Hayati Magufuli anapaswa kupewa Heshima ya Baba wa Pili wa Taifa la Tanzania

Awe baba wa mke wako ba watoto wako usituletee ujinga wako wakisukuma hapa hana la maana alilo fanya akawqzid wenzie zaid ya kupenda kusifiwa na wajinga kana nyie huyo zipite tu hizo 21 tusahau kabisaa na matendo yake ya kishetani
 
Magufuli alitumia siasa za kuwadanganya wanyonge kuwa yeye ni mtetezi wao kama Camoufledge. Kuwaacha wafanya kila kitu bila kufuata sheria na kuumiza wanaooitwa mashetani ili kuwafurahisha wanyonge, kumbe anawaongezea umasikini.
Umesahau kitu kimoja kiongozi...kujinufaisha yeye na genge lake.

Huyo bwana km angejaliwa maisha marefu bila shaka angefia hapo ikulu kwa uzee, ila ndoivo mungu si asumani.

huyu hana tofauti na raisi mmoja wa kule ivory coast akiitwa felix houphout bouny alijenga eapoti na maekalu ya kutisha kijijini kwake yamousukro na kuhamishia makao makuu ya nchi apo kijijini kwake. kanisa kubwa duniani lipo ivory coast tena kwenye icho kijiji cha uyo raisi. mwendazake alikuwa anaelekea huko.
 
Ila ukweli katika serikali mbovu inawezekana ikawa ndiyo hiyo ya huyo mtu,,,
 
Teacher naona jiwe alikuvuruga kbsa
 
Baba wa Taifa ni mmoja tu.Mama Tanzania sio mama dangote...
 
Omera, oyaore, ingima. Baada ya salamu sikubaliani na mawazo yako hayo. Baba wa Taifa ni mmoja tu. Hatuwezi kuwa na Baba wa pili kama unavyowaza. Pengine labda uwaze kuwa na Baba mdogo wa Taifa ingawa hata hilo wazo sitaliafiki.
 
Omera, oyaore, ingima. Baada ya salamu sikubaliani na mawazo yako hayo. Baba wa Taifa ni mmoja tu. Hatuwezi kuwa na Baba wa pili kama unavyowaza. Pengine labda uwaze kuwa na Baba mdogo wa Taifa ingawa hata hilo wazo sitaliafiki.
Sio kitu kigeni wala cha ajabu kwani hata Korea kaskazini wana Baba wawili wa Taifa
 
Sio kitu kigeni wala cha ajabu kwani hata Korea kaskazini wana Baba wawili wa Taifa
Jiulize kwa nini Nyerere aliitwa Baba wa Taifa. Tanganyika wakati huo ilikuwa chini ya utawala wa kikoloni wa Waingereza. Mwalimu kwa kusaidiana na Watanganyika wengine alipigania Uhuru wa nchi yetu toka makucha ya Ukoloni na hapo likazaliwa Taifa la Tanganyika. Kwa kuheshimu mchango wake kama kiongozi wa juhudi za kuundwa kwa Taifa letu , wananchi wakampa heshima na kumuita Baba wa Taifa la Tanganyika. Heshima hiyo itakuwa kwake tu kwa kumkumbuka juhudi zake.
 
Baba wa Taifa ni mmoja tu Taifa hili na ni Rais wa Kwanza wa nchi hii. Ikiwapendeza mfanyeni baba wa Kanda ya Ziwa au Sukuma Gang au Chato kabisa. Labda ifanyike kumbukumbu ya Udikteta wake kila eneo. Na hiyo pia hatuhitaji maana itatukumbusha machungu mengi mno. Amefukiwa na mambo yake yote hatuhitaji kumkumbuka. Tunaye Rais sasa na kabla hata 40 haijafika tumeshaanza kuponywa
Mungu ametuletea mkombozi Mh. Rais Samia Suluhu Hassan. Mwacheni afanye kazi tena msimtajetaje mwendazake. Maisha mapya na Rais Mpya. Mungu Ibariki Tanzania ndani na nje ya nchi.
 
Labda huna baba hau hujui maana ya baba. Kwa nini nyerere anaitwa baba wa taifa? Kwa sababu alipigania Uhuru wa nchi hii likazaliwa taifa linaloitwa leo Tanzania. Sasa huyo pombe amezalisha taifa gani?
Aliligawa Taifa kikanda, kikabila, kidini, kichuki, kuua Demokrasia, kuua matajiri na kuzalisha maskini zaidi, kwa wanaompinga sisemili kitu ila majua vizuri. Hivi tumuenzi kwa lipi? Hiyo miradi ni kodi zetu siyo pesa yake na alifanya kwa kuhujumu maeneo mengine kama wafanyabiashara kukamuliwa kwa nguvu na kupelekea biashara kufa na wengine kuhama nchi. Ni ajira ngapi zilipotea kwa Manji, MO, Rostam japo amerudi ila trust ni ndogo, ni wangapi wamekosa kazi kwa mahotel kufa. Yaani hivi watu wanatania siyo Eehhh. Acheni maana legacy imedondoka haraka mno. Hana cha kukumbukwa maana uliyofanya ni kawaida hata watangulizi wake walifanya japo alikuwa anawananga kama vile hawakuwahi kufanya chochote watangulizi wake. Alijifanya Mungu na Mungu akamwambia hafananishwi. He is well serving as the head of Angels or sorry not angels ... ulimi umeteleza.
 
Uko wapi leo tutoke out? Yaani tugonge glass ya wine na nyama choma. Yaani umenena
 
Mpeleke China akapewe Huko. Kwanza hili jina lake inabidi lisahaulike haraka mno.
 
KWA LIPI ALILOFANYA, MADARAJA ALIYOJENGA BADO HAYAJAKAMILIKA, BARABARA HATA MOJA BADO HAIJAKAMILIKA, HILO LI-TRENI LA KWENDA MWANZA HALIJAKAMILIKA. ALILOWEZA KUFANYA NI KUIBA FEDHA NA KUPELEKA CHATO KWENYE MIRADI ISIYO NA KICHWA WALA MIGUU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…