Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa nawashangaa Sana wanaosema Miaka mitano ya Magufuli .Sijui wamezaliwa juzi.Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.
Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli na aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, kwa waliokuwepo kwenye wizara ya uvuvi, aridhi na ujenzi enzi za waziri Magufuli watakwambia moto wake.
Swali la kujiuliza aliwezaje kutekeleza bila kutumbuliwa? Je kwenye baraza la mawaziri la sasa kuna waziri anayevaa viatu vyake? Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo miaka 2 imeisha si Chadema , ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.
Mwezi march 2023 imetimia miaka miwili tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo ,Lisu, Lema , Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.
kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga! Mbowe akimaliza kutukana anakimbilia kupanda ndege mpya ya Dreamliner impeleke KIA.
Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!!
Muda utawaumbua zaidi.
hatutaki huu upupu wako kafanye kazi zingine tumekuchoka, umejaa ukabila. Unatuletea habari za marehemu? Kamfuate kaburini we nyau.Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.
Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli na aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, kwa waliokuwepo kwenye wizara ya uvuvi, aridhi na ujenzi enzi za waziri Magufuli watakwambia moto wake.
Swali la kujiuliza aliwezaje kutekeleza bila kutumbuliwa? Je kwenye baraza la mawaziri la sasa kuna waziri anayevaa viatu vyake? Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo miaka 2 imeisha si Chadema , ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.
Mwezi march 2023 imetimia miaka miwili tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo ,Lisu, Lema , Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.
kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga! Mbowe akimaliza kutukana anakimbilia kupanda ndege mpya ya Dreamliner impeleke KIA.
Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!!
Muda utawaumbua zaidi.
Wasikusumbue hao wapumbavu sukumagang na hoja zao za kindezi, wasiojulikana wako wapi siku hizi? Waliomshambulia Tundu Lissu wako wapi walikamatwa?Alipochukua mamlaka isiyo yake ya kutoa roho katika miili ya walioumbwa na Mungu, ndipo yote mema yalipofutika juu yake. Kamwe Mungu anapokuinua usijaribu kumpinga Kwa kutoa roho zisizo na hatia kisa tu wanapinga Kwa maneno matendo yako.
Zee la hovyoKwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.
Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli na aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, kwa waliokuwepo kwenye wizara ya uvuvi, aridhi na ujenzi enzi za waziri Magufuli watakwambia moto wake.
Swali la kujiuliza aliwezaje kutekeleza bila kutumbuliwa? Je kwenye baraza la mawaziri la sasa kuna waziri anayevaa viatu vyake? Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo miaka 2 imeisha si Chadema , ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.
Mwezi march 2023 imetimia miaka miwili tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo ,Lisu, Lema , Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.
kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga! Mbowe akimaliza kutukana anakimbilia kupanda ndege mpya ya Dreamliner impeleke KIA.
Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!!
Muda utawaumbua zaidi.
wasukuma kweli ushamba hauwatoki badala hata uone haya bila aibu unatuletea habari na mfu tena jitu lilikuwa km shetwani, katili, libaguzi. Au ulikuwa unafaidika na ule ubaguzi kwasababu we msukuma alikuwa anawapedelea mkawa mnafaidi, ndio amekufa sasa mfuateni kaburini. Nyie ngedere ni wabinafsi sanaKwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.
Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli na aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, kwa waliokuwepo kwenye wizara ya uvuvi, aridhi na ujenzi enzi za waziri Magufuli watakwambia moto wake.
Swali la kujiuliza aliwezaje kutekeleza bila kutumbuliwa? Je kwenye baraza la mawaziri la sasa kuna waziri anayevaa viatu vyake? Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo miaka 2 imeisha si Chadema , ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.
Mwezi march 2023 imetimia miaka miwili tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo ,Lisu, Lema , Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.
kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga! Mbowe akimaliza kutukana anakimbilia kupanda ndege mpya ya Dreamliner impeleke KIA.
Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!!
Muda utawaumbua zaidi.
Nguvu za kiza.Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.
Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli na aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, kwa waliokuwepo kwenye wizara ya uvuvi, aridhi na ujenzi enzi za waziri Magufuli watakwambia moto wake.
Swali la kujiuliza aliwezaje kutekeleza bila kutumbuliwa? Je kwenye baraza la mawaziri la sasa kuna waziri anayevaa viatu vyake? Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo miaka 2 imeisha si Chadema , ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.
Mwezi march 2023 imetimia miaka miwili tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo ,Lisu, Lema , Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.
kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga! Mbowe akimaliza kutukana anakimbilia kupanda ndege mpya ya Dreamliner impeleke KIA.
Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!!
Muda utawaumbua zaidi.
Alipokuwa wizarani alijaza wasukuma na aliendelea hivyo hadi alipokuwa rais. Kote huko alifanya ubadhirifu ila aliuzuia kwa namna flani. Hakuwahi kuwa kiongozi mzuri hata wakati mmoja ni udikteta na ubabe kila wakati.Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.
Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli na aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, kwa waliokuwepo kwenye wizara ya uvuvi, aridhi na ujenzi enzi za waziri Magufuli watakwambia moto wake.
Swali la kujiuliza aliwezaje kutekeleza bila kutumbuliwa? Je kwenye baraza la mawaziri la sasa kuna waziri anayevaa viatu vyake? Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo miaka 2 imeisha si Chadema , ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.
Mwezi march 2023 imetimia miaka miwili tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo ,Lisu, Lema , Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.
kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga! Mbowe akimaliza kutukana anakimbilia kupanda ndege mpya ya Dreamliner impeleke KIA.
Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!!
Muda utawaumbua zaidi.
Wote uliowataja hamna hata mmoja aliyefungwaKweli alihonga hadi nyumba za serikali kwa hawara yake, Salva Rweyemamu aliyekuwa mhariri wa gazeti la Rai akaitoa nyumba na jina la hawara yake.
Alivyokuwa mtu wa visasi alipomkuta akiwa ikulu kama msemaji wa rais akawa wa kwanza kufukuzwa kazi, lakini kwa wenye akili timamu tumeona legacy yake kwa mahawara.
Mfumo wa kubebana na kulindana ndani ya CCM ndio uliombeba, mabaya yake yalifutwa na utendaji kazi wake, pity baada ya kupata madaraka ndio rangi yake halisi ikaonekana.
Kuna wapumbavu wengi wamebebwa na mfumo wa CCM, hivi hili shetani mnalolitetea na kulipamba lingekuwa hai watu wa calibre ya akina Makonda na Sabaya au mwanaharakati huru, Cyprian Musiba si wangekuwa na mamlaka?
Pumbavu tu kwa hivi vijibwa vinavyohangaika kumpamba shetani, sasa hatutekwi, hatuuliwi, tuna amani, hatushambuliwi sababu zimwi halisi. Wa kumsifia ni MUUMBA KUTUONDOLEA HILI JINAMIZI
KUfa umfateHayakuhusu nini acha unafiki na uzandiki mbona mnamchafua kama hayawahusu
Nyumbu wanalialia tuHuwa nawashangaa Sana wanaosema Miaka mitano ya Magufuli .Sijui wamezaliwa juzi.
Legacy ya Magufuli ni ya 25years Hakuna wa kuifuta
Mungu ni mwema atatuletea Magufuli mwingineWatu wa huko kando ya bahari wanavyopenda vitu lainilaini, huyu jamaa alikuwa mgumu haswaa, ngumu kumeza.
Nilikata tamaa ya sisiemu lkn ujio wa huyu jamaa ulinipa nguvu sana, I loved his acts kwa kweli, alikuwa mtu wa haki na aliijua vyema.
May God rise another Magufuli, we need him dearly.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wa MamaChawa wa nani
Halafu bado watakung'ang'ania eti lete ushahidi.Wasikusumbue hao wapumbavu sukumagang na hoja zao za kindezi, wasiojulikana wako wapi siku hizi? Waliomshambulia Tundu Lissu wako wapi walikamatwa?
Yup wapi Azory Gwanda?
Yuko wapi Simon Kangoye?
Ben Saanane je?
Nani aliyemteka MO?
Nani aliyemteka Roma Mkatoliki? Kipanya?
Kama ni kawaida mbona wasiojulikana hawako siku hizi?
Nakubaliana na wewe MUNGU BABA fundi ukiwa unatoa roho za watu. Ushahidi wakamuulize jambazi mwenzake Simon Sirro
SawaWa Mama
KabisaChumaa
Alafu nyumbu wasio na ofisi kwa miaka 30 ndiyo wajanja!Walomteua walikuwa waungwana hata akikosea wanamrekebisha kwa staha pia hawakubeba visasi na hawakuwa washamba