Imekuwa NGO's ya harakati na si chama cha siasa.....
Madhara ya kuwaachia chama WAHUNI wasiodhibitika.....
Tundu Lissu ni wa kumteua kuwa VC?!! [emoji3][emoji3][emoji3]
Mjomba wangu alisoma naye LAW SCHOOL....anasema huyo jamaa ni mjuaji wa kila kitu....huwezi kujadiliana naye jambo akakubali hoja za wengine.....
Alinieleza kuwa amekutana na watata wengi....ila ndg.Tundu alimpa TUZO ya zaidi ya utata wa kawaida wa wanasheria MAHAKAMANI....
Mzee wa "kubadili gia angani" wala hayamuumizi kimaslahi....
Kwani zile alizochota baada ya "askofu mshenga" kumkabili....bado zipo katika akaunti za OFFSHORE.....
Hizo zilikutana na zile alizodibua kwa R.A 2005...
Akina RODNEY wanajichana nazo tu....Mdude kazi kwake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#SiempreJMT[emoji7][emoji7]
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app