Hili Jambo linamfanya JPM kuwa Raisi wa hovyo , hata wanaomshabikia hawaelewi kitu , Kikwete asifananishwe na Raisi mwingine aisee may be akina Nyerere hao ....changamoto yake hakuwa solid kwenye usimamizi
Kikwete aliajiri kila mwaka , Zaid ya wahitimu 100000 waliajiriwa direct from colleges ..... Barabara zilijengwa , watu waliiba mabillion ya pesa , na wenye juhudi walitajirika, na hakukuwa na Kodi za namna hii kama ya leo .....
JPM tunasmifia Kwa lipi wakuu? Tuwe wakweli , Ajira zipo totally stagnant, mzunguko wa hela mtaani ni terrible , Kodi zipo za kila aina, na deni la Taifa Kwa miaka mitano Tu iliyopita limezidi la kipindi kuanzia Mkapa mpak Kikwete combined together...... wastaaf wanataabika, wafanyakazi hawana hamu, matajiri na wafanya biashara wakubwa na wakati wote walikuwa hawana Amani wengine mpak walifunga biashara , akina dangote sjui hata wako wapi, ...... Hii ina maana hata barabara na miundo mbinu iliyojengwa ni ya mikopo , ...mtu kila sku kujitapa kwenye majukwaa na kutukana wazungu ......
Ukweli ni kuwa hela wanazo wazungu , Sisi huku tunadanganyana na kukamuana huku tukipeana matumaini hewa tuu....Baba amejifungia ndani kufokea wanawe, hamna kitu wakuu.... na hili kikwete alilijua , thus why mwamba alikuwa anaranda randa huku na kule kuleta pesa ....nimeishi nikiwa mtu mzima kwenye tawala zote mbili nachelewa kusema Kikwete ni the best president aiseee..... Ila kama tulilidhika na unyonge na tulitamani tuwe wanyonge forever basi tumsifu huyo JPM Ila Mimi hapana......labda kafanikiwa kuwatia hofu wafanyakazi ....
Alaf unanilazimishaje Mimi niishi nikitaabika Kwa ajili ya Tanzania ya Kesho ? Yaani nife kwenye umaskini Kwa ajili ya Tanzania ya Kesho ?? What a shit.... Tanzania ya Kesho itajengwa na wa kesho let us enjoy today .....