Hayati Magufuli aliwezaje kuwa Waziri kwa miaka 20 bila kutumbuliwa?

Umesahau jinsi alivyolitia hasara taifa kwa kukamata meli ya uvuvi ,bila kufuata sheria za kimataifa!!wataalam wa maritime laws walimshauri wapi,yeye anataka sifa aliwasikia!!leo kuna deni kama la trilioni 3!!
 
Alipochukua mamlaka isiyo yake ya kutoa roho katika miili ya walioumbwa na Mungu, ndipo yote mema yalipofutika juu yake. Kamwe Mungu anapokuinua usijaribu kumpinga Kwa kutoa roho zisizo na hatia kisa tu wanapinga Kwa maneno matendo yako.
Pumbavu
 
Umesahau jinsi alivyolitia hasara taifa kwa kukamata meli ya uvuvi ,bila kufuata sheria za kimataifa!!wataalam wa maritime laws walimshauri wapi,yeye anataka sifa aliwasikia!!leo kuna deni kama la trilioni 3!!
Lini unapeleka ushahidi mahakamani?
 
Alikoswakoswa kutumbuliwa.
Nakumbuka nilikuwa Mara naongea na Radio moja nasema,"Haya mambo Magufuli asamehewe. "
Nilikuwa nina mambo mawili ya kusema siku ile;Magufuli asamehewe na yule Sheikh Ponda atolewe jela kule Morogoro.
Asamehewe nini? Hata sikumbuki kulikuwa na ubishi gani.
 
Kisa cha Daniel nyakati za Dario mmedi, ni relevant sana na stori ya Magufuli, huyu Bwana pamoja na kwamba anatafutiwa ubaya hata angali amekufa, atazidi kung'aa.

Sikuwahi kuona baya lake aisee, ni binadamu ndiyo na hakosi madhaifu kama binadamu, lakini alikuwa na nia thabiti ya kuliponya na kuliokoa taifa, alikuwa na maono na ninajua tungekuwa mahali tunakopaswa kuwa kama angalikuwapo.

Tutamkumbuka hata baada ya miaka mingi huyu kiongozi hodari.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kweli mkuu inaumiza sana
 
Alipochukua mamlaka isiyo yake ya kutoa roho katika miili ya walioumbwa na Mungu, ndipo yote mema yalipofutika juu yake. Kamwe Mungu anapokuinua usijaribu kumpinga Kwa kutoa roho zisizo na hatia kisa tu wanapinga Kwa maneno matendo yako.
Hii weakness yake kubwa ya kutopenda kupingwa ili m cost pamoja na dhamiri yake njema...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…