- Thread starter
- #141
Ndio hizo hizo alizichota Kisha akajengea SGR, Meli ya Victoria, akajenga Flyovers, nk nk.Zile trillion zilizochotwa mpaka CAG akafuta kazi kile kipindi cha nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hizo hizo alizichota Kisha akajengea SGR, Meli ya Victoria, akajenga Flyovers, nk nk.Zile trillion zilizochotwa mpaka CAG akafuta kazi kile kipindi cha nani
Hizo zote zilikuwa Msaada hata flyover hazikuwa pesa za Ndani🤣🤣ushahidi upoNdio hizo hizo alizichota Kisha akajengea SGR, Meli ya Victoria, akajenga Flyovers, nk nk.
Vijana wakishavuta bangi wakichanganya na energy wanawaza pumba tu.Kama wewe ni Magufuli mpya uliyezaliwa jihesabu tu kama kiumbe chenye hasara duniani.
Unafurahia KAZI alizofanya HAYATI Magu?Hizo zote zilikuwa Msaada hata flyover hazikuwa pesa za Ndani🤣🤣ushahidi upo
KAZI za Magu zinaonekana wazi.
Pita pale kijazi flyover utaona alama yake,
Tembea Nchi nzima uone KAZI zake,
Ikiwa aliiba Kisha kwenda kujenga vinavyoonekana,
Wizi wake ni mzuri wenye TIJA.
Unafurahia KAZI alizofanya HAYATI Magu?
Msaada maana yake ni mikopo,
Hata ukichunguza sasa hivi wanaomchukia Magu, ni wale wanyonyaji aliowakata mirija yao.Salaam, Shalom.
Ili pawe na Amani, huna budi kuwatisha waovu, KAZI hii ya kuhakikisha waovu hawachezei Sharubu za Serikali, Mungu alimsaidia Hayati Magufuli kuifanya kazi hiyo kwa ufasaha.
Maeneo yafuatayo, alidhibiti kwelikweli;
1. MTANDAO WA WIZI WA PESA ZA UMMA
Tumesikia Rais Samia analalamika Badala ya kuamrisha mifumo, asema kuwa umerudi mtandao wa kuiba pesa za umma, yaani pesa inatoka hazina kuja halmashauri, wanatokea watu, wanachepusha pesa hizo zinaingia katika account zao, na pesa hizo ni za mikopo tuliyokopa!
Miradi aliyeanzisha Magu, ilienda kwa kasi sababu ya ufuatiliaji wa karibu na wezi walidhibitiwa hasa.Usingeweza kukwiba pesa ya umma ukabaki salama.
2. UJAMBAZI WA KUTUMIA SILAHA.
Katika kipindi chake, majambazi walienda likizo, hilo litoshe kutupa kujua kazi kubwa aliyoifanya hasa katika kuifanya mifumo ya ulinzi na Usalama kutenda kazi Kwa viwango vya juu.
3. KUDHIBITI MTANDAO WA DAWA ZA KULEVYA
Kabla ya Magufuli kuingia madarakani, Nchi yetu ilikithiri kwa kutapakaa kwa dawa za kulevya, lakini baada ya miaka kadhaa, mateja wengi walijisalimisha katika sobber houses, sababu kuu ikiwa ni kuadimika Kwa dawa za kulevya mtaani. Hilo litoshe kutuonyesha jinsi ambavyo palifanyika kazi kubwa underground.
4. UTAKATISHAJI FEDHA
Pesa haramu, chafu zilizotokana na biashara ovu ya kuiba pesa za umma, uuzaji dawa za kulevya, biashara chafu za ukwepaji kodi, zilidhibitiwa kwa kiasi kikubwa, jambo hilo lilileta mtikisiko kwenye Uchumi kwa kuwa Kwa namna moja au ingine, pesa hizo zilisaidia kutengeneza ajira sekta binafsi.
5. MFUMO WA EFD ULIFANYA KAZI
Vituo vya mafuta kwa Mfano, vyenye kuingiza pesa nyingi, hazikuwa zikitoa EFD, na walipobanwa kutoa risiti, walitishia kugoma.
Ujasiri wa Magufuli, ulisaidia wafanyabiashara hao kurudi mezani na kukubali kutoa EFD bila masharti.
6. UFANISI KATIKA MIFUMO YA UTOAJI MIZIGO BANDARINI
Ni katika uongozi wa Hayati Magufuli, document za kutoa Mzigo bandarini zilipungua, mwanzoni palikuwa na utitiri wa karatasi na mizunguko iliyochelewesha ufaulishaji mizigo bandarini.
Scana ya ukaguzi wa vitu vinavyopita bandarini ULIFANYA KAZI utawala wa Magufuli, alipambana kweli kweli na ufanisi ulionekana.
HITIMISHO
Pamoja na mapungufu wa kibinadamu na makosa kadhaa aliyoifanya Hayati Magufuli, itoshe kusema, Mungu alimwezesha kukaa katika KITI cha maamuzi sawasawa na kuhakikisha mifumo inafanya KAZI. Magufuli hakulalamika, alichukua hatua.
OMBI: Wananchi tunaomba atokee kiongozi atakayefuta BETTING nchini, hivi sasa, vijana wa CCM+ CDM na wasio na vyama wametekwa na jinamizi hili, HAYATI Magu hakuliweza hili. Maisha hayajawahi kuwa Bahati nasibu.
Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya Rais Magufuli.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania🇹🇿.
Amen.
Sasa mbona huwaongelei waliomkata mapanga huyo mawazo?Vijana wakishavuta bangi wakichanganya na energy wanawaza pumba tu.
Nilikutana na mama yake Alfonsi Mawazo mwishoni mwa mwaka Jana. Yule mama ukikaa naye akakihadithia mateso anayopitia kutokana na kifo cha mwanae ,machozi yatakutoka. Maana kwa maelezo yake Alfonsi alikuwa tegemeo lake.
Cha ajabu hao viongozi wa chadema waliokuwa mstari wa mbele kumpamba Alfonsi azidi kupata ujasiri wa kusimama majukwaani kupambana na viongozi wa Serikali akiwemo huyo Magufuli, hawana habari naye yule mama.
Anasema mwaka Jana alitembelewa na T.A.L akiwa na sukari kilo mbili ,Mchele kilo tatu, chumvi na sabuni na waandishi wa habari kwaajili ya kurekodi ziara yake hiyo.
Laiti binadamu tungewekeza akili zetu kwenye maendeleo tungeendelea sana. Badala yake akili zetu tumejikita zaidi kwenye migogoro. Unakutana na mtu barabarani kabla ya salamu anakuuliza mbona umekonda sana?. 😆😆Sijui alitakaje........
Msaada maana yake ni mikopo,
Unajuaje alizokusanya ndani, alizikwapua Kisha akalipa riba na mikopo!!
Hata kama ni urafiki, bado ni kazi kubwa ya MAGU. Kwani wengine hawakuwa marafiki wa wajapani?, Mbona hatukuyaona yote haya?
Ndio hao hao,Hata ukichunguza sasa hivi wanaomchukia Magu, ni wale wanyonyaji aliowakata mirija yao.
Hakuna Cha Bure duniani,
Pambania familia yako maana maisha ya Duniani ni mafupi, vinginevyo umeamua kujikita vilivyo kwenye siasa ambazo wengi wa waliofanikiwa kupitia njia hiyo ni wale walio sambamba na mfumo na si kinyumeSasa mbona huwaongelei waliomkata mapanga huyo mawazo?
Umeambiwa alichokuwa akipigania mawazo kimeachwa, au kinaendelezwa?
Siasa ndizo huamua Kodi kiasi Gani itumike kulipa mishahara ya makamanda wa vyombo vya ulinzi na USALAMA.Pambania familia yako maana maisha ya Duniani ni mafupi, vinginevyo umeamua kujikita vilivyo kwenye siasa ambazo wengi wa waliofanikiwa kupitia njia hiyo ni wale walio sambamba na mfumo na si kinyume
Ni kweli.Siasa ndizo huamua Kodi kiasi Gani itumike kulipa mishahara ya makamanda wa vyombo vya ulinzi na USALAMA.
Kwa HOJA hiyo, itoshe kusema,Ni kweli.
Wanawabetisha na wanachaguliwa Ubunge pia !Kulikuwa na Shirika la Bahati Nasibu la Taifa na hawa Akina Tarimba wanaowabetisha Leo ndio wametokea kule 😂😂🔥
Kabisa kabisa !!Ndio hizo hizo alizichota Kisha akajengea SGR, Meli ya Victoria, akajenga Flyovers, nk nk.