Hayati Magufuli aliwezaje kuwadhibiti wahujumu wa maji na umeme?

Hayati Magufuli aliwezaje kuwadhibiti wahujumu wa maji na umeme?

Ukiona mtu anamkumbuka dikteta jua nae alikuwa mtesi na alikuwa kwenye kundi la kutesa watu.ukweli Yule jamaa Bora Mungu aliingilia Kati alikuwa hafai alikuwa muongo tu
 
Sio kweli mwaka 2017, kulikuwa na ukame mkubwa sana!!tena ilikuwa ni kwa baadhi ya mikoa tu, hasa, mwanza, shinyanga, tabora, lakini mikoa mingi ilikuwa n mvua,mimi nilikuwa katavi mvua zilikuwa nyingi tu.lakini kwa mwaka huu karibia mikoa yote hadi sasa mvua bado .
acha uongo mkuu, mikoa mingi ilikumbwa na ukame bt iloathirika zaidi na ukame ni tanga, arusha, kilimanjaro, manyara, moro, dar, pwani, zanziber na nk... maelfu ya mifugo walikufa lakini hatukushuhudia mabwawa yakikauka kama tunavyoambiwa sasa.
 
acha uongo mkuu, mikoa mingi ilikumbwa na ukame bt iloathirika zaidi na ukame ni tanga, arusha, kilimanjaro, manyara, moro, dar, pwani, zanziber na nk... maelfu ya mifugo walikufa lakini hatukushuhudia mabwawa yakikauka kama tunavyoambiwa sasa.
Kweli kabisa!
 
Ukiona mtu anamkumbuka dikteta jua nae alikuwa mtesi na alikuwa kwenye kundi la kutesa watu.ukweli Yule jamaa Bora Mungu aliingilia Kati alikuwa hafai alikuwa muongo tu
Lete ukweli wako!
 
Waliomshambulia Lissu wameshindwa kukamatwa hadi leo kwanini?

Halafu mseme Mbowe aliplan kufanya mashbulio kwa viongozi na mumkamate kabla hajashambulia?

Shallow minded!
Amlete dereva uchunguzi uanze mara moja!
 
Amlete dereva uchunguzi uanze mara moja!
Dereva ndio alikua ndani ya gari na risasi zimemiminwa akiwemo pia peleka ujinga mbali huko?

Mnataka ushahidi wa dereva kwa misingi gani au ndio mumpatie script za uongo kama hizo za mashahidi wenu wanaosema terrorism ni utalii?
 
Back
Top Bottom