Hayati Magufuli anapaswa kupewa Heshima ya Baba wa Pili wa Taifa la Tanzania

Baba wa pili kwenye ukoo wenu. Baba wa Taifa ni mmoja tu Nyerere, ukitaka kila mtu ataje Rais anayetaka awe baba wa Taifa sijui mdogo, au baba mchepuko itakuwa shida sana wengine mama zetu sio malaya kama wewe.
 
Mleta mada UTUKOME kabasa, usitujazie laana, baba wa taifa letu tunao tayari wawili,.
Mwalimu Nyerere na baba mdogo Karume.
 
Mm machinga umeniumiza sana na hii post yako right ningejua karibu nawewe ningekutwisha gumi la uso
 
Uliona wapi nyumba ikawa na baba wawili? Acheni kushusha thamani ya Tanzania na ya Nyerere. Hatuhitaji nchi kuwa na baba wawili, baba huwa ni moja tu kwenye familia
 
mataga vp nyiye wakati mnawaza haya watanzania wamefurahi kuondoka kwake mnashida sana
 
Wewe ebu tuache tumsahau huyu mtu maana mtima umeingia nyongo, tunechefukwa na utawala wake .

Najua kwako usimtupe jongoo na mti wake
 
Usitujaribu!
 
Unyonge wako ndio ulikufanya uone "Unajua mi ni nani" ni issue.
Kwa nini ulikuwa huwaulizi same question.
 
Sikujua kama wasukuma nao hubebesha shingo madafu!
 
Usisahau na ushamba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…