- Thread starter
- #81
Yaani Kwa Mfano uingie mikononi mwa wazee na unadeal na drugs,
Unadhani njia Gani zitatumika kuwafanya uwataje Wana mtandao wenzio?
Coin Ina two sides. Amani na maendeleo haviwezi kuja katika Taifa usiposhughulika na waovu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuambia pitia ripoti za CAG kipindi Cha Magufuli kuhusu wizi wa fedha, naona unazunguka tu. Nijuavyo ripoti ya CAG ndio kipimo Cha usalama wa fedha za umma. Lakini Hadi CAG aliondolewa kwa mizengwe na Magufuli. Sasa unapata wapi uhalali wa kusema hakukuwa na wizi wakati wa Magufuli, wakati hakutaka CAG afanye kazi yake vizuri?Hapo nakubaliana nawe.
Sijachotwa na propaganda, maana propaganda ni fictious,
KAZI alizofanya Magu zinaonekana na kushikika,kamwe haziwezi kuwa propaganda.
Viongozi waliopo wangeiga kuziba mianya ya wizi wa PESA za umma kama Magu,
Tungekuwa mbali.
Yeah wezi kama kina Mwanyika walimuogopa JPM ndio maana licha ya kesi ya uhujumu uchumi wa ACACIA ila akazawadiwa ubunge!!Wezi walimchukia sana JPM
Huwezi kuongea lugha ya Ripoti ya CAG Kwa mkulima kijijini akakuelewa,Nimekuambia pitia ripoti za CAG kipindi Cha Magufuli kuhusu wizi wa fedha, naona unazunguka tu. Nijuavyo ripoti ya CAG ndio kipimo Cha usalama wa fedha za umma. Lakini Hadi CAG aliondolewa kwa mizengwe na Magufuli. Sasa unapata wapi uhalali wa kusema hakukuwa na wizi wakati wa Magufuli, wakati hakutaka CAG afanye kazi yake vizuri?
Propaganda za majengo zilikubeba Hadi umekuwa kama mjinga. Kwani miundombinu Hadi sasa imesimama? Si ajabu ww ni mmoja ya waliotekwa na propaganda zake kuwa Tanzania ilijenga viwanda 4,000+.
Wanasahau CAG alizuiwa kukagua baadhi ya mafungu ikiwemo miradi kama SGR, Manunuzi ya ndege, Mafungu ya kwenda ikulu n.k alipokomaa sana akafukuzwa!!Nimekuambia pitia ripoti za CAG kipindi Cha Magufuli kuhusu wizi wa fedha, naona unazunguka tu. Nijuavyo ripoti ya CAG ndio kipimo Cha usalama wa fedha za umma. Lakini Hadi CAG aliondolewa kwa mizengwe na Magufuli. Sasa unapata wapi uhalali wa kusema hakukuwa na wizi wakati wa Magufuli, wakati hakutaka CAG afanye kazi yake vizuri?
Propaganda za majengo zilikubeba Hadi umekuwa kama mjinga. Kwani miundombinu Hadi sasa imesimama? Si ajabu ww ni mmoja ya waliotekwa na propaganda zake kuwa Tanzania ilijenga viwanda 4,000+.
Hapa ndio mnakosea.... humu JF tulimuita JK fisadi ila alikua amejenga shule kila kata, alianzisha mradi wa maji ya ziwa Victoria hadi yamefika Singida, alijenga lami na madaraja almost mikoa yote, alijenga bomba la gesi ambalo linachangia 80% ya umeme wa Tanzania, pia alijenga extension ya Airport ambayo ni ya kisasa sana, huyo huyo JK alijenga UDOM, let alone alileta mwendokasi Tanzania n.kUkimwambia mkulima kuwa Magu alikuwa Mwizi, Mimi nikamwonyesha mkulima BWAWA la JNHP wewe utapigwa mawe.
Nimeipenda hii 😍Yeah wezi kama kina Mwanyika walimuogopa JPM ndio maana licha ya kesi ya uhujumu uchumi wa ACACIA ila akazawadiwa ubunge!!
Waliotajwa wote kwenye kesi za Tanzanite, almasi, na dhahabu (Acacia) n.k hakuna hata mmoja ambaye amefungwa mpaka leo hii!! Aisee kweli wezi walimuogopa JPM!!
Bila kusahau mafisadi papa waliotajwa na kamati ya Bashiru kuiba mali za CCM sikuona hata mmoja akiburuzwa mahakamani au kufungwa!! Kweli wezi walimuogopa JPM!!
Eeh TAKUKURU walipewa agizo wawasake watoa rushwa kipindi cha chaguzi za CCM!! cha ajabu ripoti haikuwekwa public wala hakuna aliyefunguliwa kesi ya rushwa!
Oooh Nchambi!! Alikamatwa na nyara za serikali meno ya tembo ya kutosha na mabunduki kibao. Cha ajabu akaachiwa tu..... ilihali mtu ukidakwa na kilo moja ya nyama pori unafungwa miaka 20+
Kweli JPM aliogopwa na wezi
HAYATI Magu ndiye anajadiliwa hapa.Hapa ndio mnakosea.... humu JF tulimuita JK fisadi ila alikua amejenga shule kila kata, alianzisha mradi wa maji ya ziwa Victoria hadi yamefika Singida, alijenga lami na madaraja almost mikoa yote, alijenga bomba la gesi ambalo linachangia 80% ya umeme wa Tanzania, pia alijenga extension ya Airport ambayo ni ya kisasa sana, huyo huyo JK alijenga UDOM, let alone alileta mwendokasi Tanzania n.k
Sasa kama mambo ya kuonekana ndio hoja sidhani kama JK angetukanwa vile kuwa ni fisadi licha ya yote aliyojenga.
Huyu jamaa aliyekuwa na mahaba na Magufuli anadhani Kila mtu ni mjinga aliyetekwa na propaganda za Magufuli, halafu wanadhani wote tumesahau ukweli ule. Anaanzisha na Uzi kabisa kuonyesha kuwa Magufuli alikuwa msafi kwenye fedha! Namuambia atupe ripoti za CAG kuibeba hoja yake, anasema niweke ripoti za CAG pembeni. Sasa kama ripoti ya serekali kuhusu usafi wa fedha, ni kipimo gani anatumia kuhusu usafi wa Magufuli kwenye fedha?Wanasahau CAG alizuiwa kukagua baadhi ya mafungu ikiwemo miradi kama SGR, Manunuzi ya ndege, Mafungu ya kwenda ikulu n.k alipokomaa sana akafukuzwa!!
Yaani unamkataza mkaguzi asikague pesa za umma alafu unajisifia ni msafi.... hawa wafuasi wa JPM sijui reasoning yao inafanyaje kazi.
Yaani Kwa Mfano uingie mikononi mwa wazee na unadeal na drugs,
Unadhani njia Gani zitatumika kuwafanya uwataje Wana mtandao wenzio?
Coin Ina two sides. Amani na maendeleo haviwezi kuja katika Taifa usiposhughulika na waovu.
Kwenye ile ripoti ya professor Ossoro, Andrew Chenge, Daniel Yona nk walitajwa kabisa kwa majina, na ripoti ikashauri wakamatwe kutokana na kuingiza nchi kwenye mikataba mibovu, hakuna aliyeguswa. Sasa Hawa mitume wa Magufuli sijui wanatuona ni wajinga kiasi gani. Cha ajabu walikuwa wanalazimisha Magufuli anakubalika na wananchi, na ilipofika wakati wa uchaguzi ambayo ndio kipimo halisi ya kiongozi kukubalika akapora uchaguzi!Yeah wezi kama kina Mwanyika walimuogopa JPM ndio maana licha ya kesi ya uhujumu uchumi wa ACACIA ila akazawadiwa ubunge!!
Waliotajwa wote kwenye kesi za Tanzanite, almasi, na dhahabu (Acacia) n.k hakuna hata mmoja ambaye amefungwa mpaka leo hii!! Aisee kweli wezi walimuogopa JPM!!
Bila kusahau mafisadi papa waliotajwa na kamati ya Bashiru kuiba mali za CCM sikuona hata mmoja akiburuzwa mahakamani au kufungwa!! Kweli wezi walimuogopa JPM!!
Eeh TAKUKURU walipewa agizo wawasake watoa rushwa kipindi cha chaguzi za CCM!! cha ajabu ripoti haikuwekwa public wala hakuna aliyefunguliwa kesi ya rushwa!
Oooh Nchambi!! Alikamatwa na nyara za serikali meno ya tembo ya kutosha na mabunduki kibao. Cha ajabu akaachiwa tu..... ilihali mtu ukidakwa na kilo moja ya nyama pori unafungwa miaka 20+
Kweli JPM aliogopwa na wezi
Hapo upo sahihiAliwapa nguvu wanyoofu na kuwafifisha wezi. Leo hii ukilalamikiwa kwa unyoofu wako unashughulikiwa na mamlaka badala ya kupewa nguvu.
Nimesema Kwa Mfano,Yaani kuhesabu kura ni drugs au ??
Usilazimishe mjadala ukae kwenye mahaba yako. Tunakuambia msifie upendavyo, lakini ukae kwa kutulia ukipewa ukweli wake Ili tumpe kipimo Cha haki.HAYATI Magu ndiye anajadiliwa hapa.
Wizi wa Magu hauthibitishwi popote zaidi ya KAZI njema alizolifanyia Taifa.
By the way, tupo kimtizamo chanya zaidi kuliko mitizamo hasi.
Oya nakumbuka kipindi chake mateja hawakuisha salasala alitokomeza wapi uuzaji wa madawa ya kulevya?Wengine walilalamika kuwa wauza drugs hawatendewi HAKI,
Zamani ilikuwa, ukikamatwa Mzigo wa drugs, polisi wakiwa na mtuhumiwa, njiani watapigiwa simu na mkubwa na kuambiwa wausindikize Mzigo sehemu husika wakiulinda,
Magufuli alifanikiwa kudeal na mtandao wa dawa za KULEVYA Kwa mkono wa CHUMA.
Huo ndio Hasa uongozi.
Naheshimu mawazo Yako,Usilazimishe mjadala ukae kwenye mahaba yako. Tunakuambia msifie upendavyo, lakini ukae kwa kutulia ukipewa ukweli wake Ili tumpe kipimo Cha haki.
Ni propaganda tu ndiyo zilitawala na kutisha vyombo vya habari visiripoti uhalisia. Uwizi wa mali ya umma ulikuwapo kama kawaida. Kama unabisha kaangalie CAG report za 2016-2018, kuna Tsh 2.4 Trillion. CAG Assad alipohoji akamfukuza kazi.Salaam, Shalom.
Ili pawe na Amani, huna budi kuwatisha waovu, KAZI hii ya kuhakikisha waovu hawachezei Sharubu za Serikali, Mungu alimsaidia Hayati Magufuli kuifanya kazi hiyo kwa ufasaha.
Maeneo yafuatayo, alidhibiti kwelikweli;
1. MTANDAO WA WIZI WA PESA ZA UMMA
Tumesikia Rais Samia analalamika Badala ya kuamrisha mifumo, asema kuwa umerudi mtandao wa kuiba pesa za umma, yaani pesa inatoka hazina kuja halmashauri, wanatokea watu, wanachepusha pesa hizo zinaingia katika account zao, na pesa hizo ni za mikopo tuliyokopa!
Miradi aliyeanzisha Magu, ilienda kwa kasi sababu ya ufuatiliaji wa karibu na wezi walidhibitiwa hasa.Usingeweza kukwiba pesa ya umma ukabaki salama.
2. UJAMBAZI WA KUTUMIA SILAHA.
Katika kipindi chake, majambazi walienda likizo, hilo litoshe kutupa kujua kazi kubwa aliyoifanya hasa katika kuifanya mifumo ya ulinzi na Usalama kutenda kazi Kwa viwango vya juu.
3. KUDHIBITI MTANDAO WA DAWA ZA KULEVYA
Kabla ya Magufuli kuingia madarakani, Nchi yetu ilikithiri kwa kutapakaa kwa dawa za kulevya, lakini baada ya miaka kadhaa, mateja wengi walijisalimisha katika sobber houses, sababu kuu ikiwa ni kuadimika Kwa dawa za kulevya mtaani. Hilo litoshe kutuonyesha jinsi ambavyo palifanyika kazi kubwa underground.
4. UTAKATISHAJI FEDHA
Pesa haramu, chafu zilizotokana na biashara ovu ya kuiba pesa za umma, uuzaji dawa za kulevya, biashara chafu za ukwepaji kodi, zilidhibitiwa kwa kiasi kikubwa, jambo hilo lilileta mtikisiko kwenye Uchumi kwa kuwa Kwa namna moja au ingine, pesa hizo zilisaidia kutengeneza ajira sekta binafsi.
5. MFUMO WA EFD ULIFANYA KAZI
Vituo vya mafuta kwa Mfano, vyenye kuingiza pesa nyingi, hazikuwa zikitoa EFD, na walipobanwa kutoa risiti, walitishia kugoma.
Ujasiri wa Magufuli, ulisaidia wafanyabiashara hao kurudi mezani na kukubali kutoa EFD bila masharti.
6. UFANISI KATIKA MIFUMO YA UTOAJI MIZIGO BANDARINI
Ni katika uongozi wa Hayati Magufuli, document za kutoa Mzigo bandarini zilipungua, mwanzoni palikuwa na utitiri wa karatasi na mizunguko iliyochelewesha ufaulishaji mizigo bandarini.
Scana ya ukaguzi wa vitu vinavyopita bandarini ULIFANYA KAZI utawala wa Magufuli, alipambana kweli kweli na ufanisi ulionekana.
HITIMISHO
Pamoja na mapungufu wa kibinadamu na makosa kadhaa aliyoifanya Hayati Magufuli, itoshe kusema, Mungu alimwezesha kukaa katika KITI cha maamuzi sawasawa na kuhakikisha mifumo inafanya KAZI. Magufuli hakulalamika, alichukua hatua.
OMBI: Wananchi tunaomba atokee kiongozi atakayefuta BETTING nchini, hivi sasa, vijana wa CCM+ CDM na wasio na vyama wametekwa na jinamizi hili, HAYATI Magu hakuliweza hili. Maisha hayajawahi kuwa Bahati nasibu.
Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya Rais Magufuli.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania🇹🇿.
Amen.
Unajinadi kuwa uliendelea kusambaza dawa za KULEVYA waziwazi kipindi kile?Oya nakumbuka kipindi chake mateja hawakuisha salasala alitokomeza wapi uuzaji wa madawa ya kulevya?
Angekuwa anasimamia vizuri pesa za umma asingemuhujumu CAG, ambaye kisheria ndio mkaguzi na msimamizi wa pesa za umma. Alikuwa anagoma kabisa CAG asikague fedha kwenye miradi mikubwa. Mtu muaminifu wa pesa za umma, hazuii taratibu za kikaguzi kufanyika.Nimesema Kwa Mfano,
Hilo la wizi wa kura, pia Mimi siliafiki kabisa, kupotoa HAKI ya Sanduku la kura ni jambo baya.
Ingawa hayo hayajadiliwi hapa,
Tunakumbuka mema yake, Hasa katika uchapakazi na kusimamia vizuri pesa za umma zisiporwe na waizi.