Hayati Magufuli anashambuliwa kila kona. Siyo kesi, ila mambo yaende; yasipoenda wananchi watawazomea kila kona

Ametuachia deni la Trillioni 18 katika kipindi chake cha miaka 5 tu. Hili pia linapaswa lilipwe.
Mbona alikuwa anasema kuwa miradi hiyo inafanywa kwa pesa za ndani??,Na kwamba nchi Ina pesa mingi?.
 
Ni ujinga kunyamazia uchafu wa vyombo vya usalama ukitegemea mbeleko yao. Jeshi kubwa na imara kushinda majeshi yote ni Umma
 
Asante Mkuu kwa kuongea kisomi.
 
Mama ana roho ya ubinadamu,mambo mengi maovu yaliyofanyika chini ya mwendazake yanafichuka,kutokana na ripoti ya CAG.
Mwendazake alikuwa anapambana kuwamaliza wapinzani,wawekezaji huku kukiwa na mianya lukuki ya upotevu wa fedha za umma
Muda si mrefu mtaanza kumponda huyu mama kwamba hajafanya lolote.Yangu macho na masikio.
 
Mwenda zake alikuwa hapendwi ndio maana kampeni zake alifanya mchana tofauti ilivyozoeleka ili watumishi wa umma na wanafunzi wakajaze uwanja na Mataga wakasombwe kutoka mbali ...Mama shika hapo hapo mpaka wataelewa ...
Nitakufuatilia post zako Hadi 2025,km haujaanza kumponda na huyu mama naye.Maana hakuna watu wanafiki duniani km Wabongo.
 
Wa
Wananchi wanataka ajira, hicho tu. Tunapaswa turudi enzi za kikwete ambapo ukiwa chuoni ajira zinakufata hukohuko. Yaani jpm miradi yake hewa iligharimu ajira na zilitoweka kabisa hasa madaktari ambao wanabrush viatu tu mtaani
 
Naona kuna Genge linapambana kutusaulisha mazuri ya Hayati Magufuli ni suala la Muda tuuuu
 
YEHODAYA
Em njoo huku utujibie hizi hoja, moja baada ya ingine tafadhali
 
Magufuli alikua fisadi papa!!
Toka tupate uhuru tulizoea kuona mafisadi yakikwapua pesa na kupeleka benki za Uswisi nk na kujenga empire zao binafsi za mali

Fisadi papa Magufuli ndie fisadi a kibaka pekee aliyekuwa akikapua pesa na kuwapelekea wananchi wanyonge waluo wengi mbio kwa kuwapelekea miradi ya maendeleo.na ya jamii kibao nchi nxims kwa spidi ya mwewe.

La kafa mapema wanyonge wangekuwa mbali

Sasa hivi hakuna tena mkwapuaji fisadi kwa ajili ya wanyonge walio wengi

Wanyonge walio wengi kwa sasa hawana fisadi wa kuwakwapulia hela na kuwapelekea tena .Daah inauma.Tusubiri labda atatokea
 

Unajua miradi aliyofanya Nyerere? Unajua miradi aliyofanya Kikwete? Huyo Dikteta/FIsadi Wenu haifikii hata angepewa miaka 20 Tena.

Mtu ameongoza miaka mi5 lakini amekopa fedha za hatari mara mbili ya kikwete halafu huku anatudanganya tunajenga kwa fedha zetu wenyewe tutembee kifua mberee sisi matajiri.

Miradi aliyokuwa anafanya JIWE mingi ya kupiga 10% tu na kampuni zake za MAYANGA na Sub contractors wake.
 
Toka tupate uhuru tulizoea kuona mafisadi yakikwapua pesa na kupeleka benki za Uswisi nk na kujenga empire zao binafsi za mali

Fisadi papa Magufuli ndie fisadi a kibaka pekee aliyekuwa akikapua pesa na kuwapelekea wananchi wanyonge
Hujasikia alikuwa anakwapua anapeleka kuhifadhi CHiNA?
 
Unamuongelea hyu shetani wa chato aliekufa??
 
Akija kushtuka miaka minne imepita kilichofanyika ni kumpaka matope Hayati.
Huyo hayati wako alijivika umungu mtu, alihisi baada ya mungu anafuata yeye, Mungu wa kweli kapita na kipara chake sasa hvi mafunza yanasherehekea. [emoji12] [emoji12]
 
Mambo gani au kila siku kutembea na tv ndio mambo yenyewe
 

Sahihi sana!
 
Tulia na UMATAGA wako, speed kubwa ya Mwendazake ilikuwa ni katika kuleta hasara, hakuna mradi wowote uliofanikiwa chini yake. Tumwache mama afanye kazi tusimpangie cha kufanya.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…