Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania haijawahi kuingia uchumi wa kati ndo mana waandishi wa habari walikiwa hawaruhusiwi kimhoji ili asiumbukeWee ni Mjinga... Wawekezaji wakimbie alafu aliwezaje kuingia Nchi katika Uchumi wa Daraja la Kati?.
Hivi vichwa vyenu Huwa vina matope?.
Wawekezaji ni ajira ndugu. Sasa hivi uwekezaji ni mwingi kuliko maelezo kwa seta nzuri za mamaKwani Sasa hivi mbona vijana wanaranda mitaani??
Ajira ziko wapi?
Mama yohana kazi ni kukoboa nafaka na wanawake wenzio mpaka anawagombanisha wale wapishi maarufu dar💔
We unaongea nini?
Kwamba waarabu ndo wa maana au sio?Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.
Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.
Nini madhara yake?
Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.
Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.
Bureu de changes nazo the same stories.
Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Shida siyo kuwathreaten mana mwekesaji loop hole ikiwepo lazima aibe. We uliyeingia madarakani kazi yako ni kuziba mianya tu kimyskimya. Huu ndo uongozi kama anayofanya SamiaNaona unaandika usichokijua au unatumia stori za mitaani. Hivi unajua benki ya Efata pamoja na covenant ni kwa kiasi ziliwaibia watanzania wa kipato cha chini?
Hivi unajua huyo anayesema alitengeneza ajira 400 ni kwa kiasi gani aliingizia hasara Serikali? Unamjua mtu ambaye Rais alisema amekopa benki tano bila kulipa akakimbia?
Tanzania kwa kiasi kikubwa hatukaribisha wawekezaji bali wadokozi ambao wanakuja kwa mgongi wa uwekezaji wakati wakiwa wababaishaji ndo maana hawataki viongozi wenye misimamo yake.
Pamoja na kwamba labda ulikuwa na hoja ili mifano uliyoitumia ukipata ukweli wake unajiona wewe MJINGA SANA.
Samahani na asante.
Sasa kama uwekezaji ni mwingi kuliko maelezo., Mbona hatuoni matunda matunda ya uwekezaji huo.Wawekezaji ni ajira ndugu. Sasa hivi uwekezaji ni mwingi kuliko maelezo kwa seta nzuri za mama
Ndo wameanza. Uwekezaji siyo kunywa kahawa ndugu. Ni long term investments.Sasa kama uwekezaji ni mwingi kuliko maelezo., Mbona hatuoni matunda matunda ya uwekezaji huo.
Matunda ya uwekezaji inabidi tuyaone watanzania wote na sio hao wenye mamlaka.
Kwa hyo matunda ya uwekezaji inabidi yaanze kuonekana kwa muda gani?Ndo wameanza. Uwekezaji siyo kunywa kahawa ndugu. Ni long term investments.
Awamu ya piliKwa hyo matunda ya uwekezaji inabidi yaanze kuonekana kwa muda gani?
Bro nyota njema huonekana asubuhi
Mama yohana anakaribisha wadokozi.
Kwanini tusianze kuona mimea ya matunda hayo Ulosema yataonekana awamu ya pili ikiwa inastawi vizuri.,katika hii awamu ya kwanza?Awamu ya pili
Kwanza alizuia demokrasia kwa kuwazuia upinzani kukosoa wala kufanya siasa. Hiintayari ni threat kwa mwekezajiMwekezaji anayefuata taratibu za nchi husika haogopi vitisho kwa sababu havimhusu.
Yaani kupitia hii mada nimekuona mtu wa hovyo sana hata kama una chuki na mtu jaribu kutafuta madhaifu yake yaliyo wazi siyo huu ujinga ulioleta hapa.
Nyie ndo mnatumika na hao wawekezaji wa kutoka Asia kuwadhulumu na kuwafanya watumwa watanzania kwa kigezo cha uwekezaji
Usiwe mtoto basi. Ngoja nikupe mfano. Mwekezaji labda wa kiwanda A unafikiri mpaka kifanye kazi kinachukua mda gani kama siyo five years and above.Kwanini tusianze kuona mimea ya matunda hayo Ulosema yataonekana awamu ya pili ikiwa inastawi vizuri.,katika hii awamu ya kwanza?
Bado hujajibu hoja yangu.Usiwe mtoto basi. Ngoja nikupe mfano. Mwekezaji labda wa kiwanda A unafikiri mpaka kifanye kazi kinachukua mda gani kama siyo five years and above.
HowBado hujajibu hoja yangu.
Yaani mwekezaji aogope eti kisa wapinzani wamezuiwa kufanya mikutano ya kisiasa? Ebu kuweni na aibu kidogo basi. Punguza kujidharirisha basi inatosha. Hivi wabongo huwa tunafikiri kuna nchi inayojari hizi biashara tunazoziita siasa?Kwanza alizuia demokrasia kwa kuwazuia upinzani kukosoa wala kufanya siasa. Hiintayari ni threat kwa mwekezaji
Kwanini tusianze kuona mimea ya matunda hayo Ulosema yataonekana awamu ya pili ikiwa inastawi vizuri.,katika hii awamu ya kwanza?
Kama sikosei mkuuu ulikwa una akili yako vizuri tu mwanzo ila sijui kimekukuta nni umegeuka praise TEAMNgoja wabeba jeneza waje