Hayati Magufuli alivyomponza Mfugale mpaka akafa kwa presha

Kwa bahati mbaya mnadhani tunasahau. Aliyewaambia kuwa wananchi wanasahau ameingiza chaka.
Hao wanachi ndio wanammiss sasa hivi kasoro wapumbavu, wajinga na wapinzani koko pekee
 
AmenπŸ€›πŸ€›jf Ina watu bwana
 
Punguza umbea acha kabisa ikibidi kujadili marehemu

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Mama yenu kaamua , nalipwa. Mwambie awahi kwenye foleni
 
Nimelipa Kodi ya PAYE wakati nikilitumikia Taifa. Hiyo inatosha kunifanya raia mwema
Ndio maana watu kama wewe huitwa wapumbavu,eti wewe unajiweka kwenye kundi la watu wa maana na mjanja~kuwa na adabu wewe hata kizazi chako hakiwez kuwa rais~wakupuuzwa wewe
 
Ukweli ni kuwa magufuli ni shujaaa hawez kusaulika alikuwa mzalendo wa kweli acha apumzike na circke nzima taifa halitakuja kumsahau
Huo ni ukweli kwako. Unaposema taifa lini ilifanyika sensa ya majinga na manafiki ikaleta majibu kuwa taifa zima ni majinga?
 
This might true cc those who like public figure.
 
Mwendazake kaponza wengi, mmoja aliponea chupuchupu dk ya 90 akarudi duniani dadadeq πŸ˜€ πŸ˜€
Ila ilikuwa km sinema vile hakika tumepata bahati ya kuwa kizazi kitachosimulia historia hii ya kusisimu

Vizazi vijavyo vitaona km tunawadanganya vile. Chain zima ilienda isee..
 
Bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa sh bilioni 17.79 lakini mpaka uwanja unakamilika ilitumika bilioni 52.32 mara tatu ya bajeti, kiasi cha zaidi ya bilioni 34.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…kazi za wazalendo
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…dah
 
Sawa sawa miungu watu nyie mtaishi mile
 
Kapora pesa nyingi sana,aliposrma tunajenga kwa pesa za ndani ndio hizo sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…