Hayati Magufuli anashambuliwa kila kona. Siyo kesi, ila mambo yaende; yasipoenda wananchi watawazomea kila kona

Hayati Magufuli anashambuliwa kila kona. Siyo kesi, ila mambo yaende; yasipoenda wananchi watawazomea kila kona

Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake

Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.

Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai

Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge

Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
To every action there is an equal and opposite reaction.....they should know that... waiting for their actions...
 
Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake

Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.

Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai

Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge

Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Yote kwa yote muhimu ni kwamba wananchi wanahitaji maendeleo kama vile hospitali, maji safi na salama, ajira n.k
 
Kwa hiyo CAG ni msemaji pia waTraffic kuhusiana na foleni na misongamano ya magari kwenye stendi za nchi hii? Kwenye ukaguzi wake wa mahesabu? Hakuna stendi ngumu kuingia na kutoka kama ya Makumbusho.Sijaona kwenye ripoti ya mheshimiwa msemaji wa Traffic CAG.Mwakani aweke kwenye ripoti yake

CAG kazi yake pia kutoa mapendekezo ( faida na madhara ya mradi hivyo katoa onyo kuwa ule mradi utasababisha foleni)
 
Nilipoona MPANGO kaondolewa fedha na KABUDI hayupo tena foreign sisi wadadisi tukajua it's the end of MAGUFULI'S regime. Ngoja tuone ile kuchezewa alokuwa anasema mzee na safari hii watatuchezea mazima.
 
Kama unapingana na CAG lete naww ushahid wako Ili umsafishe mwendazake,

Ukweli lazima usemwe tuh,alikua kibaka,ni kibaka tuh no way out lazima tuseme

Ushahidi wa kimazingira ni pale CAG alipoenda siku ya tatu baada ya maziko ya mwenda zake akiwa kaburini kumpaka oil chafu chamwino. Petro alishuhudiwa na Mwananke Maria Magdalena sijui CAG alishuhudiwa na Mwanamke gani?
 
Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake

Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.

Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai

Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge

Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Unahisi wapi ameonewa, mwizi ni mwizi tu
 
Hajaacha deni tu acha uongo.kaacha vitu vilivyotumia hiyo pesa pia.Eti kaacha deni utafikiri hizo pesa alikopa akaenda kuweka pesa kwenye akaunti yake uswisi.

Lugha ya ki layman utafikiri mtu hata shule hukwenda. Hiyo miradi kila mkoa na wilaya huioni au ? Elimu bure huioni au ? umeme kila kijiji huuoni au? barabara kila kona huoni au? vituo vya afya kote nchini huoni au nk

Kipindi chake nchi ilikuwa inakopesheka na madeni yalikuwa yanalipika bila shida.Wakopeshaji walituamini

Twende sasa ni challenge kwa serikali iliyopo itamudu kukopesheka na kulipa madeni na kuendesha miradi nchi nzima kama Magufuli alivyomudu? muda ni mwalimu mzui.let us wait and see tuone matusi kwa Magufuli kama yana mantiki
Kipindi gani nchi ilikua haikopesheki?? Jinsi mnavyompamba mwendazake ni kama aliikuta Tz ipo kama kisiwa kisicho na kitu halafu yeye akaanza kukijenga. Ni kitu ambacho sicho kabisa yeye ameendeleza miradi ya waasisi wake na kuanzisha yake baadhi.

Kwa upande wangu naona Magufuli angeruhusu haya mambo kujadiliwa kipindi cha uhai wake hata sasa watu wangemsifu kwa mema aliyoyafanya. Kumbuka kipindi cha JK ufisadi ulikua mkubwa hiyo yote ni kwasababu aliruhusu mijadala lakini leo leo hii watanzania wengi wanamkumbuka JK kwa mema kwasababu mabaya yake wanayajua na mema pia. Lakini huyu ndugu mabaya aliyatia kwapani anatangaza mema tu. Watu waliyajaza kooni wakiamini ipo siku ya kuyatapika na imeahawadia sasa mnaanza kusema anachafuliwa.
 
Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake

Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.

Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai

Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge

Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Huna akili wewe mbona yeye aliwashambulia waliomtangulia?
 
Hajaacha deni tu acha uongo.kaacha vitu vilivyotumia hiyo pesa pia.Eti kaacha deni utafikiri hizo pesa alikopa akaenda kuweka pesa kwenye akaunti yake uswisi.

Lugha ya ki layman utafikiri mtu hata shule hukwenda. Hiyo miradi kila mkoa na wilaya huioni au ? Elimu bure huioni au ? umeme kila kijiji huuoni au? barabara kila kona huoni au? vituo vya afya kote nchini huoni au nk

Kipindi chake nchi ilikuwa inakopesheka na madeni yalikuwa yanalipika bila shida.Wakopeshaji walituamini

Twende sasa ni challenge kwa serikali iliyopo itamudu kukopesheka na kulipa madeni na kuendesha miradi nchi nzima kama Magufuli alivyomudu? muda ni mwalimu mzui.let us wait and see tuone matusi kwa Magufuli kama yana mantiki
Kwa hiyo ile 3bn waliyosema imerekebisha ndege kumbe ndege hazikufanyiwa chochote huoni kwamba hiyo ni hasara aliyotuachia?

Hivi huwa unatumia ubongo upi kufikiri?
 
Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake

Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.

Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai

Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge

Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Mkuu mti mwenye matunda matamu hurushiwa mawe kila kukicha, viatu vya mwendazake hakuna wa kuvivaa sasa wanaona dawa ni kumchafua, wanashindwa kufanya yale aliyokuwa anayafanya mwendazake, waone aibu kwanza kwa kuangalia alivyoliliwa na mamilioni ya watu,legacy haifutiki kwa kwa kusema ,nao waweke legacy zao na wamuache JPM wetu apumzike,kumsema marehemu ni dalili za kukosa heshima na utu kwa sisi ambao tumelelewa kwa kufuata maadili.
 
Muosha uoshwa ye alipokuwa akiwatuma kina veronica france musiba mulaga kuwananga wastaafu.Ukupiga kelele mbona?
Kwetu ni furaha tu huzuni yenu sio huzuni yetu.
Tunasubiria tu msimu wa korosho this time hakuna kizingiti lzm wanywee bia mbuzi.Tupo salama na mama akimaliza mitano tunamuongeza mitano tena.
 
Nilikua Ddodma St Gemma Hosp huku mtaani kusema Magu mbaya hawakuelewi yaani wamama wale wanamsifia na wanasema kabisa bila Magu mwanangu asingesoma yaani huyu baba sijui yani km tutapata km yeye.Mama SAMIA ajipange sana akifanya masihhara atazomewa kweli
Ni mtazamo wao wengine awajasoma wamekosa mikopo ya chuo sababu yake
 
Yuko mtu anadanganywa na kadanganyika. Anafikiri hii nchi ikikwama watakao jibu ni wanao mdanganya. Kumbe watakuwa pembeni wakicheka na kutabasamu.

Hajui kwamba kajichafua na kuchafua anaofanya nao kazi. Sijui kazi atafanya na nani sasa? Unachafua mpaka Jeshi na vyombo vya Usalama kuwa havi kufanya kazi yake kikamilifu wakati ndio mbereko inayo kubeba kila uchao.
Yaani kumbe tunao takataka kiasi hiki? Kwa hiyo mtu kama kala pesa za nchi asisemwe anyamaziwe tu kisa ni jeshi? Malaya mkubwa wewe
 
Hajaacha deni tu acha uongo.kaacha vitu vilivyotumia hiyo pesa pia.Eti kaacha deni utafikiri hizo pesa alikopa akaenda kuweka pesa kwenye akaunti yake uswisi.

Lugha ya ki layman utafikiri mtu hata shule hukwenda. Hiyo miradi kila mkoa na wilaya huioni au ? Elimu bure huioni au ? umeme kila kijiji huuoni au? barabara kila kona huoni au? vituo vya afya kote nchini huoni au nk

Kipindi chake nchi ilikuwa inakopesheka na madeni yalikuwa yanalipika bila shida.Wakopeshaji walituamini

Twende sasa ni challenge kwa serikali iliyopo itamudu kukopesheka na kulipa madeni na kuendesha miradi nchi nzima kama Magufuli alivyomudu? muda ni mwalimu mzui.let us wait and see tuone matusi kwa Magufuli kama yana mantiki
Stop being a dumbass!
 
Tulikuwa tukisema Magufuli anasifiwa na wananchi wasiojua lolote, ama wale waliokuwa wanafaidika na madaraka yake. Kwa wananchi wenye uelewa wa mambo tunajua ni kwa kiwango gani Magufuli ameiweka nchi hii kwenye wakati mgumu, kiuchumi, kisiasa na hata kijamii.

Namfananisha Magufuli na mwizi aliyejenga nyumba nyingi kwa fedha za wizi, ila baada ya kufariki madhambi yake yote kuwa hadharani na mali hizo kupotea.
Wapigaji wamerudi kwa kasi ili mambo yao yaende kazi ni moja kuua legacy yote ya mwendazake alafu waanze kupiga kama ilivyoada
 
Huyu alifurushwa kutoka TRA anaweza akatumiwa vilevile. Sisi tuliona siku ya tatu baada ya maziko hii ripoti kupokelewa na ilikuwa Jumapili.

Wapambe nuksi wakaanza kumchafua mwenda zake kwamba ingekuwa ni yeye angekuwa kanisani akihutubia kutoka madhabahuni. Mungu akawa amewasahaulisha na wakasahau mwendazake ilikuwa ni zake pia kuapisha jumapili.

Mareheme siku ya tatu kaburini watu walianza kumpakaza hii oil chafu kama mafuta.

Ila mimi huwaga siwaelewi baadhi ya watu kwaio hao mawaziri nao wanakubali waonekana wezi for the sake ya kuhujumu legacy ya mtu aliyejipumzikia ?? Haya watu wanamchafua ili kiwe nini ?? Nisaidie kuwaza
 
Back
Top Bottom