He was a trouble Booster,problems makers everywhere! Inside and outsides!Ukiona mtu yoyote kutwa kumlilia marehemu ujuwe huyo mtu ni kama behewa la SGR anasubiri kichwa aje avutwe tu. Move on haya maisha kila zama na nyakati zake fikiria future sio kila siku uko juu ya kaburi unalia Mkewe mwenyewe ndio kwanza kanawiri siku hizi wewe unateseka.
He was smart alijuwa kucheza na akili za watu kwa hilo nampa sifa na Tz wewe kuwa kama kina Mandonga tu utafanikiwa.He was a trouble Booster,problems makers everywhere! Inside and outsides!
Two different things!, ukusema alikuwa kama mandoga it's ok, for lots of fictions and stands on its lie firmly!He was smart alijuwa kucheza na akili za watu kwa hilo nampa sifa na Tz wewe kuwa kama kina Mandonga tu utafanikiwa.
Wewe mpiga deal na vyeti feki acha hizo. Acha Rais wa sasa afanye kaz yake ya Magufuli yashapita na mema yake yataendelea kubaki hakuna wa kuyapinduaUnapoanzisha thread za Magufuli maana yake wewe ndio unaalika watu waje kumpopowa huyo Ibilisi wenu.
Anza wewe kumuacha huyo Ibilisi apumzike ili wengine waache kumuandika, ingawa si rahisi huyo Ibilisi kupumzika kwa amani kwa matendo yake ya kishetani aliyoyafanya.
Hivi unafahamu alitaka kujiuzulu mara ngapi na wazee tu ndo walimzuia kwa kuhofia kuleta tafrani?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati hajaingia madarakani biashara kati ya Tanzania na Kenya ilikuwa ngumu sana huku akikumbusha vifaranga vilivyochomwa moto mpakani akisema haikuwa sawa kuchoma vifaranga kutoka Kenya.
Chanzo: mwananchi_official
Sasa kama kumbe unamchukia na uliona hakuwa kiongozi sahihi iweje ulikubali kuwa chini yake kama Makamu wake wa Rais? Kuna mtu yoyote labda alikuzuia kujiuzulu ili ateuliwe Makamu wa Rais mwingine na wewe uliyekuwa ukimwona hafai na mkatili ukae zako tu pembeni?
GENTAMYCINE nakiri wazi hapa kuwa kama mwanadamu/binadamu Hayati Magufuli alikuwa na mapungufu yake na tuliyompenda tutazidi kumuombea msamaha kwa Mwenyezi Mungu. Ila tuache kutafuta kukubalika kwetu kwa Watanzania, Wazungu na wana Afrika Mashariki wenzetu kupitia mgongo wa kumsema vibaya (kumchafua) na kumfumbia mafumbo ya kipwani pwani tu.
Hebu tumuacheni sasa baba wa watu apumzike huko alikolala usingizi wake wa milele na sisi (akina GENTAMYCINE) tuliyoshika usukani sasa tufanye zaidi ya aliyoyafanya ili nasi tukija kustaafu uongozini tusianze kubezwa kuwa tulitumia muda mwingi kuzurura ovyo, kutumia kibinafsi pesa za Wazungu, kunywa mno mivinyo ya Kifaransa na kuwawezesha akina Shilole na mitaji ya shilingi milioni 500 huko Dodoma (kama malipo ya burudani maalum) anayoitoa.
Msitulazimishe wenye akili kubwa, zilizotukuka na kubarikiwa na Mwenyezi Mungu tuanze sasa kuhisi kuwa huenda tarehe 17 Machi, 2021 Israel mtoa roho hakufanya kazi yake pekee ya kumtwaa mazima 'Mwamba' bali alisaidiwa kwa ukaribu na aliokuwa akiwaamini, kuwa nao karibu na kumsifia kinafiki kila walipokuwa naye katika matukio muhimu Magogoni na Chamwino.
Unajua maana ya neno mpenzi?...Acha mpenzi wangu Samia...
Mkuu wewe ni 1 kwenye milioni 50, libarikiewe tumbo lililokubeba kwa miezi 9! Comment Bora kabisa kwa mwaka 2022 hapa jf!Hakuna mtu smart anafanya kazi serikalini, huko wamejaa wadumavu wa akili tu.
Usinifanishe kabisa, sihitaji cheti chochote cha kitaaluma kwenye maisha yangu, makaratasi hayana nafasi kwenye kazi zangu ni intelligence tu ndio inahitajika.
Pamoja na madhaifu yake niliweza kuwapa watoto ugali kwa tshs 1500/- lakini Sasa Hali sivyo kabisa !! Mungu amsamehe maovu yake yaliyozidi kimo Cha uanadamu!!!Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati hajaingia madarakani biashara kati ya Tanzania na Kenya ilikuwa ngumu sana huku akikumbusha vifaranga vilivyochomwa moto mpakani akisema haikuwa sawa kuchoma vifaranga kutoka Kenya.
Chanzo: mwananchi_official
Sasa kama kumbe unamchukia na uliona hakuwa kiongozi sahihi iweje ulikubali kuwa chini yake kama Makamu wake wa Rais? Kuna mtu yoyote labda alikuzuia kujiuzulu ili ateuliwe Makamu wa Rais mwingine na wewe uliyekuwa ukimwona hafai na mkatili ukae zako tu pembeni?
GENTAMYCINE nakiri wazi hapa kuwa kama mwanadamu/binadamu Hayati Magufuli alikuwa na mapungufu yake na tuliyompenda tutazidi kumuombea msamaha kwa Mwenyezi Mungu. Ila tuache kutafuta kukubalika kwetu kwa Watanzania, Wazungu na wana Afrika Mashariki wenzetu kupitia mgongo wa kumsema vibaya (kumchafua) na kumfumbia mafumbo ya kipwani pwani tu.
Hebu tumuacheni sasa baba wa watu apumzike huko alikolala usingizi wake wa milele na sisi (akina GENTAMYCINE) tuliyoshika usukani sasa tufanye zaidi ya aliyoyafanya ili nasi tukija kustaafu uongozini tusianze kubezwa kuwa tulitumia muda mwingi kuzurura ovyo, kutumia kibinafsi pesa za Wazungu, kunywa mno mivinyo ya Kifaransa na kuwawezesha akina Shilole na mitaji ya shilingi milioni 500 huko Dodoma (kama malipo ya burudani maalum) anayoitoa.
Msitulazimishe wenye akili kubwa, zilizotukuka na kubarikiwa na Mwenyezi Mungu tuanze sasa kuhisi kuwa huenda tarehe 17 Machi, 2021 Israel mtoa roho hakufanya kazi yake pekee ya kumtwaa mazima 'Mwamba' bali alisaidiwa kwa ukaribu na aliokuwa akiwaamini, kuwa nao karibu na kumsifia kinafiki kila walipokuwa naye katika matukio muhimu Magogoni na Chamwino.
Vyeti feki ungeanza na yeye mpaka akamuua yule mfatiliaji. Ukweli usemwe tu kuwa alikuwa zaidi ya IbilisiVyeti feki, acha nongwa kwa marehemu.
Makaa ya mawe nayo ni madini ya kutukuka??Usitegemee Mtu kama Matola International Certified Fool akawa na huu Uwezo mkubwa wa Kifikra na Kimtizamo Uliouandika hapa.
Umeandika Madini ya Kutukuka tupu.
Aliyewaambia wastaafu wanawashwawashwa alikua anaitaka mikuyenge ya wastaafu!?Mwanamke akikutaka hakutongozi kwa sura ya mbuzi, atatumia body language.
Huyu mama anaona viatu vya mwendazake ni vikubwa sana kwake. Tatizo mama anataka Kucheza na jukwaa, kumbe hajui kuwa uchawi ni kufanya vitu tangible ndio utasepa na kijiji cha mioyo ya wabongo.
Mama angebeba mazuri yote ya yule jamaa, kisha angeyachukua mazuri yote ya kaka yake wanaye share naye baba pale kwenye uchumi wa blue, angechanganya na makorokocho yake, mbona mambo yakekuwa ni BAMBAM