Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Ogopa sana CHANJO ambayo unaambiwa kbs litakalokupata Serikali hawahusiki Kwa madhara yoyote yatayosababishwa na dude Hilo.
Aliyechanja hatoruhusiwa kufanya Blood Donation. Haruhusiwi kuchangia Damu.
Jiulize wameweka nn ndani ya miili ya watu.
Watawala msipokuwa na huruma na waliowachagua,
Adhabu Kutoka Kwa Mungu inawahusu. Amen
Kwenye habari ya chanjo mbona MAKADA wengi CDM walipojua msimamo wa mkt wa CDM Abt chanjo walitumia akili zao kuikataa.Kuna manyumbu hayaelewi hii kitu.
Ati chanjo ni salama! Thubutu yao!!
Unadungwa kitu zito halafu serikali inakwambia HAIHUSIKI.
Hapo hata ukiwa NYUMBU unatakiwa UAMKE uanze kufikiri vizuri kama nyumbu mwenye utashi.
Kuni ya akiba inaicheka iliyoko jikoniJiwe hukumu yake itakuwa ni ya kwanza kwa watenda maovu mbele ya Mungu
Kwani na nyie machadema hamtaki chanjo?Alikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?
vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?
Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
Dada katenge takle hilo uchanjwe!Kama taifa tulikwama sana kuwa na kiongozi wa aina yake.
Kuelekea Uandikwaji wa KATIBA mpya, vyama vya Siasa VIDHIBITIWE kuegemea sana UMAGHARIBI Ili tukatae tamaduni zao zisiharibu tamaduni zetu.The zombification process is going on.
Tundu Lisu amechanjwa lakini yuko karantini kea uviko huo huoHayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Hawa watu Magufuli aliwadunga sana mkuu,ulikua na hamu tu ya kuandika thread yenye jina Magufuri, sioni hoja yeyote.
Unfajisikiaje sasa jiwe kuwa na wafuasi wengi kiasi hiki?nimeandika haya kwa sababu kuna jamii imeanza kukataa kila chanjo. kuna chanjo mpaka zinaisha muda wake watu hawataki kuchanja. Hawa wanaopinga ndio akili kama za jiwe
Muda wa kurasmishwa siyo wa kiufanisi na kampuni kibao eti zote ziligundua chanjo. Mbona chanjo za surua tunapata na hata wagonjwa hatutengani nao ππ eti hili la covid mara udungwe kwa phase 2, mara sinopham ndo imara mara jonson jonson ππ huu mwili siyo wa majaribioNi kipi ambacho kingefanya chanjo nyingine kuwa salama na za Corona zisiwe salama kwa mujibu wa Magufuli
Hapo mwsho πππLabda hujanipata ipasavyo.
Narudia tena kwa herufi kubwa:
CHANJO ZA CORONA NI UCHAFU WENYE SUMU.
Kwa tafsiri ya kizungu ninamaanisha hivi:
CORONA VACCINES ARE TOXIC RUBBISH.
Kwa kikerewe:
ICHANJO YA CORONA IS TOXIC GARBAGE.
Yule na uzwazwa wake yuko wapi sasa?Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Kicheche kaja na maandishi ya wafariji a.k.a watoa hamasa. ππYule na uzwazwa wake yuko wapi sasa?
Chanjo inaendelea vizuri kabisa π
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo mwsho [emoji23][emoji23][emoji23]
Ichanjo ya corona ni bhurofu
Ukiachilia mbali Harmorapa, wewe ndo unayefuatia kwa kunikera zaidi. ππππYule na uzwazwa wake yuko wapi sasa?
Chanjo inaendelea vizuri kabisa π
Na ndio Kazi yangu kuwakera Sukuma gang πUkiachilia mbali Harmorapa, wewe ndo unayefuatia kwa kunikera zaidi. ππππ
Sawa strong woman. πNa ndio Kazi yangu kuwakera Sukuma gang π