Hayati Magufuli alivyoifilisi familia ya Jamal Malinzi

Duuh aiseee
Mkuu hii nchi ina pesa , mtu anakuambia "yani hizo bilioni mnazoniuliza nazo kila saa ni hela ya mboga tu", au mwingine anashuka na gadhabu uwanja wa ndege, "yani mnanisumbua na hivyo vijisenti(bilioni ) "?
Kwaio hizo milion 500, 890, 700, ni pesa za kawaida za kununua boksa au soksi tu.
 
Diva Ze Boss alitoa 500m.
 
Mkuu sawa

Lakini mna spin kitu gani!?

Umeme au maji!!?

Endeleeni na vita vyenu lakini,ni bora mngepambana na adui yenu aliye hai Ili kuzuia HUKO mnapotaka nyie muingie!!!kuliko kuhangaika na marehemu!

Kama mnapambana na nyuzi za voicer yeye kaweka wazi anaripoti kutoka 0101 sasa wewe unaripoti kutoka wapi!?

Nauliza Ili upate wa kukuunga mkono kama wataona kuna MASLAHI HUKO unakoripotia!!
 
halafu **** wapuuzi fulani na UTI zao wanamtetea yule marehemu.
 
huna akili bro.
i'm sorry for my offensive language.... i instist huna akili.
 
Mungu fundi sana
 
Kwa kanuni za FIFA, serikali iwakamate kiuonevu alafu wakae kimya? Tukubali sisi sote tuna mapungufu na hayo mapungufu ndio hutumika na adui pale anapokuta mlango upo wazi.
 
dah!Yupo wapi sasa malinzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…