikane wazi kuwa hatuamini serikali Kwa asimilia kubwa,
 
Okay. Naomba unisaidie
Ni mkataba au makubaliano.?
Mkataba huu haujasema kuhusu time limit, ikoje?
Na Kuna kifungu kinachozungumzia umiliki wa ardhi iliyoko kwenye mradi husika, kikoje?
Kwa nini uliingia bungeni, coz mikataba mingi ya kibiashara haziingii bungeni, hata TPA bila shaka haikujadiliwa bungeni?
Kuna maneno yaliyopo kwenye mkataba/makubaliano haya kuwa ukiusaini automatic unakua umekubali kwenye baadhi ya mikataba ijayo. Je hii ikoje?
Lakini wanasheria nguli like lisu, warioba, na taasisi kubwa zingine zinaukataa. Kwa nini serikali ilazimishe na kuharakisha kuusaini, badala Ya kuachana nao, au kuanza kipengele kimoja baada ya kingine katika kujadili na kupisha(ni wazi kuwa sio mkubwa, hauna peji nyingi)?
Nikijiuliza haya naona Kuna mahali hapako sawa ila serikali haitaki kuzngatia.
Isitoshe ipo mikataba mingi iliyopitishwa na serikali na wanasheria wa serikali, na ni ya hovyo,(mingine imeondolewa baada ya hasara na mingine bado inaendelea licha ubovu wake), so lazima ijulikane wazi kuwa hatuamini serikali Kwa asimilia kubwa,
Makubaliano/makubaliano yote sawa inategemea unavyotaka kuelezea hoja yako.

Ile ni IGA haiwezi kuwa na ukomo wa biashara, ni sawa na kifupisho tu cha nini kinachokwenda kufanyika, ni skeleton ya mtu.

Uliingia bungeni kwa kipengele cha Vienna Convention kinachotaka mikataba ya kimataifa iridhiwe na bunge letu. Kujifunga kwa serikali yetu hakuweza kuwa na nguvu kulinganisha na ile inayozaliwa baada ya mikataba ya kibiashara kuanza kazi, hii ya kibiashara ndiyo yenye uwezo wa kuuvunja huo uliopita bungeni.

Hao uliowaita wanasheria nguli kwa sababu wanazozijua wenyewe hawakutoa ufafanuzi wa kina wa namna huo mkataba wa IGA unavyokwenda kuzaa mikataba ya kibiashara, pia hawajatoa shule pana inayosema kwamba hiyo IGA inaweza kuvunjwa na kutokukubaliana kwa pande mbili wakati wa utekelezaji wa hizo project contracts.

IGA inazaa mikataba ya kibiashara, na hiyo mikataba inaweza kuivunja hiyo IGA muda wowote.

Haya masuala husomewa vyuoni kwa miaka na miaka. Kwa sababu watanzania kila kitu tunadhani tunaweza kukijadili ndio tunajenga ubishi mwingi wa mitandaoni ambao chanzo ni ukosefu wa elimu na maarifa.
 
Hiki sio kizazi cha CCM boss, imeshashindikana kuiua CDM kwa mbinu halali na mbaya. Njia pekee ya kuimaliza CDM ni kuifuta. Ukitaka kujua CDM ndio chenye ushawishi kwa umma, nenda kaangalie kampeni za uchaguzi mdogo wa Mbarali ambapo CDM wamesema hawawezi kushiriki huo upuuzi, ndio utajua CDM ni chama cha aina gani, kwa jinsi kampeni zilivyododa, na utegemee idadi ndogo sana ya wapiga kura kujitokeza hiyo septemba 19, ambao kimsingi ndio wapiga kura wenu, kisha mnaishia kupora uchaguzi.
Hata ccm pia imeshindikana kuitoa madarakani kwa hiyo mpaka matokeo ni 7 -0
 
Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana

Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Utatangulia kuangamia wewe kabla ya chadema, chadema ni spirit ni ngumu kuiangamiza samia atapita ataiacha huku akiiona chadema ikiongoza nchi kabla hajamfuata mwenda zake
 
Imekuwa NGO's ya harakati na si chama cha siasa.....

Madhara ya kuwaachia chama WAHUNI wasiodhibitika.....

Tundu Lissu ni wa kumteua kuwa VC?!! [emoji3][emoji3][emoji3]

Mjomba wangu alisoma naye LAW SCHOOL....anasema huyo jamaa ni mjuaji wa kila kitu....huwezi kujadiliana naye jambo akakubali hoja za wengine.....

Alinieleza kuwa amekutana na watata wengi....ila ndg.Tundu alimpa TUZO ya zaidi ya utata wa kawaida wa wanasheria MAHAKAMANI....

Mzee wa "kubadili gia angani" wala hayamuumizi kimaslahi....

Kwani zile alizochota baada ya "askofu mshenga" kumkabili....bado zipo katika akaunti za OFFSHORE.....

Hizo zilikutana na zile alizodibua kwa R.A 2005...

Akina RODNEY wanajichana nazo tu....Mdude kazi kwake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
bila yeye mjomba wako ange-disco amshukuru jamaa mbishi alikuwa anamsaidia
 
Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana

Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Mtapotea na mama yako huyomwa Kizimkazi.
 
Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana

Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Magufuli alitaka kuiangamiza akaangamia mwenyewe na huyu atajitia kitanzi mwenyewe, ni swala la mda tu
 
Bado cjakupata Vizuri.
Mikataba ya kibiashara Haina ukomo wa muda, lakini huu mkataba ni uwekezaji hususani kwenye bandari, why usiwe na ukomo?
Lakn jambo lingine ulivoenda bungeni, ulienda sambamba na marekebisho ya Sheria. Ambapo marekebisho Yale Yale yalikubaliwa na wabunge Kwa kura, badaye wanastopisha tena Kwa kula zao.
Na je hakuna mikataba ya aina ambayo Wala haikupitia bungeni? Kwa nin huu?
Dp world inasemakana wanakesi na nchi mbalimbali, na ni kesi za mikataba ya namna hii.
Reference: nimemsikia mwanasheria mmoja wa Kenya akilichambua hili
Makubaliano/makubaliano yote sawa inategemea unavyotaka kuelezea hoja yako.

Ile ni IGA haiwezi kuwa na ukomo wa biashara, ni sawa na kifupisho tu cha nini kinachokwenda kufanyika, ni skeleton ya mtu.

Uliingia bungeni kwa kipengele cha Vienna Convention kinachotaka mikataba ya kimataifa iridhiwe na bunge letu. Kujifunga kwa serikali yetu hakuweza kuwa na nguvu kulinganisha na ile inayozaliwa baada ya mikataba ya kibiashara kuanza kazi, hii ya kibiashara ndiyo yenye uwezo wa kuuvunja huo uliopita bungeni.

Hao uliowaita wanasheria nguli kwa sababu wanazozijua wenyewe hawakutoa ufafanuzi wa kina wa namna huo mkataba wa IGA unavyokwenda kuzaa mikataba ya kibiashara, pia hawajatoa shule pana inayosema kwamba hiyo IGA inaweza kuvunjwa na kutokukubaliana kwa pande mbili wakati wa utekelezaji wa hizo project contracts.

IGA inazaa mikataba ya kibiashara, na hiyo mikataba inaweza kuivunja hiyo IGA muda wowote.

Haya masuala husomewa vyuoni kwa miaka na miaka. Kwa sababu watanzania kila kitu tunadhani tunaweza kukijadili ndio tunajenga ubishi mwingi wa mitandaoni ambao chanzo ni ukosefu wa elimu na maarifa.
 
Bado cjakupata Vizuri.
Mikataba ya kibiashara Haina ukomo wa muda, lakini huu mkataba ni uwekezaji hususani kwenye bandari, why usiwe na ukomo?
Lakn jambo lingine ulivoenda bungeni, ulienda sambamba na marekebisho ya Sheria. Ambapo marekebisho Yale Yale yalikubaliwa na wabunge Kwa kura, badaye wanastopisha tena Kwa kula zao.
Na je hakuna mikataba ya aina ambayo Wala haikupitia bungeni? Kwa nin huu?
Dp world inasemakana wanakesi na nchi mbalimbali, na ni kesi za mikataba ya namna hii.
Reference: nimemsikia mwanasheria mmoja wa Kenya akilichambua hili
DP World wamepewa tenda ya kuendesha bandari ya India, nchi ambayo kiuchumi ni kubwa sana kulinganisha na Tanzania, hao wahindi hawazijui hizo kesi walizonazo hawa waendeshaji wa DPW?.

Wanaendesha bandari za Amsterdam, na Antwerp ambazo ni za Uholanzi na Ubelgiji, Tanzania inazikaribia kiuchumi kwa lolote nchi hizi?.

Hizo habari za kesi zinasambazwa na media za kibongo ambazo wamiliki ni hao kina Profesa Tibaijuka na wengine wanaotajirikia bandari yetu kwa kuwa na uendeshaji duni wa kizamani.

Ukomo unaandikwa kwenye mikataba ya kibiashara huwa unategemea na ukubwa wa biashara husika inayokwenda kufanyika.

IGA iliyokwenda bungeni haisimamii moja kwa moja mikataba ya kibiashara, ni ufupisho tu wa nini kinachokwenda kufanyika.
 
Back
Top Bottom