Hoja ni kuwa walitii maelekezo yake au laa, aliwanyoosha au laa, Mbowe aliufyata hata kusema tu kuwa Akaunti zake zilipigwa pin aliogopa na kaja kusema miezi kadhaa baada ya Mwamba kuondoka? suala la kifo lipo kwa kila mtu na tofauti yetu ni muda na chanzo tuThen badaa ya kupora unajua kilichofata...hakuna alichofaidi had leo imebak stor na chadema wapo na bi kidude halali stress in climax...
Naona unajichekesha mwenyewe mpaka unatoa hewa chafuImekuwa NGO's ya harakati na si chama cha siasa.....
Madhara ya kuwaachia chama WAHUNI wasiodhibitika.....
Tundu Lissu ni wa kumteua kuwa VC?!! [emoji3][emoji3][emoji3]
Mjomba wangu alisoma naye LAW SCHOOL....anasema huyo jamaa ni mjuaji wa kila kitu....huwezi kujadiliana naye jambo akakubali hoja za wengine.....
Alinieleza kuwa amekutana na watata wengi....ila ndg.Tundu alimpa TUZO ya zaidi ya utata wa kawaida wa wanasheria MAHAKAMANI....
Mzee wa "kubadili gia angani" wala hayamuumizi kimaslahi....
Kwani zile alizochota baada ya "askofu mshenga" kumkabili....bado zipo katika akaunti za OFFSHORE.....
Hizo zilikutana na zile alizodibua kwa R.A 2005...
Akina RODNEY wanajichana nazo tu....Mdude kazi kwake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#SiempreJMT[emoji7][emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe mchurie tu huyo mtu wenu,Mungu hadhihakiwi kamweTukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Punguza makasirikoTukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
kishawapa jibu la jumla nyie na mawakala wenuThen badaa ya kupora unajua kilichofata...hakuna alichofaidi had leo imebak stor na chadema wapo na bi kidude halali stress in climax...
Kwanini sasa kuzuia mkutano Karatu na Ngorongoro?Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Siyo wamasai tu wanarudisha kadi,kila pembe ya nchi sasa kadi zinarudishwa hivi unajua kwa nini huyo bimkubwa wenu anaropoka kama amekunywa maji machafu? Chama kinamfia mikononi.Hivi sasa wamesahau hoja ya bandari kuuzwa, wanakuja na video zinazoonyesha wamasai wakirudisha kadi za CCM.
Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyew
Tena wahuni haswaaa...Ni wahuni hawa, watanzania wapuuzeni shida yao njaa ya ruzuku
Mkuu siasa sio CHUKI...Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Hivi sasa wamesahau hoja ya bandari kuuzwa, wanakuja na video zinazoonyesha wamasai wakirudisha kadi za CCM.
Kuendesha nchi kunataka msimamo, wajinga ni wengi sana Tanzania na wanataka wawe na sauti siku zote, haendeshi bar au maskani ya wavuta bangi anaendesha nchi.Siyo wamasai tu wanarudisha kadi,kila pembe ya nchi sasa kadi zinarudishwa hivi unajua kwa nini huyo bimkubwa wenu anaropoka kama amekunywa maji machafu? Chama kinamfia mikononi.
Kimeishia wapi chuma cha mjerumani?Magu aliwashindwa vipi watu aliwapiga marufuku wasifanye mikutano ya hadhara wakatii, aliwatisha wakatishika wakakimbia nchi, akawapora majimbo yote na viti Maalum akawachagulia Wabunge ?
Wanaharakati wote wa kupinga Serikali na kulilia Katiba mpya walikuwa likizo ya lazima wakati wa Mwamba John Joseph Pombe Magufuli
JPM alikuwa chuma cha Mjerumani kile
Kimefariki kikiacha legacy kubwa sana ambayo haipiti siku bila ya jina lake kutajwa mara zaid ya 10 humu JF seuze mitaaniKimeishia wapi chuma cha mjerumani?
Ale wapi sasa fala huyuUmekula?
Ni kweli....kwa kuutumia mdomo wangu wenye meno ndani yake [emoji1787]Naona unajichekesha mwenyewe mpaka unatoa hewa chafu