Hayati Magufuli alivyomtimua mpishi wa Ikulu usiku baada ya kuzidisha chumvi kwenye chakula

Hayati Magufuli alivyomtimua mpishi wa Ikulu usiku baada ya kuzidisha chumvi kwenye chakula

Murder most foul. Wamempikia rais matakataka wamemuua. Juzi hapa unakumbuka,nilikuwa nalalamika nasema TISS wamenisaliti,unakumbuka nikataja tatizo pale,ulikuwepo ugomvi mkubwa na wapishi. Nimekuwa ejected from the house for five days ,nasubiri hali iwe shwari.
Halafu unaniambia Magufuli kawafukuza kazi wapishi,you think I will not be able to connect the dots?
Niliandika posta hapa JF siku zile za mwanzo( hizi siku unazozizungumzia hapa), nikauliza hali ya rais iko vipi "wale Ikulu wanashindwa kumtunza rais? Useless chefs"
Gross incompetence. Yule jamiwa aliyrkuwa mpishi wa Mkapa,amehamishiwa hapa. Kwa hiyo mimi I know what I talking about.
Tazama afya ya ilivyokuwa. Tazama afya ya JK ilivyo sasa hivi.(Bhoke)
Munanka alikuwa ananiekeza siku moja,"ile ni kazi ya Intelligence,kwa hiyo wale watu lazima wawe intelligent."
Comrade Andrew mzee wa "code ngumu" hapa mdukuzi katoka kapa!

Anyway msalimie Bibi Maria N. Tunamtakia afya njema.
 
Huyo jamaa alikuwa na laana, nakumbuka alimfukuza mtunza tausi kisa tu JK alimchomekea kwa utani kwamba tausi hawaongezeki.

Huyo mtu ana laana, ndio maana mvua hainyeshi, labda Mungu kaamua kumuunguza na ardhi kabla ya moto
Hii chuki ndio inafanya chedema msichukue dola
 
Leo nimeukmbuka wimbo wa Super Rainbow ulioimbwa na Eddy Sheggs ¶akafatia na kuweka chumvi kwenye chai,tulikuwa na wageni wakatoka bila kuaga,akafatia na kuweka sukari kwenye mboga tukaona haviliki tukalala na njaa.¶

Back to the topic...uajua waafrika wengi ukifikisha umri wa kustaafu Miaka 56-60 magonjwa ya presha na kisukari huwa hayachezi mbali.

Sina uhakika kwa JPM ikuwaje ila ninachojuaalikuwa ameshauriwa apunguze matumizi ya chumvi kwenye chakula .

Niwarudishe nyuma kidogo.
Kopindi cha Hayati JK Nyerere ni kama kulikuwa na Ikulu mbili,ya msasani na ile ya magogoni,kuna baadhi ya shughuli alizifanyia msasani,moja ya hizo shughuli ni kuitwa kwa viongozi walioboronga kwenda kujieleza.
Enzi hizo kiongozi akiambiwa anaitwa Msasani anajua kama sio kufokewa basi ni kutumbuliwa,ilikuwa ni bora uitwe magogoni,viongozi wengi walikuwa wakisikia neno msasani mapigo ya moyo yanaongezeka,wengi walienda na LandRover au Peugeot za serikali wakarudi kwa miguu mpaka nyumbani..

Jibxo basi kulikuwa na wapishi pande zote msadani na magogoni,sio wapishi tu bali wahudumu wa Ikulu kiujumla.

Mara nyingi lunch alikula magogoni na dinner akalia msasani..

Sijui kuhusu mwinyi ila Mkapa alipoingia madarakani alijenga makazi rasmi ya Rais pembeni ya jengo kubwa la Ikulu.
Wapishi na wahudumu wote waliishia huko.hilo jengo lipo ndani ya fence ya ikulu kama unaelekea kwa mkemia mkuu au hospitali ya OceanRoad.

Sasa basi baada ya JPM kuingia madarakani kazi ya kumpikia chakula ikaanza.siku ya kwanza akanote kuwa chakula kina chumvi nyingi akatoa maagizo kuwa chimvi ipunguzwe.
Ikumbukwe ikulu kuna mtu analipwa mamilioni kwa kazi ya kuonja chakula cha mkuu dakika kadhaa kabla ya mkuu kula na hujulikana kwa jina la Tester.

Kwa hiyo huxu Tester nae alikuwa aware na hiyo order.
Siku chache za mwanzo mambo yakawa safi,ila kuna siku ndani ya wiki mbili tangu kuapishwa,chumvi ikazidi kwenye chakula,JPM akawaita wasaidizi wake wamuite mpishi wa zamu na Tester,yule mpishi machale yalishamcheza e kuambiwa unaitwa tu mapigo ya moyo yakaenda mbio mbio mpaka JPM akawa anayasikia.
Ila kwa vile Jom alikuwa mtu wa huruma akaagiza huyo mpishi na tester watafutiwe kazi nyingine.
Kesho yake akatangaza kwenye vyombo vya habari kuwa anaivunja timu ya waoishi na atapikiwa na mke wake nama yetu Janet,sababu alizotoa ni kuwa ni kubana matumizi.nadhani mnakumbuka hii kitu

Ila ukweli halisi aliongea vole kwa hasira tu,kitengo cha wapishi hakikuvunjwa na haiwezekani kuvunjwa,kiliendelea kuwepo mpaka mauti ilipomkuta ila walikuwa makini sana na chumvi kwenye chakula.

Mke wa Rais anaweza kumpikia mumewe ila sio mara zote maana na yeye xuko busy sana.

Sikumbuki yule baba mpishi alipelekwa kitendo gani baba wa watu
Nonsense
 
Leo nimeukmbuka wimbo wa Super Rainbow ulioimbwa na Eddy Sheggs ¶akafatia na kuweka chumvi kwenye chai,tulikuwa na wageni wakatoka bila kuaga,akafatia na kuweka sukari kwenye mboga tukaona haviliki tukalala na njaa.¶

Back to the topic...uajua waafrika wengi ukifikisha umri wa kustaafu Miaka 56-60 magonjwa ya presha na kisukari huwa hayachezi mbali.

Sina uhakika kwa JPM ikuwaje ila ninachojuaalikuwa ameshauriwa apunguze matumizi ya chumvi kwenye chakula .

Niwarudishe nyuma kidogo.
Kopindi cha Hayati JK Nyerere ni kama kulikuwa na Ikulu mbili,ya msasani na ile ya magogoni,kuna baadhi ya shughuli alizifanyia msasani,moja ya hizo shughuli ni kuitwa kwa viongozi walioboronga kwenda kujieleza.
Enzi hizo kiongozi akiambiwa anaitwa Msasani anajua kama sio kufokewa basi ni kutumbuliwa,ilikuwa ni bora uitwe magogoni,viongozi wengi walikuwa wakisikia neno msasani mapigo ya moyo yanaongezeka,wengi walienda na LandRover au Peugeot za serikali wakarudi kwa miguu mpaka nyumbani..

Jibxo basi kulikuwa na wapishi pande zote msadani na magogoni,sio wapishi tu bali wahudumu wa Ikulu kiujumla.

Mara nyingi lunch alikula magogoni na dinner akalia msasani..

Sijui kuhusu mwinyi ila Mkapa alipoingia madarakani alijenga makazi rasmi ya Rais pembeni ya jengo kubwa la Ikulu.
Wapishi na wahudumu wote waliishia huko.hilo jengo lipo ndani ya fence ya ikulu kama unaelekea kwa mkemia mkuu au hospitali ya OceanRoad.

Sasa basi baada ya JPM kuingia madarakani kazi ya kumpikia chakula ikaanza.siku ya kwanza akanote kuwa chakula kina chumvi nyingi akatoa maagizo kuwa chimvi ipunguzwe.
Ikumbukwe ikulu kuna mtu analipwa mamilioni kwa kazi ya kuonja chakula cha mkuu dakika kadhaa kabla ya mkuu kula na hujulikana kwa jina la Tester.

Kwa hiyo huxu Tester nae alikuwa aware na hiyo order.
Siku chache za mwanzo mambo yakawa safi,ila kuna siku ndani ya wiki mbili tangu kuapishwa,chumvi ikazidi kwenye chakula,JPM akawaita wasaidizi wake wamuite mpishi wa zamu na Tester,yule mpishi machale yalishamcheza e kuambiwa unaitwa tu mapigo ya moyo yakaenda mbio mbio mpaka JPM akawa anayasikia.
Ila kwa vile Jom alikuwa mtu wa huruma akaagiza huyo mpishi na tester watafutiwe kazi nyingine.
Kesho yake akatangaza kwenye vyombo vya habari kuwa anaivunja timu ya waoishi na atapikiwa na mke wake nama yetu Janet,sababu alizotoa ni kuwa ni kubana matumizi.nadhani mnakumbuka hii kitu

Ila ukweli halisi aliongea vole kwa hasira tu,kitengo cha wapishi hakikuvunjwa na haiwezekani kuvunjwa,kiliendelea kuwepo mpaka mauti ilipomkuta ila walikuwa makini sana na chumvi kwenye chakula.

Mke wa Rais anaweza kumpikia mumewe ila sio mara zote maana na yeye xuko busy sana.

Sikumbuki yule baba mpishi alipelekwa kitendo gani baba wa watu
JPM alikuwa na matatizo flani ya kisaikolojia. Ilikuwa vigumu mno kuishi na mtu hasa yeye akiwa boss, utaipata. Viongozi wengi akiwemo makamu wake wa rais waliishi kwa hofu sana manake siku akiamka vibaya tu umekwenda hata kama hakuna sababu nzuri. Sikutamani nikutane naye kamwe.
 
Ulimi mpana mrefu. Lips pana na nene. Kuwepo taarifa rasmi kuwa utotoni ulikuwa mdokozi wa mboga na mengine kama hayo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo jamaa alikuwa na laana, nakumbuka alimfukuza mtunza tausi kisa tu JK alimchomekea kwa utani kwamba tausi hawaongezeki.

Huyo mtu ana laana, ndio maana mvua hainyeshi, labda Mungu kaamua kumuunguza na ardhi kabla ya moto
Ukimtukana mwenzako lazima ujue equation itabalance tu.Na ww lazima utatukanwa.Inasemekana huna kaz unashinda mitandaoni kumtukana na kumkashi marehemu ambaye hayupo duniani.Ww ni mpumbavu sana.
 
Amekufa ila unamsemea uongo magufuli alipokuwepo madarakani hakuwahi kutuacha Kwa njaa na pia mvua zilikuwa zinanyesha
 
Mwenye laana ni yule aliyechomeka uongo au aliyefukuza?, wewe ni KINEMBE KWELI,
Hivi ni akili Yako au ya nguruwe sema tu mtu Huna akili unatukana sehemu iliyokuleta duniani Kisa upuuzi upuuzi tu kwanini wanaume wa Sasa akili hakunaga sijui nikwanini
 
Back
Top Bottom