Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Tayar ushaingiza buku saba ✔️Wameshajinyonga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayar ushaingiza buku saba ✔️Wameshajinyonga!
Haha kwa hoja hizi mtatoka kweli? Hata hivyo hongera sana kwa Uzi mzuri mnoTukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Uzoefu wao ni kuiba kura hilo hata mtoto mdogo anajua,na kama unaamini kuwa Magufuli alishinda kwa kishundu basi utakuwa na mtindio wa ubongo.Usidanganywe na hizo video chache. CCM wana uzoefu mkubwa sana wa siasa.
Ukumbuke awamu ya JK kila mtu akajua ndio mwisho wa chama, wakatumwa wazee kina Kinana na Migiro kuiangukia jamii ya wapiga kura.
Iwapo JPM alishinda kwa kishindo sioni namna ambayo Samia anaweza kushindwa, anatekeleza miradi ya marehemu, mmoja baada ya mwingine.
DP World watakapoanza kazi8 Novemba utayaona mabadiliko makubwa kwenye uchumi mzima wa nchi. Kuna uwezekano bei za bidhaa nyingi zikashuka, tukumbuke kuwa meli zao pekee ndio zitakazohudumia bandari hii ya Dar hivyo kuna gharama watakazozibeba wao ambazo zitakwenda kugusa bei za bidhaa mtaani.
Pia ushushaji na upakiaji wa haraka utakwenda kubadilisha masuala mengi ya kiuchumi ambayo kwa sasa bado ni mzigo.
Alikuwa chuma sasa yuko wapi? Hakuna mbabe mbele ya MunguMagu aliwashindwa vipi watu aliwapiga marufuku wasifanye mikutano ya hadhara wakatii, aliwatisha wakatishika wakakimbia nchi, akawapora majimbo yote na viti Maalum akawachagulia Wabunge ?
Wanaharakati wote wa kupinga Serikali na kulilia Katiba mpya walikuwa likizo ya lazima wakati wa Mwamba John Joseph Pombe Magufuli
JPM alikuwa chuma cha Mjerumani kile
Sasa hauoni kama CDM ni hatari. Bila wizi CCM wanajua fika hawatakiwi.Hoja ni kuwa walitii maelekezo yake au laa, aliwanyoosha au laa, Mbowe aliufyata hata kusema tu kuwa Akaunti zake zilipigwa pin aliogopa na kaja kusema miezi kadhaa baada ya Mwamba kuondoka? suala la kifo lipo kwa kila mtu na tofauti yetu ni muda na chanzo tu
Kila siku mnadai kuibiwa kura wakati mnafanya siasa za matusi tu dhidi ya uongozi unaokuwepo madarakani.Uzoefu wao ni kuiba kura hilo hata mtoto mdogo anajua,na kama unaamini kuwa Magufuli alishinda kwa kishundu basi utakuwa na mtindio wa ubongo.
Kizazi cha aina yako kinakaribia kufutika kabisa Tanzania. Wengi wenu ni wanufaika wa mifumo ya CCM au mmeathirika na ujinga na mazingiraTukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Wenye busara hawakukimbia bali waliamua kukaa kimya waone mwisho wa ujinga wake utakuaje.Na madhara ya ule ujinga unaonekana leo kwa macho.Kama akili zako niza kichawa uwezi kuelewa.Magu aliwashindwa vipi watu aliwapiga marufuku wasifanye mikutano ya hadhara wakatii, aliwatisha wakatishika wakakimbia nchi, akawapora majimbo yote na viti Maalum akawachagulia Wabunge ?
Wanaharakati wote wa kupinga Serikali na kulilia Katiba mpya walikuwa likizo ya lazima wakati wa Mwamba John Joseph Pombe Magufuli
JPM alikuwa chuma cha Mjerumani kile
Wewe huna akili naamua kukupuuza.Kila siku mnadai kuibiwa kura wakati mnafanya siasa za matusi tu dhidi ya uongozi unaokuwepo madarakani.
Magufuli kajenga miundo mbinu nchi nzima siku zote alikuwa karibu na mtanzania wa kawaida kabisa, unapoamini kwamba na yeye aliiba kura ni sawa na kuwa mwendawazimu yule mwenye kustahili kufungwa kamba na kupelekwa milembe Dodoma.
JPM alifufua shirika la ndege linalozidi kukua kidunia, kajenga SGR inayokwenda kuleta mzigo kutoka Rwanda na Congo kuja bandarini Dar, kuamini kwamba na yeye aliiba kura ni kuwadharau watanzania waliompigia kura.
Huwezi kupewa nchi kwa kuja na mikakati mingi dhaifu inayoishia kukosoa na kuponda serikali kwa vibonzo vya facebook, twitter na humu Jamiiforum.
Wenye akili ni nyinyi wanaharakati wa JF wenye nguvu inayoishia nyuma ya keyboard.Wewe huna akili naamua kukupuuza.
Akili ya wanachadema imekomaa sana nyakati hizi. Wanajua njia ccm kujifanya wanapuliza huku wanang'ata. Fatilia maneno ya Mzee Cheyo. Bila katiba mpya, sababu zote za kiccm kutotimiza takwa la katiba mpya. Nikutotaka katiba mpya.Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Utakufa mwenyeweSiyo wamasai tu wanarudisha kadi,kila pembe ya nchi sasa kadi zinarudishwa hivi unajua kwa nini huyo bimkubwa wenu anaropoka kama amekunywa maji machafu? Chama kinamfia mikononi.
CHADEMA IPO KWA TAKWA LA MUNGU NA HAITAKUFA BALI WENYE NIA MBAYA NA CHADEMA NDIO WATAKUFATukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Umepungukiwa akili na ufahamuWote wanaoshabikia CCM ni kwa sababu ya akili ndogo.
Kwa takwa la SheitwainCHADEMA IPO KWA TAKWA LA MUNGU NA HAITAKUFA BALI WENYE NIA MBAYA NA CHADEMA NDIO WATAKUFA
Hakuna anayetaka kuuza bandari hilo ni neno zito sana. Ni upangishaji ili tija iweze kuongezeka.Akili ya wanachadema imekomaa sana nyakati hizi. Wanajua njia ccm kujifanya wanapuliza huku wanang'ata. Fatilia maneno ya Mzee Cheyo. Bila katiba mpya, sababu zote za kiccm kutotimiza takwa la katiba mpya. Nikutotaka katiba mpya.
Vikao na vikosi kazi vya nini wakati iko wazi, kuwa tunataka katiba mpya, na hatutaki bandari yetu iuzwe. Lasilimali zetu ziheshimiwe.
Ndo maana Hawakuona haja ya kuhudhuria kwenye kongamano la kijinga kama lile. Wangekua wamejisariti wenyewe na wanainchi walio nyuma yao
Kwa icho kilichofanyika kwenye kongamano la chai, lunch na Dina Kwa siku tatu, Kwa pesa ya watanzania. NAWAPONGEZA CHADEMA KWA KUTOENDA UKO
Nia ni njemaHakuna anayetaka kuuza bandari hilo ni neno zito sana. Ni upangishaji ili tija iweze kuongezeka.
Kubakia na uendeshaji ule ule wa kizamani wakati dunia imeshabadilika kwa kasi ni kujidanganya, ni kuishi na fikra za kijamaa wakati dunia ya kisasa haina urafiki na ujamaa. Rasilimali zetu zitaongezwa ubora wa matumizi yake kwa kutafutiwa mpangishaji mpya.
Wakati tunapokuja na akili kwamba nchi inataka kuuzwa na rasilimali zetu kutoheshimiwa, tukumbuke tu kwamba bandari yetu inahudumia nchi saba zinazotuzunguka.
Haiwezekani tukaiona tija pana ya sekta ya bandari kwa kuendelea kutegemea teknolojia za kizamani.
Ukiwa hujaelewa kitu ni vizuri uandishi wake usiwe na maneno ya kujifanya unaelewa unachokiongea.Nia ni njema
Njia ni ovu.
Tutafikiaje Nia njema?
Nia sio kuuza, ila njia ni ya kuiuza. Je mwishowe itakua haijauzwa?
Unampangisha mtu nyumban, na kumpa hati miliki, umempangisha au umemuuzia.
Tukubali tukatae mikataba mingi ya inch hii ni mibaya Kwa sababu ya njia. Hua mwl anaekopa fedha na kuweka Bondi kadi ya Benk na namba ya Siri Ili atatue mambo ambayo kimsingi ni muhimu Kwa familia yake, tunamuita mjinga, Kwa nin Tanzania isiwe ya wajinga Kwa kusaini mikataba mibovu Kwa kuweka lehani lasilimali za taifa??
Ndo maana tunasema wameuza Kwa sababu mkataba ni mbaya