Hayati Magufuli anashambuliwa kila kona. Siyo kesi, ila mambo yaende; yasipoenda wananchi watawazomea kila kona

Hayati Magufuli anashambuliwa kila kona. Siyo kesi, ila mambo yaende; yasipoenda wananchi watawazomea kila kona

Spidi aliulypkuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ichallenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani.

Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.

Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai

Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge

Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Huu ni mtazamo wako mnufaika? Hali ni tofauti Sana huku ground kwani Ile furaha iliyokosekana kwa miaka 6 imerejea kwa kasi ya ajabu!
Chuki kweli ni wazi mno Sasa hivi hasa kwa waajiriwa wa kada mbalimbali za serikali morali ya kazi imeongezeka mno baada ya kufanya kazi kwa tension bila maslahi yao kujaliwa!
Wananchi wamemchukia zaidi baada ya ripoti ya cag kuwekwa hadharani na ufisadi wa serikali yake kupitia miradi kanjanja! Yaani watu wanamponda mno kitaa!
 
Mwenda zake alikuwa hapendwi ndio maana kampeni zake alifanya mchana tofauti ilivyozoeleka ili watumishi wa umma na wanafunzi wakajaze uwanja na Mataga wakasombwe kutoka mbali ...Mama shika hapo hapo mpaka wataelewa ...
 
Kijana shirikisha ubongo na akili kwa pamoja kwenye ku reason mada zako. Hakuna mtu anamu attack Marehemu Magufuli. Ni vitu vinajitokeza au vinatokelezwa na sasa vinaonekana. Bahati mbaya wakati wa utawala wake hakuruhusu hii.

Nikuulize kitu kirahisi kabisa, hivi unajua huyu CAG yeye Marehemu ndio alimleta baada ya kumtoa wa mwanzo? Sasa unahisi huyu CAG anamzunguka Marehemu?

Kwa uelewa wako, Marehemu alisema ATCL imepata faida ya bilioni 28 na huyu mtaalam wa ukaguzi anasema tumekula hasara ya mabilioni hapa unapendekeza tumuamini nani?

Unaamini Marehemu alikuwa ni binadamu wa kawaida na hence sio perfect au unawaza alikuwa Mungu ambae hakosei? Kama ni binadamu wa kawaida kwann unasumbuka kusikia anakosolewa?

Nikushauri kitu, kila uongozi una namna yake ya kutawala, utawala wa Magufuli ulishapita jifunze ndani ya moyo wako kuamini kuwa Magufuli amekuja na ameondoka sasa ni mama Samia. Nae atakuwa na mazuri yake na mapungufu yake na hazimiki kufuatisha mtindo wa utawala wa Magufuli. Yeye ni Rais kamili na ana uhuru kupanga serekali yake anavyoona yeye inamfaa
 
MJG.jpg


Mmesikia serikali ya wanyonge? Serikali takatifu ya shujaa wa Afrika, tuliyeambiwa amefuta ufisadi? Ngoja nikutajie machache;
Ujenzi wa SGR umesababisha hasara ya 3.5Bil kwa kuajiri wafanyakazi wa kigeni wasiokua na vibali.

Kigwangala alitumia 172M kuandaa Kili challenge lakini pesa hizo hazijulikani zilitumikaje (hazina risiti).

Akaunti ya jeshi la zimamoto ilitumika kupitisha 261M. Yani watu walipiga "mchongo" wakakosa akaunti ya kupitishia, wakatumia akaunti ya zimamoto. Zilipoingia wakazitoa wakasepa. Just imagine watu wana ujasiri wa kupitisha pesa chafu kwenye akaunti ya jeshi? Halafu tunaambiwa mwendazake alinyoosha nchi.
Wasafi walipewa 140M, TBC 201M na Clouds 629M kutangaza tamasha la Urithi Festival. Lakini hakuna mkataba wala risiti yoyote ya kujustify malipo hayo.
18Bil zilizokusanywa ktk wilaya 135 hazikufika serikalini. Yani zilikusanywa lakini wajanja wakalala nazo mbele.

3.9Bil zilitolewa kukarabati ndege ya ATCL iliyopaki tangu mwaka 2015, lakini hela imeliwa na ndege haijakarabatibwa. Yani watu walitafuna milioni 3,900 halafu hawakupaka hata rangi.Hayo ni baadhi tu ya "madudu" ya serikali takatifu ya mwendazake. Sijaongelea HESLB, TANAPA, TANROADS, SGR, Stligler's gorge, Stand ya Magufuli. Huko kuna madudu ya kutisha.

Lakini tuliaminishwa serikali ya mwendazake haikua na doa. Watu waliokosoa waliitwa vibaraka. Serikali takatifu haikutaka kunyooshewa kidole.
Tujifunze kutofautisha mtu msafi na anayeficha uchafu. Mwendazake hakua msafi bali alijua kuficha uchafu. Ndio maana akaminya uhuru wa habari. Hatukusikia skendo kama za Escrow tukadhani serikali yake ni safi, kumbe kuna skendo kubwa zaidi ya Escrow lakini zimefichwa uvunguni.Ndio maana nasema afadhali JK aliruhusu media ziwe huru. Skendo za Richmond, EPA, Escrow aliacha wananchi wajue. Lakini mwendazake alifunika skendo zisifike kwa wananchi.


Ndio maana watu wamemtania CAG atoe pia ripoti aliyopanga kumpa mwendazake, maana angekua hai asingethubutu kusema ATCL imepata hasara ya mabilioni, au SGR imeleta hasara, au mradi wa Stigler's umejaa madudu. Angeficha kwa sababu ndivyo mwendazake alivyopenda.

Tunahitaji viongozi wasafi, sio wanaojua kuficha uchafu.!

By Malisa Godlisten
 
Spidi aliulypkuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ichallenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani.

Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.

Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai

Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge

Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
HENRY_KILEWO_on_Instagram:_“Tulisema_wazi_kuwa_2020_hakukuwa_na_Uchaguzi_kulikuwa_na_uchafuzi_...jpg
 
NAONA BAADA YA KUFIKA CHATO NA KUKOSA UONGO WABAYA WAKE WANATU'MIA RIPOTI T YA CAG KUMCHAFUA.


ALIPOKUWA HAI WALIMUITA "MSHAMBA"

KABLA TULIAMINISHWA CHATO IMEJENGWA MAHEKALU KWA MABILLION, KILA KITU KIPO CHATO. WATANZANIA WAMEFIKA NA WAMEIONA CHATO NA MAKAZI YA JPM

KUIZIMA NYOTA YA JPM ITAKUWA NGUMU SANA
 
Na hao ndio population kubwa ya Tanzania zaidi ya asilimia 80 na ndio wanyonge wenyewe waliompigia kura na ndio alijitahidi kuwapelekea miradi mingi na elimu bure nk

Ndio aliosimama nao.Lisu alisimama na wanaoielewa akaambulia kura milioni moja

Magufuli akasimama na wasiojielewa wenye elimu duni na uelewa duni na machinga na ma ntilie nk.

Nakubaliana na wewe alisima na wengi wa chini hakusimama na wachaje wa juu au middle class
Ule uporaji wa kura ndo unaita uchaguzi!!
 
NAONA BAADA YA KUFIKA CHATO NA KUKOSA UONGO WABAYA WAKE WANATU'MIA RIPOTI T YA CAG KUMCHAFUA.






KUIZIMA NYOTA YA JPM ITAKUWA NGUMU SANA
Pambaneni na ripoti acheni kutupigia makelelr
Mbona mliamini maripoti yake ya makinikia ya akina Mruma wakati ni ya kupika kabisa!
 
Huyu alifurushwa kutoka TRA anaweza akatumiwa vilevile. Sisi tuliona siku ya tatu baada ya maziko hii ripoti kupokelewa na ilikuwa Jumapili.

.wapambe nuksi wakaanza kumchafua mwenda zake kwamba ingekuwa ni yeye angekuwa kanisani akihutubia kutoka madhabahuni. Mungu akawa amewasahaulisha na wskasahau mwendazake ilikuwa ni zake pia kuapisha jumapili.

Mareheme siku ya tatu kaburini watu walianzaa kumpakaza hii oil chafu kama mafuta.
Kweli kabisa

Report imesomwa jumapili
 
NAONA BAADA YA KUFIKA CHATO NA KUKOSA UONGO WABAYA WAKE WANATU'MIA RIPOTI T YA CAG KUMCHAFUA.






KUIZIMA NYOTA YA JPM ITAKUWA NGUMU SANA
Nani anaizima? Tatizo la ukweli huwa unashinda tu. Kama hakuna ufisadi itakuja kujulikana tu. Ila kama ulikuwepo basi wakati wa ukweli umefika. SSH amepewa nchi lazima aeleze wananchi amepewa nchi iliyo katika hali gani. Kama ni muongo ni suala la muda tu ukweli utakuwa wazi.
 
Yuko mtu anadanganywa na kadanganyika. Anafikiri hii nchi ikikwama watakao jibu ni wanao mdanganya. Kumbe watakuwa pembeni wakicheka na kutabasamu.

Hajui kwamba kajichafua na kuchafua anaofanya nao kazi. Sijui kazi atafanya na nani sasa? Unachafua mpaka Jeshi na vyombo vya Usalama kuwa havi kufanyakazi yake kikamilifu wakati ndio mbereko inayo kubeba kila uchao.
Usimtishe SSH. Hao kska zako wakikosea wasisemwe? Ukweli usisemwe? Kumbuka hata mjomba wako alikuwa akisisitiza.."msema kweli ni mpenzi wa Mungu" [emoji1787][emoji1787] au nasema uongo ndugu zangu?
 
View attachment 1747010

Mmesikia serikali ya wanyonge? Serikali takatifu ya shujaa wa Afrika, tuliyeambiwa amefuta ufisadi? Ngoja nikutajie machache;
Ujenzi wa SGR umesababisha hasara ya 3.5Bil kwa kuajiri wafanyakazi wa kigeni wasiokua na vibali.

Kigwangala alitumia 172M kuandaa Kili challenge lakini pesa hizo hazijulikani zilitumikaje (hazina risiti).

Akaunti ya jeshi la zimamoto ilitumika kupitisha 261M. Yani watu walipiga "mchongo" wakakosa akaunti ya kupitishia, wakatumia akaunti ya zimamoto. Zilipoingia wakazitoa wakasepa. Just imagine watu wana ujasiri wa kupitisha pesa chafu kwenye akaunti ya jeshi? Halafu tunaambiwa mwendazake alinyoosha nchi.
Wasafi walipewa 140M, TBC 201M na Clouds 629M kutangaza tamasha la Urithi Festival. Lakini hakuna mkataba wala risiti yoyote ya kujustify malipo hayo.
18Bil zilizokusanywa ktk wilaya 135 hazikufika serikalini. Yani zilikusanywa lakini wajanja wakalala nazo mbele.

3.9Bil zilitolewa kukarabati ndege ya ATCL iliyopaki tangu mwaka 2015, lakini hela imeliwa na ndege haijakarabatibwa. Yani watu walitafuna milioni 3,900 halafu hawakupaka hata rangi.Hayo ni baadhi tu ya "madudu" ya serikali takatifu ya mwendazake. Sijaongelea HESLB, TANAPA, TANROADS, SGR, Stligler's gorge, Stand ya Magufuli. Huko kuna madudu ya kutisha.

Lakini tuliaminishwa serikali ya mwendazake haikua na doa. Watu waliokosoa waliitwa vibaraka. Serikali takatifu haikutaka kunyooshewa kidole.
Tujifunze kutofautisha mtu msafi na anayeficha uchafu. Mwendazake hakua msafi bali alijua kuficha uchafu. Ndio maana akaminya uhuru wa habari. Hatukusikia skendo kama za Escrow tukadhani serikali yake ni safi, kumbe kuna skendo kubwa zaidi ya Escrow lakini zimefichwa uvunguni.Ndio maana nasema afadhali JK aliruhusu media ziwe huru. Skendo za Richmond, EPA, Escrow aliacha wananchi wajue. Lakini mwendazake alifunika skendo zisifike kwa wananchi.


Ndio maana watu wamemtania CAG atoe pia ripoti aliyopanga kumpa mwendazake, maana angekua hai asingethubutu kusema ATCL imepata hasara ya mabilioni, au SGR imeleta hasara, au mradi wa Stigler's umejaa madudu. Angeficha kwa sababu ndivyo mwendazake alivyopenda.

Tunahitaji viongozi wasafi, sio wanaojua kuficha uchafu.!

By Malisa Godlisten
Mtu mnyonge wa chini haangalii Makaburasha ya CAG wala hata hamjui CAG ndio nani na hahitaji kumjua .Yeye anaangalia mwanawe anaenda shule bure msingi hadi sekondari ? Vituo vya afya vipo? barabara zipo? Maji yapo? Machinga na mama Ntilie mazingira yako mazuri yapo? Hayo Magufuli alihangaika nayo na wanyonge wakamkubali hayo ya CAG mbaki nayo nyie msio wanyonge
 
Spidi aliulypkuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ichallenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani.

Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.

Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai

Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge

Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Unahisi mambo gani yalikua yanaenda kwa kasi wakati wa Magufuli na yatakwama baada ya wakati wa Magufuli?
 
Mtu mnyonge wa chini haangalii Makaburasha ya CAG wala hata hamjui CAG ndio nani na hahitaji kumjua yeye anaangalia mwanawe anaenda shule bure msingi hadi sekondari ? Vituo vya afya vipo? barabara zipo? Machinga na mama Ntilie mazingira yako mazuri yapo? Hayo Magufuli alihangaika nayo na wanyonge wakamkubali hayo ya CAG mbaki nayo nyie msio wanyonge

Mkuu Serikali ya wanyonge ilikuwa imemaliza ufisadi ,sasa "SIEIJII" mbona analeta mshikoror mageni?
 
Spidi aliulypkuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ichallenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani.

Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.

Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai

Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge

Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Ni mti wenye matunda mengi, hivyo pia mawe yanayopigwa Ni mengi.
Hapa viongozi wenzake wanaotawala muda huu waongeze umakini.
Kama ulivyosema mwandishi, mawe yote yapigwe lakini ile kasi ya maendeleo tuionayo wananchi
Iendelee.
Naona vyama vya upinzani wanna matumaini makubwa kushinda uchaguzi ujao kupitia mdundo huu wa muziki.
Kila la kheri , huenda mkashinda kiulaini saana..
 
Back
Top Bottom