Hayati Magufuli alivyoifilisi familia ya Jamal Malinzi

Wewe mzushi na huna lolote unalojua. Hapa hata Fifa waliingilia lakini mbona walirudi nyuma wakaacha mchakato wa kimahakama uendelee?

Hakuna unachojua kuhusu hili la TFF na Simba na chama cha ngumi Tanzania
 
Tutauza figo mojamoja woooote isipokuwa bibi figo yake inashida
 
Watoto wa mjini wanasema eti Jamal Malinzi sasa hivi akiona hata kitenesi cha watoto kinadundadunda kuelekea kwake anatimua mbio kujificha.
 
Dioniz Malinzi alikuwa na uwezo wa kutoa hizo milioni 800 na ushehe, ana ukwasi wa kutosha I mean billions za pesa za madafu.
 
Labda yule binti take aliyeolewa na Sangoma alitoa.
 
Kina Mbowe sio wenzenu, wafadhili/wanaowatuma wanawapa pesa nyingi sana
 
Kila mama akienda kulia kwa wanasiasa akasikilizwa nani atafungwa?
Kabendera alikua na kosa gani??

Mama alijua mwanae anaonewa ndio maana alikua anaomba msaada wa wanasiasa. Jambo la mwanae lilikaa kisiasa.

Na hata upepo wa kipindi kile ndivyo ulivyokua, ukinyeyekea unafanyiwa utakalo, mama akapita kwenye chaki bahati mbaya mwanae alimkasirisha sana mkulu.
 
Kwa hakika kwa mambo tuliyoshuhudia na kuyasikia Mungu atukuja kutupa siku ya kujua alikuwa nani zaidi: malaika au shetani? Haiwezekani kuwa katikati ya malaika na shetani! Lakini muhimu zaidi kuliko umalaika au ushetani wa uongozi wowote mamlaka za nchi kuweka mazingira huru na kuwawezesha Watanzania kujifunza kutokana na historia ya nchi yao kwa ukamilifu badala ya kuendekeza utukuzaji wa viongozi wa kisiasa!
 
Iliitwa "timu ya ushindi"; ilitembelea watu wengi muhimu wakiwemo CEOs wa parastatals na kuwataka "support" kama wanataka kuendelea kuwa ndani ya ulingo, that's it. Waliosita wanajua kilichowakuta - baadaye - when the going started being nasty.
Leo kinana na nape waliohusika hawatajwi, ni watakatifu, laana zote anapelekewa magu, ndio maana ni hatari kulaani, sababu laana zitaanzia kwako, na hasa kumlaani mkuu wa watu
 
Kuna watu humu wanalazimisha kila mtu awe anamkumbuka JPM kwa mazuri tuu

Ukija kuzungumzia tu mabaya yake utaitwa majina ya kila aina wewe subili utaona
Hayati Magufuli alale pema peponi. Siri yote wanaijuwa wenye siri zao na kwakuwa muda haugandi siku zina kuja mtatafuta nakuzodowana na hii ni baada yakujuwa ukweli.., rudisheni hizo pesa kama kweli ni mtu alipanga...
 
Kuna watu humu wanalazimisha kila mtu awe anamkumbuka JPM kwa mazuri tuu

Ukija kuzungumzia tu mabaya yake utaitwa majina ya kila aina wewe subili utaona
Hayati Magufuli alale pema peponi. Siri yote wanaijuwa wenye siri zao na kwakuwa muda haugandi siku zina kuja mtatafuta nakuzodowana na hii ni baada yakujuwa ukweli.., rudisheni hizo pesa kama kweli ni mtu alipanga. Hakuna haja yakupiga kelele nakumsema mtu alie lala. Kama alikuwa peke yake kwenye hayo maamuzi rudisheni hizo pesa wapelekeni mahakamani walio fanya hayo maovu na uchaguzi uwe wa uhuru na hakituone Kama atarudi mtu. Bora Tukae kimya na tuchutame.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…