Hayati Magufuli aliwezaje kuwa Waziri kwa miaka 20 bila kutumbuliwa?

Hayati Magufuli aliwezaje kuwa Waziri kwa miaka 20 bila kutumbuliwa?

Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.

Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli na aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, kwa waliokuwepo kwenye wizara ya uvuvi, aridhi na ujenzi enzi za waziri Magufuli watakwambia moto wake.

Swali la kujiuliza aliwezaje kutekeleza bila kutumbuliwa? Je kwenye baraza la mawaziri la sasa kuna waziri anayevaa viatu vyake?
Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo miaka 2 imeisha si Chadema , ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.

Mwezi march 2023 imetimia miaka miwili tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo ,Lisu, Lema , Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.

kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga! Mbowe akimaliza kutukana anakimbilia kupanda ndege mpya ya Dreamliner impeleke KIA.

Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!!

Muda utawaumbua zaidi.
Isingwezekana,huyo ndio alikuwa turufu ya Mkapa na Kikwete kwenye cabinet zao.
 
Anasema, mpaka sasa hakuna mwen
Alipochukua mamlaka isiyo yake ya kutoa roho katika miili ya walioumbwa na Mungu, ndipo yote mema yalipofutika juu yake. Kamwe Mungu anapokuinua usijaribu kumpinga Kwa kutoa roho zisizo na hatia kisa tu wanapinga Kwa maneno matendo yako.
Mtoa mada amekulenga na wewe nadhani.

Anasema, mpaka sasa, hakuna mwenye KUTHIBITISHA chochote dhidi ya JIWE. Bila hivyo, wanabaki kuwa kama single mothers anayeamua kumtia mtoto maneno ya SUMU, amchukie BABA'ake na wanaume wote.

Kwenye hilo, single mothers wengi wamefanikiwa, pengine akina wapinga YA JIWE ni SINGLE MOTHERS wa mtindo huo?
 
Anasema, mpaka sasa hakuna mwen
Mtoa mada amekulenga na wewe nadhani.

Anasema, mpaka sasa, hakuna mwenye KUTHIBITISHA chochote dhidi ya JIWE. Bila hivyo, wanabaki kuwa kama single mothers anayeamua kumtia mtoto maneno ya SUMU, amchukie BABA'ake na wanaume wote.

Kwenye hilo, single mothers wengi wamefanikiwa, pengine akina wapinga YA JIWE ni SINGLE MOTHERS wa mtindo huo?
Hahahahaha umemjibu vyema huyo nyumbu
 
Alipochukua mamlaka isiyo yake ya kutoa roho katika miili ya walioumbwa na Mungu, ndipo yote mema yalipofutika juu yake. Kamwe Mungu anapokuinua usijaribu kumpinga Kwa kutoa roho zisizo na hatia kisa tu wanapinga Kwa maneno matendo yako.

Lete ushahidi wewe vyeti feki
 
Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.

Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli na aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, kwa waliokuwepo kwenye wizara ya uvuvi, aridhi na ujenzi enzi za waziri Magufuli watakwambia moto wake.

Swali la kujiuliza aliwezaje kutekeleza bila kutumbuliwa? Je kwenye baraza la mawaziri la sasa kuna waziri anayevaa viatu vyake? Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo miaka 2 imeisha si Chadema , ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.

Mwezi march 2023 imetimia miaka miwili tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo ,Lisu, Lema , Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.

kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga! Mbowe akimaliza kutukana anakimbilia kupanda ndege mpya ya Dreamliner impeleke KIA.

Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!!

Muda utawaumbua zaidi.
Huwezi kumtumbua mchapakazi hodari !!
 
Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.

Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli na aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, kwa waliokuwepo kwenye wizara ya uvuvi, aridhi na ujenzi enzi za waziri Magufuli watakwambia moto wake.

Swali la kujiuliza aliwezaje kutekeleza bila kutumbuliwa? Je kwenye baraza la mawaziri la sasa kuna waziri anayevaa viatu vyake? Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo miaka 2 imeisha si Chadema , ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.

Mwezi march 2023 imetimia miaka miwili tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo ,Lisu, Lema , Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.

kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga! Mbowe akimaliza kutukana anakimbilia kupanda ndege mpya ya Dreamliner impeleke KIA.

Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!!

Muda utawaumbua zaidi.
Kuwa chawa kulimsaidia sana
 
Yule jamaa alikuwa mtu na nusu. Hata itakapofika 2025 lazima kwenye kampeni zao watayasifia mazuri aliyoyafanya kwa kujifanya waneyafanya wao.

Wanamchafua lakini ukitaka kuujua uhalisia wa JPM ingia kitaa uachane na keyboard ndo utamjua who was that man.
 
Kweli alihonga hadi nyumba za serikali kwa hawara yake, Salva Rweyemamu aliyekuwa mhariri wa gazeti la Rai akaitoa nyumba na jina la hawara yake.

Alivyokuwa mtu wa visasi alipomkuta akiwa ikulu kama msemaji wa rais akawa wa kwanza kufukuzwa kazi, lakini kwa wenye akili timamu tumeona legacy yake kwa mahawara.

Mfumo wa kubebana na kulindana ndani ya CCM ndio uliombeba, mabaya yake yalifutwa na utendaji kazi wake, pity baada ya kupata madaraka ndio rangi yake halisi ikaonekana.

Kuna wapumbavu wengi wamebebwa na mfumo wa CCM, hivi hili shetani mnalolitetea na kulipamba lingekuwa hai watu wa calibre ya akina Makonda na Sabaya au mwanaharakati huru, Cyprian Musiba si wangekuwa na mamlaka?

Pumbavu tu kwa hivi vijibwa vinavyohangaika kumpamba shetani, sasa hatutekwi, hatuuliwi, tuna amani, hatushambuliwi sababu zimwi halipo. Wa kumsifia ni MUUMBA KUTUONDOLEA HILI JINAMIZI
 
Kweli alihonga hadi nyumba za serikali kwa hawara yake, Salva Rweyemamu aliyekuwa mhariri wa gazeti la Rai akaitoa nyumba na jina la hawara yake.

Alivyokuwa mtu wa visasi alipomkuta akiwa ikulu kama msemaji wa rais akawa wa kwanza kufukuzwa kazi, lakini kwa wenye akili timamu tumeona legacy yake kwa mahawara.

Mfumo wa kubebana na kulindana ndani ya CCM ndio uliombeba, mabaya yake yalifutwa na utendaji kazi wake, pity baada ya kupata madaraka ndio rangi yake halisi ikaonekana.

Kuna wapumbavu wengi wamebebwa na mfumo wa CCM, hivi hili shetani mnalolitetea na kulipamba lingekuwa hai watu wa calibre ya akina Makonda na Sabaya au mwanaharakati huru, Cyprian Musiba si wangekuwa na mamlaka?

Pumbavu tu kwa hivi vijibwa vinavyohangaika kumpamba shetani, sasa hatutekwi, hatuuliwi, tuna amani, hatushambuliwi sababu zimwi halisi. Wa kumsifia ni MUUMBA KUTUONDOLEA HILI JINAMIZI
 
Back
Top Bottom