Hayati Magufuli aliwezaje kuwa Waziri kwa miaka 20 bila kutumbuliwa?

Hayati Magufuli aliwezaje kuwa Waziri kwa miaka 20 bila kutumbuliwa?

Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.

Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli na aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, kwa waliokuwepo kwenye wizara ya uvuvi, aridhi na ujenzi enzi za waziri Magufuli watakwambia moto wake.

Swali la kujiuliza aliwezaje kutekeleza bila kutumbuliwa? Je kwenye baraza la mawaziri la sasa kuna waziri anayevaa viatu vyake? Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo miaka 2 imeisha si Chadema , ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.

Mwezi march 2023 imetimia miaka miwili tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo ,Lisu, Lema , Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.

kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga! Mbowe akimaliza kutukana anakimbilia kupanda ndege mpya ya Dreamliner impeleke KIA.

Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!!

Muda utawaumbua zaidi.
Ngoja uchaguzi uingie waingie kukampeni kwa kumtukana tena magufuli japo marehemu. Watatoka kapa bin sifuri halafu wataapiza magufuli kawaibia kura. Watu wa ovyo sana hawa. Walihakikishiwa na yule shoga mzungu armsterdam kwamba watashinda uchaguzi na kwamba magufuli hapendwi. Wakamuamini mzungu kama vile kuamini uganga wa mchawi.
 
Ni kweli kabisa Hayati JPM alikuwa mkali tangu akiwa naibu waziri, alikuwa mkali sana na mfuatiliaji, hulka ya watanzania huwa hawapendi mtu mkali na mfuatiliaji kwasababu anawakosesha uhuru wa kuiba.

Tunawaomba viongozi wetu kuwa wakali na wafiatiliaji kwenye mambo ya msingi.
Kuna baadhi ya watendaji hawaendi bila mjeledi.

Tusioneane muhali Wala kuchekeana kwenye mambo serious ya nchi.

Tunamuombea Mungu Rais wetu azidi kuwa makini na mkali kwenye mambo ya msingi lakini pia wasaidizi wake wakuu, Makamu wake na waziri Mkuu lazima pia wawe wakali ili Ufisadi na ubadhirifu wa fedha za umma ukome.
Hakua mkali,ni makele tuu.iweje wamteue wakati anawaumbua awamu zote?
 
Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.

Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli na aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, kwa waliokuwepo kwenye wizara ya uvuvi, aridhi na ujenzi enzi za waziri Magufuli watakwambia moto wake.

Swali la kujiuliza aliwezaje kutekeleza bila kutumbuliwa? Je kwenye baraza la mawaziri la sasa kuna waziri anayevaa viatu vyake? Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo miaka 2 imeisha si Chadema , ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.

Mwezi march 2023 imetimia miaka miwili tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo ,Lisu, Lema , Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.

kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga! Mbowe akimaliza kutukana anakimbilia kupanda ndege mpya ya Dreamliner impeleke KIA.

Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!!

Muda utawaumbua zaidi.
Ndumba na ngayi
 
Utendaji kazi uliotukuka ndio uliwezesha kudumu kwake kwenye baraza la mawaziri kwa muda mrefu. Hasa ukizingatia kwamba Magufuli hakuwa na magenge ya wafuasi ndani ya chama.
 
Pinda amekuwa waziri miaka zaidi 20 na Uwaziri Mkuu juu,

Jakaya amekuwa waziri zaidi ya Miaka 15 Kama Magufuli maana wote wameanzia unaibu,,

Kingunge ….


Kwa kifupi hawa walikuwa mawaziri wakati maraisi wanatumia akili siyo kukurupuka kuteua bila vetting ya kutosha ndo inaelekea kutumbuana


Britanicca
 
Kwanza ujinga wa kutumbua tumbua ni yeye kauanzisha kabla yake mambo hayo hayakuwepo kwa kiasi kile
Ilikuwa mpaka Utumbuliwe kwa enzi za nyuma basi ulikuwa mzigo kwelikweli
Kwa jinsi Magufuli alivyokuwa kwenye urais
Na Magufuli wa enzi za uwaziri ni wazi kwamba Magufuli rais angesha mtumbua Magufuli waziri kitambo tu

Kwa hiyo kipindi hicho ama viongozi walikuwa na busara kwenye maamuzi au hawakuwa wanajali sana

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza ujinga wa kutumbua tumbua ni yeye kauanzisha kabla yake mambo hayo hayakuwepo kwa kiasi kile
Ilikuwa mpaka Utumbuliwe kwa enzi za nyuma basi ulikuwa mzigo kwelikweli
Kwa jinsi Magufuli alivyokuwa kwenye urais
Na Magufuli wa enzi za uwaziri ni wazi kwamba Magufuli rais angesha mtumbua Magufuli waziri kitambo tu

Kwa hiyo kipindi hicho ama viongozi walikuwa na busara kwenye maamuzi au hawakuwa wanajali sana

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Kumbuka ya Nape na January
 
Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.

Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli na aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, kwa waliokuwepo kwenye wizara ya uvuvi, aridhi na ujenzi enzi za waziri Magufuli watakwambia moto wake.

Swali la kujiuliza aliwezaje kutekeleza bila kutumbuliwa? Je kwenye baraza la mawaziri la sasa kuna waziri anayevaa viatu vyake? Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo miaka 2 imeisha si Chadema , ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.

Mwezi march 2023 imetimia miaka miwili tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo ,Lisu, Lema , Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.

kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga! Mbowe akimaliza kutukana anakimbilia kupanda ndege mpya ya Dreamliner impeleke KIA.

Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!!

Muda utawaumbua zaidi.
Unlike mawaziri wengine, he has key factor “ufuatiliaji an umakini”, those two things zinamiss kwa hawa wa sasa
 
Back
Top Bottom