Hayati Magufuli aliwezaje kutunyamazisha Watanzania milioni 60?

Kwamba kwa sasa wao ndio wangekuwa madereva wa magari
Ndio hivyo ,wale madereva wa kwenye msafara wa kagame,mobutu,magu,sadam hawasemwi vibaya ila kazi wanayofanya ni ileile tu
 
Makosa makubwa yalifanyika 2015 .

Itachukua muda walau miaka 10+ nchi irudi vile ilikua.
 

It’s better to live on a house top than to live in a house full of confusion…

JPM alifanya house cleaning ni characters za baba mzuri wazungu wanauita udikteta…na nyie wasomi mmeucopy mnajiona mnaakili kumbe mmekremishwa upumbavu…

Baba mzuri akikuta nyumba ina panya wengi watoto wamekonda wanaishi duni sababu ya uharibifu wa panya huwa anafanya lile aliwezalo kuwa eliminate panya ili japo watoto waelewe jinsi nyumba yao ilivyo nzuri na ilivyojaa neema tele…

Sasa ukiona mtu analialia baba huyu ni dikteta ujue alikuwa ni panya either kwa kujua au kutokujua…

Rest in peace JPM wachache tulikuelewa…na watoto waliokuwa wengi maskini walifaidika na wamefahamu kwamba hakika nyumba ina neema tele ila ni panya wanaofanya uharibifu…na tumewashuhudia punde ulipolala hawakusubiri hata tupoe majonzi yakukupoteza wametuvamia tena na tabu zimerudi palepale…
 
Inahitaji busara sana ndugu... vinginevyo Rais akiwa mshenzi hata huyo JPM atakuwa na nafuu kwa jinsi katiba ilivyompa mwanya wa kufanya lolote atakalo. Na kibaya hashtakiwi kwa makosa yake wakati akiwa kiongozi
Wala hakuna ajabu kama atatokea mwingine miaka ijayo na akafanya kuliko hayo yaliyofanywa na aliyepita !! Rohoni kwa MTU ni mbali !!!
 
Watanzania hawakuzoea uongo WA Aina Ile, yule mtu alijigeuza police, mahakama, Bunge, mhubiro nk,. Kwa kifupi vyeo vyote alijipachika yeye.
Lakini Kwa sababu Mungu aliyaona mateso ya watu wake, akaamua kumchukua aliye mwovu ili watanzania wapate Amani kwenye mioyo Yao.
 
Alitumia vizuri udhaifu wa katiba,
 
Ameen
 
Yule mwamba noma japo na mimi niliufyata
Sisi kimsingi tulifyatishwa na washika mitutu.
Raia hawajawahi kubaki salama palewashika mitutu wanapotii kila asemalo mfalme.
Nguvu za mfalme zi wapi ikiwa washika mtutu watataka iliyo haki.
 
Wafuasi na macombi ya watawala hawawezi kukuelewa. Na hii ndiyo maana mpaka leo hii, wa Tanganyika hawawezi kuhoji juu ya muungano feki waliotumbukizwa. KISA KUJIKOMBA kwa so called watawala.
 
Inahitaji busara sana ndugu... vinginevyo Rais akiwa mshenzi hata huyo JPM atakuwa na nafuu kwa jinsi katiba ilivyompa mwanya wa kufanya lolote atakalo. Na kibaya hashtakiwi kwa makosa yake wakati akiwa kiongozi
Na hata akistaafu hashtakiwi .
 
Waulize North Korea watakwambia kwann hawalalamiki na wanafurahia maisha na wako bega kwa bega na Mr. Kiduku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…