Hayati Magufuli aliweza kuwatisha waovu, mifumo iliamka kufanya kazi

Hayati Magufuli aliweza kuwatisha waovu, mifumo iliamka kufanya kazi

Waanzisha mada za mwendazake wengi wenu mnapenda sana ugomvi, ubabe, roho mbaya, kujikweza kupita kiasi, majivuno, jeuri halafu mna kiburi na sio waungwana.
 
Kama Magu alikuwa anaiba pesa Kisha anakwenda kujengea Flyovers, mabarabara, Mji wa Magufuli Dodoma na IKULU, Masoko ya kisasa na Bus terminals,SGR,daraja la Busisi, ununuzi wa ndege Kwa pesa alizoiba,

Basi kiongozi Mwizi wa aina hiyo ndiye tumtakaye.
Narudia tena, we mtu uko na akili nyingi sana
 
Hapana kipindi cha Nyerere hakukuwa hata na simu za digitali wala hakukuwa hata na pampu za kuuzia mafuta za digital !
Mambo ya Casinos yalianzia awamu ya hayati Mzee Mwinyi !
Tulikuwa tunajimwambafay pale Las Vegas Casino Upanga !😅
Tulikuwa tunaanzia pale nje Jolly Club 😅🙏🙏
Kulikuwa na Shirika la Bahati Nasibu la Taifa na hawa Akina Tarimba wanaowabetisha Leo ndio wametokea kule 😂😂🔥
 
Waanzisha mada za mwendazake wengi wenu mnapenda sana ugomvi, ubabe, roho mbaya, kujikweza kupita kiasi, majivuno, jeuri halafu mna kiburi na sio waungwana.
Ikiwa sifa ulizotaja ndizo zinaweza kulivusha Taifa, tutazitumia hizo,

By the way, hivi mtu anayekwiba pesa za umma zitokanazo na mikopo, utatumia lugha ipi kumwonyesha umechukia matendo yake?
 
Ok kama kweli hebu tuambie wewe ni kiasi gali hilo shetani lenu la Chato lilikusanya kupitia vile vitambulisho vya Magufuli vya 20,000.
Tuambie zilienda wapi.

Ukweli ni kwamba alitutia hofu mpk vyombo vya habari vikawa vinaogopa kuripoti mapungufu na maovu ya utawala wake.

Prof. Asad alipothubutu alipita nae.
Lisu alipothubutu alikiona.
Ben Sa8 alipothubutu kilichomfika anakijua mwenyewe.
Akili yako ndogo saana! Pole sana
 
Huna uelewa na hii biashara
Ukiminya Sana ndo unafanya supply ipungue na demand iwe kubwa ...kwa Nini usikamate mateja wote ...weka ndani wataje wanapata wapi dawa unganisha dot mnyororo wote unapatikana
Halafu unapata mapapa ...siyo unakuja kututajia Mara Mr blue,mbowe, gwajima TID au wema sepetu
Akili yako ya kupambanua mambo ni kodogo sana mkuu, na ndo inayotumika sana na viongozi wajinga, unamkamata mlaji badala ya kukifungia kiwanda kinachozalisha?
 
Magu aliwatisha pale Jiji Mwanza,

Matokeo yake walijenga hospitali ya Sekeu Toure pembeni tena ya ghorofa.

Nchi hii inahitaji mtu mbabe Hasa Hasa.

Magu KAZI umeimaliza, nasisi acha tuhangaike nao Hadi pale Mungu atakapomuinua mwingine wa kaliba Yako.
 
Huna uelewa na hii biashara
Ukiminya Sana ndo unafanya supply ipungue na demand iwe kubwa ...kwa Nini usikamate mateja wote ...weka ndani wataje wanapata wapi dawa unganisha dot mnyororo wote unapatikana
Halafu unapata mapapa ...siyo unakuja kututajia Mara Mr blue,mbowe, gwajima TID au wema sepetu
Hayo maigizo ya kumsingizia Mbowe na Gwajima yalifanywa na Mwenezi, ndomana kamwe Mimi siku Bali ajifananishe na Magu.

Waulize drug dealers Awamu ya Tano 2015-2020 watakupa habari ya Magu.

Ngaja niishie hapa.
 
Ikiwa sifa ulizotaja ndizo zinaweza kulivusha Taifa, tutazitumia hizo,

By the way, hivi mtu anayekwiba pesa za umma zitokanazo na mikopo, utatumia lugha ipi kumwonyesha umechukia matendo yake?
Brother..... Dunia ina mambo mengi mno kiasi kwamba sidhani kama utayaweza yote.

Kuongoza nchi sio sawa na kuongoza familia. Fanya vile unaona inafaa, halafu mengine waachie wengine na wao watamwachia mwenye Dunia yake.

Dunia tunapita japo hakuna anayependa kufa
 
Waliopo jawapasi kulalamika Badala ya kuchukua hatua kama alivyofanya Magu.

Got it?
Magu alichukua hatua gani boss, maana ripoti za CAG zilikuwa zinatoka, na hakuna hatua zilichukuliwa, Bali yeye ndio alimchukulia hatua CAG za kuanika matumizi mabaya ya fedha za umma.
 
Brother..... Dunia ina mambo mengi mno kiasi kwamba sidhani kama utayaweza yote.

Kuongoza nchi sio sawa na kuongoza familia. Fanya vile unaona inafaa, halafu mengine waachie wengine na wao watamwachia mwenye Dunia yake.

Dunia tunapita japo hakuna anayependa kufa
Ikiwa Magu aliyekuwa Rais hakuona thamani katika kuishi akijilinbikizia Mali, akaamua kutetea wananchi maskini,

Sasa Mwananchi aliyepigika ahofie nini kupambania HAKI yake,

We have nothing to lose brother,

Kupaza sauti ndo njia pekee ya kutusaidia kuondokana na minyororo tuliyofungwa.

Ikiwa Unadhani tunaogopa, unajidanganya.

Wengine tulishakufa, tukazikwa Kisha tukafufuka.
 
Magu alichukua hatua gani boss, maana ripoti za CAG zilikuwa zinatoka, na hakuna hatua zilichukuliwa, Bali yeye ndio alimchukulia hatua CAG za kuanika matumizi mabaya ya fedha za umma.
Hatua alizochukua Magu,

Ndizo zimesababisha niandike Uzi hapo juu.

Magu ubarikiwe.
 
Ikiwa Magu aliyekuwa Rais hakuona thamani katika kuishi akijilinbikizia Mali, akaamua kutetea wananchi maskini,

Sasa Mwananchi aliyepigika ahofie nini kupambania HAKI yake,

We have nothing to lose brother,

Kupaza sauti ndo njia pekee ya kutusaidia kuondokana na minyororo tuliyofungwa.

Ikiwa Unadhani tunaogopa, unajidanganya.

Wengine tulishakufa, tukazikwa Kisha tukafufuka.
😆😆😆😆😆Tatizo sio wewe ila familia yako hususan wazazi na watoto wako.

Mugabe katika ujana wake aliwaza kama wewe ,ameiacha Zimbabwe mbovu kuliko alivyotarajia wakati wa ujana wake.

Museveni wa ujanani na matarajio yake ya Uganda na sasa.

Fanya vile moyo wako na nafsi yako unaridhika
 
😆😆😆😆😆Tatizo sio wewe ila familia yako hususan wazazi na watoto wako.

Mugabe katika ujana wake aliwaza kama wewe ,ameiacha Zimbabwe mbovu kuliko alivyotarajia wakati wa ujana wake.

Museveni wa ujanani na matarajio yake ya Uganda na sasa.

Fanya vile moyo wako na nafsi yako unaridhika
Si Kila mtu alizaliwa kupambania maslah ya familia pekee,


Wengine Mungu amewaleta duniani special Kwa ajili ya kuitumikia Nchi, ndilo kusudi lao lilipo.

Ninachokuhakikishia ni kuwa, Ile Tanzania ya Magufuli, Nchi tajiri yenye kusaidia Nchi maskini ulaya na Nchi zingine, tutaifikia tu.

Ameondoka Magufuli mmoja, tumezaliwa wengi zaidi mara elfu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
 
Si Kila mtu alizaliwa kupambania maslah ya familia pekee,


Wengine Mungu amewaleta duniani special Kwa ajili ya kuitumikia Nchi, ndilo kusudi lao lilipo.

Ninachokuhakikishia ni kuwa, Ile Tanzania ya Magufuli, Nchi tajiri yenye kusaidia Nchi maskini ulaya na Nchi zingine, tutaifikia tu.

Ameondoka Magufuli mmoja, tumezaliwa wengi zaidi mara elfu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
😆😆😆😆😆
 
Wizi hauwezi kwisha,

Lakini Nia na uthubutu wake Kupambana na wezi ndio msingi wa thread hii.

RIP Magu.
Greedy ndiyo iliyomtawala Magufuli. Alitaka aibe peke yake na wateule wake wachache, siyo kwamba alichukia ufisadi.
 
Si Kila mtu alizaliwa kupambania maslah ya familia pekee,


Wengine Mungu amewaleta duniani special Kwa ajili ya kuitumikia Nchi, ndilo kusudi lao lilipo.

Ninachokuhakikishia ni kuwa, Ile Tanzania ya Magufuli, Nchi tajiri yenye kusaidia Nchi maskini ulaya na Nchi zingine, tutaifikia tu.

Ameondoka Magufuli mmoja, tumezaliwa wengi zaidi mara elfu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Kama wewe ni Magufuli mpya uliyezaliwa jihesabu tu kama kiumbe chenye hasara duniani.
 
Kama wewe ni Magufuli mpya uliyezaliwa jihesabu tu kama kiumbe chenye hasara duniani.
Ni Kweli kabisa,

Kwa shetani na wezi wa Mali ya umma, Mimi ni HASARA kubwa,

Lakini Kwa Mungu, na wote wenye kiu ya HAKI, Mimi ni FAIDA kubwa sana.
 
Zile trillion zilizochotwa mpaka CAG akafuta kazi kile kipindi cha nani
 
Back
Top Bottom