Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na UOVU wake ni mzuri,Kumbuka kama ni uovu yeye alikuwa mwovu wa waovu!
Ilikuwa ni hofu kweli.Sana ilikua hofu hofu mchaka mchaka kila mmoja anajua jukumu lake na mipaka ya nafasi yake!
Ni sisi Hawa Hawa tutasababisha imee,Mbegu aliyoipanda jpm ipo siku itamea tu.
Ipo siku haya majizi yatalia na kisaga meno
Ok kama kweli hebu tuambie wewe ni kiasi gali hilo shetani lenu la Chato lilikusanya kupitia vile vitambulisho vya Magufuli vya 20,000.Salaam, Shalom.
Ili pawe na Amani, huna budi kuwatisha waovu, KAZI hii ya kuhakikisha waovu hawachezei Sharubu za Serikali, Mungu alimsaidia Hayati Magufuli kuifanya kazi hiyo kwa ufasaha.
Maeneo yafuatayo, alidhibiti kwelikweli;
1. MTANDAO WA WIZI WA PESA ZA UMMA
Tumesikia Rais Samia analalamika Badala ya kuamrisha mifumo, asema kuwa umerudi mtandao wa kuiba pesa za umma, yaani pesa inatoka hazina kuja halmashauri, wanatokea watu, wanachepusha pesa hizo zinaingia katika account zao, na pesa hizo ni za mikopo tuliyokopa!
Miradi aliyeanzisha Magu, ilienda kwa kasi sababu ya ufuatiliaji wa karibu na wezi walidhibitiwa hasa.Usingeweza kukwiba pesa ya umma ukabaki salama.
2. UJAMBAZI WA KUTUMIA SILAHA.
Katika kipindi chake, majambazi walienda likizo, hilo litoshe kutupa kujua kazi kubwa aliyoifanya hasa katika kuifanya mifumo ya ulinzi na Usalama kutenda kazi Kwa viwango vya juu.
3. KUDHIBITI MTANDAO WA DAWA ZA KULEVYA
Kabla ya Magufuli kuingia madarakani, Nchi yetu ilikithiri kwa kutapakaa kwa dawa za kulevya, lakini baada ya miaka kadhaa, mateja wengi walijisalimisha katika sobber houses, sababu kuu ikiwa ni kuadimika Kwa dawa za kulevya mtaani. Hilo litoshe kutuonyesha jinsi ambavyo palifanyika kazi kubwa underground.
4. UTAKATISHAJI FEDHA
Pesa haramu, chafu zilizotokana na biashara ovu ya kuiba pesa za umma, uuzaji dawa za kulevya, biashara chafu za ukwepaji kodi, zilidhibitiwa kwa kiasi kikubwa, jambo hilo lilileta mtikisiko kwenye Uchumi kwa kuwa Kwa namna moja au ingine, pesa hizo zilisaidia kutengeneza ajira sekta binafsi.
5. MFUMO WA EFD ULIFANYA KAZI
Vituo vya mafuta kwa Mfano, vyenye kuingiza pesa nyingi, hazikuwa zikitoa EFD, na walipobanwa kutoa risiti, walitishia kugoma.
Ujasiri wa Magufuli, ulisaidia wafanyabiashara hao kurudi mezani na kukubali kutoa EFD bila masharti.
6. UFANISI KATIKA MIFUMO YA UTOAJI MIZIGO BANDARINI
Ni katika uongozi wa Hayati Magufuli, document za kutoa Mzigo bandarini zilipungua, mwanzoni palikuwa na utitiri wa karatasi na mizunguko iliyochelewesha ufaulishaji mizigo bandarini.
Scana ya ukaguzi wa vitu vinavyopita bandarini ULIFANYA KAZI utawala wa Magufuli, alipambana kweli kweli na ufanisi ulionekana.
HITIMISHO
Pamoja na mapungufu wa kibinadamu na makosa kadhaa aliyoifanya Hayati Magufuli, itoshe kusema, Mungu alimwezesha kukaa katika KITI cha maamuzi sawasawa na kuhakikisha mifumo inafanya KAZI. Magufuli hakulalamika, alichukua hatua.
OMBI: Wananchi tunaomba atokee kiongozi atakayefuta BETTING nchini, hivi sasa, vijana wa CCM+ CDM na wasio na vyama wametekwa na jinamizi hili, HAYATI Magu hakuliweza hili. Maisha hayajawahi kuwa Bahati nasibu.
Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya Rais Magufuli.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania[emoji1241].
Amen.
Jizi hatari sana lileKAZI za Magufuli zinaonekana Kwa macho.
Magu hakuwa Mwizi, asingefanya makubwa yanayoonekana.
KAZI za Magu zinaonekana wazi.Ok kama kweli hebu tuambie wewe ni kiasi gali hilo shetani lenu la Chato lilikusanya kupitia vile vitambulisho vya Magufuli vya 20,000.
Tuambie zilienda wapi.
Ukweli ni kwamba alitutia hofu mpk vyombo vya habari vikawa vinaogopa kuripoti mapungufu na maovu ya utawala wake.
Prof. Asad alipothubutu alipita nae.
Lisu alipothubutu alikiona.
Ben Sa8 alipothubutu kilichomfika anakijua mwenyewe.
Shabiby alipata Ubunge kupitia huyo huyo Magufuli wenu.Shabiby anafanya nini bungeni,
Inawezekana vipi aache biashara ya mabasi yake Kisha kuja bungeni kutetea wananchi?
Nauli zimepanda akiwa bungeni, kwanini hakutoka kutetea Maslahi ya wananchi?
Cartel ya wabunge matajiri, kamwe haijawahi kusimamia maslah ya Wananchi.
Magu alikuwa mzalendo.
Lenyewe ndo jizi tena jambaziMbegu aliyoipanda jpm ipo siku itamea tu.
Ipo siku haya majizi yatalia na kisaga meno
Hujajibu.KAZI za Magu zinaonekana wazi.
Pita pale kijazi flyover utaona alama yake,
Tembea Nchi nzima uone KAZI zake,
Ikiwa aliiba Kisha kwenda kujenga vinavyoonekana,
Wizi wake ni mzuri wenye TIJA.
Pesa za vitambulisho ziliingia kwenye fuko kubwa,Hujajibu.
Alikusanya sh. ngapi ya vitambulisho.
Uliwahi ht kusikia japo kijuujuu tu kwamba Ngosha alikusanya kiasi gani kupitia vitambulisho uchwara vile?
Hata bajeti yake sijui ilikuwaje na sijui alizipeleka wapi mwizi yule
Nimefanya kazi kabla ya Magufuli, wakati wa Magufuli na baada yake, hivyo elewa usitawi wa jamii uliimarika zaidi enzi ya utawala wa Mh. J. Kikwete, wengi walipata maendeleo halisi ya vitu na watu.Umesema wewe ni mtumishi wa umma,
Kabla ya Magufuli, ulikuwa unafanya deal Gani Ukiwa Ofisini zilizokuwezesha kusomesha watoto international schools?
Mfuate alipo we kengeSalaam, Shalom.
Ili pawe na Amani, huna budi kuwatisha waovu, KAZI hii ya kuhakikisha waovu hawachezei Sharubu za Serikali, Mungu alimsaidia Hayati Magufuli kuifanya kazi hiyo kwa ufasaha.
Maeneo yafuatayo, alidhibiti kwelikweli;
1. MTANDAO WA WIZI WA PESA ZA UMMA
Tumesikia Rais Samia analalamika Badala ya kuamrisha mifumo, asema kuwa umerudi mtandao wa kuiba pesa za umma, yaani pesa inatoka hazina kuja halmashauri, wanatokea watu, wanachepusha pesa hizo zinaingia katika account zao, na pesa hizo ni za mikopo tuliyokopa!
Miradi aliyeanzisha Magu, ilienda kwa kasi sababu ya ufuatiliaji wa karibu na wezi walidhibitiwa hasa.Usingeweza kukwiba pesa ya umma ukabaki salama.
2. UJAMBAZI WA KUTUMIA SILAHA.
Katika kipindi chake, majambazi walienda likizo, hilo litoshe kutupa kujua kazi kubwa aliyoifanya hasa katika kuifanya mifumo ya ulinzi na Usalama kutenda kazi Kwa viwango vya juu.
3. KUDHIBITI MTANDAO WA DAWA ZA KULEVYA
Kabla ya Magufuli kuingia madarakani, Nchi yetu ilikithiri kwa kutapakaa kwa dawa za kulevya, lakini baada ya miaka kadhaa, mateja wengi walijisalimisha katika sobber houses, sababu kuu ikiwa ni kuadimika Kwa dawa za kulevya mtaani. Hilo litoshe kutuonyesha jinsi ambavyo palifanyika kazi kubwa underground.
4. UTAKATISHAJI FEDHA
Pesa haramu, chafu zilizotokana na biashara ovu ya kuiba pesa za umma, uuzaji dawa za kulevya, biashara chafu za ukwepaji kodi, zilidhibitiwa kwa kiasi kikubwa, jambo hilo lilileta mtikisiko kwenye Uchumi kwa kuwa Kwa namna moja au ingine, pesa hizo zilisaidia kutengeneza ajira sekta binafsi.
5. MFUMO WA EFD ULIFANYA KAZI
Vituo vya mafuta kwa Mfano, vyenye kuingiza pesa nyingi, hazikuwa zikitoa EFD, na walipobanwa kutoa risiti, walitishia kugoma.
Ujasiri wa Magufuli, ulisaidia wafanyabiashara hao kurudi mezani na kukubali kutoa EFD bila masharti.
6. UFANISI KATIKA MIFUMO YA UTOAJI MIZIGO BANDARINI
Ni katika uongozi wa Hayati Magufuli, document za kutoa Mzigo bandarini zilipungua, mwanzoni palikuwa na utitiri wa karatasi na mizunguko iliyochelewesha ufaulishaji mizigo bandarini.
Scana ya ukaguzi wa vitu vinavyopita bandarini ULIFANYA KAZI utawala wa Magufuli, alipambana kweli kweli na ufanisi ulionekana.
HITIMISHO
Pamoja na mapungufu wa kibinadamu na makosa kadhaa aliyoifanya Hayati Magufuli, itoshe kusema, Mungu alimwezesha kukaa katika KITI cha maamuzi sawasawa na kuhakikisha mifumo inafanya KAZI. Magufuli hakulalamika, alichukua hatua.
OMBI: Wananchi tunaomba atokee kiongozi atakayefuta BETTING nchini, hivi sasa, vijana wa CCM+ CDM na wasio na vyama wametekwa na jinamizi hili, HAYATI Magu hakuliweza hili. Maisha hayajawahi kuwa Bahati nasibu.
Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya Rais Magufuli.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo Tanzania🇹🇿.
Amen.
Maono yake juu ya Tanzania Tajiri yenye kujitegemea, itakayosaidia Nchi maskini ulaya,Mfuate alipo we kenge
Kwani ni vipi katika hivyo hakijawahi kufanyika nchi hii, au ambacho hakifanyiki hivi sasa, au ndio mambo ya mahaba niue?Ndo nasemaje,
Ikiwa KAZI ya Magu Kwa Miaka mitano inayoonekana ya ujenzi wa mabarabara Nchi nzima, umeme kutokatika, flyovers, hospitals , ndege, ujenzi viwanja vya ndege, SGR, madaraka, nknk ikiwa KAZI hizo zinatokana na wizi,
Basi wizi wa Magufuli ndio tuutakao.
Kuna Nchi Ulaya ni masikini zaidi yenu?Maono yake juu ya Tanzania Tajiri yenye kujitegemea, itakayosaidia Nchi maskini ulaya,
Lazima tuhakikishe yanatimia.
Mengi yamewahi kufanyika na yanafanyika,Kwani ni vipi katika hivyo hakijawahi kufanyika nchi hii, au ambacho hakifanyiki hivi sasa, au ndio mambo ya mahaba niue?