white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Toka 2015-2020, ni mwaka upi kulikuwa na ukame mkubwa?kama huu uliopo sasa?tuanzie hapo kwanza, kwani karibia miaka 4 mfululizo Tz, ilipata mvua nyingi sana.Umeandika matope, naamini ukisoma tena huu ukojo wako utajigundua kuwa wewe ni Kihandeli chenye mkia kabisa!
Kwa hiyo wewe unabishana
Sasa hiyo mtera inayochangia megawati 80 hata kama bado maji yapo ndio itasaidia nini kwenye mahitaji ya megawati 1600?!!vitu vingine muwe mnatumia akili tu.tatizo hapa ni serikali za awamu zote ndio zimetufikisha hapa c ajabu hata hilo bwawa la mwl.Nyerere likatumika ndani ya miaka michache tu, tukaja kuambiwa tatizo ni maji, hivyo tuhamie kwenye makaa ya mawe!!kwenye gesi walituambia nini?Kwa hiyo wewe unabishana na meneja wa bwawa la Mtera.
Na wewe itaje iliyokauka kutokea unakojua?Nijibu hili swali
Kipindi cha JPM Maji hayakuwa yakikatika?
Kipindi cha JPM Umeme haukuwa ukikatika?
Nitajie Mito 10 inayojiririsha Maji full kutokea Dar mpaka Singida? Kwa sasa
Ana mbwela mbwela tu huyo bendera fuata upepo achana naye!Na wewe itaje iliyokauka kutokea unakojua?
Bwawa mlisema limekauka mara ikaonekana limejaa na umeme kwa kiwango sawa miezi 7
Wacha tuone ukweli!Kuna watu Wana chuki na mama na Makamba kwa hiyo wanafanya hujuma kusudi Ili kumfitinisha na wananchi aonekane hawezi na hasa wafuasi wa Mwendazake alikuwa kawajaza vitengo mbalimbali.
Ila wacheze salama wakibainika watajuta na wataelewa kwamba Mfu hawezi wasaidia.
Hatukusikia mipango ya hovyo!Hujui kitu wewe! Umeme ulikatwa lakini hamna matangazo yaliyotoka! Tangu 2019 kuna wakati Dodoma hii maji na hata umeme vilikuwa vinakata kabisa. Haswa maji!
We jamaa bans sijawahi kuona ukiwa silias etyWanamuhujumu Mama na Taifa kwa ujumla...
Unaweza kutaja ni wakati gani kulikuwa na mgao wa maji na umeme wakati wa Magufuli?Nijibu hili swali
Kipindi cha JPM Maji hayakuwa yakikatika?
Kipindi cha JPM Umeme haukuwa ukikatika?
Nitajie Mito 10 inayojiririsha Maji full kutokea Dar mpaka Singida? Kwa sasa
Sasa hiyo mtera inayochangia megawati 80 hata kama bado maji yapo ndio itasaidia nini kwenye mahitaji ya megawati 1600?!!vitu vingine muwe mnatumia akili tu.tatizo hapa ni serikali za awamu zote ndio zimetufikisha hapa c ajabu hata hilo bwawa la mwl.Nyerere likatumika ndani ya miaka michache tu, tukaja kuambiwa tatizo ni maji, hivyo tuhamie kwenye makaa ya mawe!!kwenye gesi walituambia nini?
Kwani mgao ni lazima utangazwe?Unaweza kutaja ni wakati gani kulikuwa na mgao wa maji na umeme wakati wa Magufuli?
Nimepita Dar- Singida karibu mito yote imekauka. Mito si zaidi ya 3 inatiririsha maji kidogo sanaNa wewe itaje iliyokauka kutokea unakojua?
Bwawa mlisema limekauka mara ikaonekana limejaa na umeme kwa kiwango sawa miezi 7
Yaaa point alikuwa muuaji mkubwa ,alikuwa mpuuzi tu japo umeme lilliweza pamoja na uchizi wakeAlichukiwa kwa sababu alikuwa muuaji. Hata ufanye mazuri vipi lakini ukiwa muuji inafuta mazuri yote
Inamaana hujui kuwa kuna season rivers ikikakuka hiyo mito haimaanishi ni ukame bali miezi yake ya kititirisha maji imeisha mpaka msimu ujao wa mvua na uwa ina happen kila mwaka.Nimepita Dar- Singida karibu mito yote imekauka. Mito si zaidi ya 3 inatiririsha maji kidogo sana
Mayanga ule haukuwa upigajiWeka akiba ya maneno mangi, baadae nae akaanzisha kundi lake la wapigaji refer Mayanga Construction.
Alimuua nani?Alichukiwa kwa sababu alikuwa muuaji. Hata ufanye mazuri vipi lakini ukiwa muuji inafuta mazuri yote
Wanamuhujumu Mama na Taifa kwa ujumla...