Hayati Magufuli alivyomponza Mfugale mpaka akafa kwa presha

Hayati Magufuli alivyomponza Mfugale mpaka akafa kwa presha

Mtateseka sana na Magufuli lihali yeye kashalala kwenye usingizi wa maisha.

Mods nyuzi kama hizi nikujaza Sever utumbo na mavi.
Leo hao wote ni marehem sasa uzi huu una faida gani kwa hivi leo...???
Magufuli amekuwa wimbo kah.
Kwani shida iko wapi...???

Mods nipeni kitengo cha Ban niwalambe majinga jinga kama huyu mtoa hoja.
Lakini mbona hizi mada zinafundisha sana na watu wataelewa kuwa kufanya kama Magufuli sio vizuri na kumtegemea mwanadamu kama walivyo fanya Mfugale, Makonda, Sabaya nk pia sio jambo jema katika maisha.
Hongera sana mnaoleta hizi mada maana mnaiponya nchi kwani wenye madaraka akiwemo mama hawawezi kuyarudia makosa hayo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hii nyuzi isingekuwa ya maana basi hata wewe usingechangia. Ungesoma na kusepa tu. Lakini umechangia na wengine wanachangia. Kuongea uovu wa Magufuli ni kuitendea haki Tanzania yetu ili baadaye tusije tukazembea tukaleta tena mtu wa HOVYO na MSHAMBA kama Magufuli
Hapana si kweli...
Mi nimepitia baada yakuona wapumbavu na wajinga wakuteseka na marehem.
Kwale watu wa Dini wanasema wanamuachia Mungu.
Sasa kindalage kama mtoa mada na wenzake bado wanaleta nyuzi za kipopoma na kindezi kama hizi ni kukosea heshma Jf ilio jaa Greatthinker
 
Lakini mbona hizi mada zinafundisha sana na watu wataelewa kuwa kufanya kama Magufuli sio vizuri na kumtegemea mwanadamu kama walivyo fanya Mfugale, Makonda, Sabaya nk pia sio jambo jema katika maisha.
Hongera sana mnaoleta hizi mada maana mnaiponya nchi kwani wenye madaraka akiwemo mama hawawezi kuyarudia makosa hayo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kuiponya Nchi si kwakuleta Nyuzi Nyaa kama hizi.
Nchi inaponywa kwa kuchagua viongozi bora na sio kuhadaiwa kura yako kwa Doti za Kanga na kofia.
Afu Maguful ni marehem ambae tunajua anajibu kwa Muumba wake.
Sasa sisi wazee wa kuomba Mungu na watu wajinga bado still tunawazia eti Magufuli.Na huku nchi ikipitia msoto wa Jua kali na ukame.
Wale Ma motivitonal Leader probably wana insult about the Past and poor mind is think and blame all the time.
 
Ukweli ni kuwa magufuli ni shujaaa hawez kusaulika alikuwa mzalendo wa kweli acha apumzike na circke nzima taifa halitakuja kumsahau
Shujaa hapotezi watu tena vijana wadogo watafutao maisha ya family zao kama Saanane, Azory nk. Haagizi mauaji kwa mbunge msema kweli mchana peupe hadi Mungu anakataa kabisa na hafi.
Huo sio ushujaa, shujaa anajitokeza na sio kufanya uovu kwa siri.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Shujaa hapotezi watu tena vijana wadogo watafutao maisha ya family zao kama Saanane, Azory nk. Haagizi mauaji kwa mbunge msema kweli mchana peupe hadi Mungu anakataa kabisa na hafi.
Huo sio ushujaa, shujaa anajitokeza na sio kufanya uovu kwa siri.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kupoteza mmoja mmoja kwa ajili ya Taifa hakuna shida.
Ni ni bora kugonga Bodaboda mmoja kwa ajili ya kunusuru ajali ya buss na kuua abiria wote.
 
Magufuli pia ameponza watu wengi wafe kwa presha.
Kuna huyu mnyaturu alitekuwa na kampuni ya full time security. Magufuli walimchukulia hela zake zote jamaa akashikwa na stroke. Isingekuwa ndugu zake mamtoni kumpiga jeki angeshakufa zamani. Na siye huto tu wengi sana wameporwa hela zao halafu eti kina Crimea Shujaa shujaa. Shujaa mafiiiii Yako?
 
Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na sifa moja, akikupenda na kukuamini utakula mema ya nchi na atakulinda, hakuwa kigeugeu ila akikuchukia imekula kwako.

Hakuwa mnafiki kujifanya anakupenda wakati hakupendi,
Marafiki zake walimpenda kwa hilo walijiaminisha kuwa atawalinfa milele kwa lolote ambalo lingetokea wakasahau maandiko matakatifu kuwa amelaaniwa amtumainiaye mwanadamu.

Mmoja kati ya marafiki wa Magufuli alikuwa bwana Mfugale. Kiasili huyu bwana hakuwa fisadi, alikuwa mtu msafi ndio maana Magufuli alimpenda.

Mara kadhaa aliomba kustaafu ila alikataliwa na Magufuli maana kama nguvu alikuwa nazo na bado Taifa lilihitaji msaada wake.

Tatizo likaja ni kuwa Magufuli alifanya Tanroads kama kampuni yake kupatia humo akatengeneza madili mengi sana na akaipa kazi zisizokuwa za kwake kiasili, mfano usimamiaji na ununuzi wa mitambo ya kiwanda cha sukari Mkulazi cha mkoani Morogoro. Hii kazi ilipaswa kusimamiwa na TAMESA ila ikaagiea Tanroads waifanye, bilioni 68 zikapotea kimiujiza.

Pili uwanja wa ndege wa Chato uliotakiwa kusimamiwa na mamlaka ya viwanja vya ndege nchini jukumu hilo akapewa Tanroads ya Mfugale.

Bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa sh bilioni 17.79 lakini mpaka uwanja unakamilika ilitumika bilioni 52.32 mara tatu ya bajeti, kiasi cha zaidi ya bilioni 34.

Nani angethubutu kuhoji matumizi hayo mbele ya John Pompeo.

Miezi michache baada ya Magufuli kufariki ndio mamlaka husika zikaanza kuimulika na kuomba ufafanuzi wa matumizi ya Tanroads.

Madudu yaliyoibuliwa huko ni mengi sana, yalikuwa yanaenda kuharibu heshima ya mzee Mfugale aliyoijenga kwa miaka mingi.

Siku chache kabla ya Mfugale kufariki iligundulika kuwa Tanroads ilifanya malipo mara mbili kwa kampuni fulani ya ujenzi kwa kazi moja yaani double payment.

Mzee wa watu akaingia kwenye sonona akajilaumu bora angestaafu mapema akalea wajukuu kuliko kuingia kwenye kashfa ambazo alikuwa tu akipokea maelekezo toka kwa mwendazake.

Sonona inaua akafa kwa presha na masikitiko moyoni

RIP Mfugale
Aisee kumbe Mfugale alishafariki kama Magufuli! Kweli washirika wa karibu wa Magufuli walikuwa wamejishika na makali kasoro mama mmoja tu yeye alishika mpini la sivyo angekuwa anaisaidia Polisi sasa hivi.
 
Mtateseka sana na Magufuli lihali yeye kashalala kwenye usingizi wa maisha.

Mods nyuzi kama hizi nikujaza Sever utumbo na mavi.
Leo hao wote ni marehem sasa uzi huu una faida gani kwa hivi leo...???
Magufuli amekuwa wimbo kah.
Kwani shida iko wapi...???

Mods nipeni kitengo cha Ban niwalambe majinga jinga kama huyu mtoa hoja.
History ni mwalimu mzuri
 
Mtateseka sana na Magufuli lihali yeye kashalala kwenye usingizi wa maisha.

Mods nyuzi kama hizi nikujaza Sever utumbo na mavi.
Leo hao wote ni marehem sasa uzi huu una faida gani kwa hivi leo...???
Magufuli amekuwa wimbo kah.
Kwani shida iko wapi...???

Mods nipeni kitengo cha Ban niwalambe majinga jinga kama huyu mtoa hoja.
Kwahiyo hutaki asemwe sio!
 
Kuna huyu mnyaturu alitekuwa na kampuni ya full time security. Magufuli walimchukulia hela zake zote jamaa akashikwa na stroke. Isingekuwa ndugu zake mamtoni kumpiga jeki angeshakufa zamani. Na siye huto tu wengi sana wameporwa hela zao halafu eti kina Crimea Shujaa shujaa. Shujaa mafiiiii Yako?
Ni Watu wenye ufahamu tu ndio walioona madhila ya Magufuli wengine wengi walikuwa wamelishwa Propaganda kama hao uliowataja.
 
Kuna huyu mnyaturu alitekuwa na kampuni ya full time security. Magufuli walimchukulia hela zake zote jamaa akashikwa na stroke. Isingekuwa ndugu zake mamtoni kumpiga jeki angeshakufa zamani. Na siye huto tu wengi sana wameporwa hela zao halafu eti kina Crimea Shujaa shujaa. Shujaa mafiiiii Yako?
Naona bado anakubutua hata baada ya kufa
 
Mtateseka sana na Magufuli lihali yeye kashalala kwenye usingizi wa maisha.

Mods nyuzi kama hizi nikujaza Sever utumbo na mavi.
Leo hao wote ni marehem sasa uzi huu una faida gani kwa hivi leo...???
Magufuli amekuwa wimbo kah.
Kwani shida iko wapi...???

Mods nipeni kitengo cha Ban niwalambe majinga jinga kama huyu mtoa hoja.
Kwahiyo tusimzungumzie Hitler wala gestapo yake kisa wamelala milele na tutajaza seva za mitandao ya kijamii.
 
Ni Watu wenye ufahamu tu ndio walioona madhila ya Magufuli wengine wengi walikuwa wamelishwa Propaganda kama hao uliowataja.
Magufuli alikuwa mbaya kwa wapumbavu, wajinga, mafisadi na wapinzani koko pekee
 
Kwahiyo hukumu ya Mpumbavu na Mpinzani koko ni kuuwawa?
Kuuwa mpumbavu mmoja ili wapone mamia siyo mbaya, hiyo ipo dunia nzima!

Hako ka saa 8 kailikuwa kapumbavu sana,! Na tulikaonya hakakusikia.

Mtu ameshakuwa rais, wew na utaahir wako eti umekomaa unahoji sijui phd imejambia pemba ushuzi ukatokezea kagera! Kwa hiyo aache majukumu ya urais aanze kujibizana na ujinga wako?

Hata ni mimi nakupoteza tu.
 
Back
Top Bottom