Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais wawekezaji wangekuwa wameshakimbia wote

Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais wawekezaji wangekuwa wameshakimbia wote

Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.

Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.

Nini madhara yake?

Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.

Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.

Bureu de changes nazo the same stories.

Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.

Kama hujui vitu uwe unauliza

Bank ya efatha haikufungwa na mafuli, ilifungwa na bank kuu

Na sababu ilikuwa ni mambo ya kisheria na ela za kuweka kama dhamana hawakuwa nazo ambazo zinaitajika kisheria

Au ww ulitaka watu waweke ela zao na siku wakienda kutoa waambiwe hakuna ela?

Magu hata kama ana mapungufu but ana mazuri yake mengi Sana

Hao vijana unasema mbona sasa hivi ndio wako wengi Sana mtaani?

Wanauza utumbo wa kuku Tu na bachelor zao
 
Kama hujui vitu uwe unauliza

Bank ya efatha haikufungwa na mafuli, ilifungwa na bank kuu

Na sababu ilikuwa ni mambo ya kisheria na ela za kuweka kama dhamana hawakuwa nazo ambazo zinaitajika kisheria

Au ww ulitaka watu waweke ela zao na siku wakienda kutoa waambiwe hakuna ela?

Magu hata kama ana mapungufu but ana mazuri yake mengi Sana

Hao vijana unasema mbona sasa hivi ndio wako wengi Sana mtaani?

Wanauza utumbo wa kuku Tu na bachelor zao
Hujui lolote. Magufuli ndo alikuwa bank kuu yeye mwenyewe, bunge yeye mwenyewe, mahaka yeye mwenyewe. Sheria zote zilikuwa paralysed chini ya yule dictator
 
Rule
😂😂😂 unachekesha sana kwa kweli.
Economics hii ninayoifahamu au ipi unayoizungumzia? Kuwa serious basi. Halafu acha kutumia neno economics kutetea ujinga wako.
Kwa hiyo wapinzani wakifanya mikutano ya kisiasa ndo rule of law?
Rule of law ni kuheshimu kilichoandikwa katika katiba mana ndo uliapiswa kwayo. Katiba inasema mikutano ya siasa ni ruksa halafu we unakataza. Huo si udictator
 
Hivi umeshawahi kuona maiha yanasubilishwa kwamba watu wafe kwanza halafu maendeleo yaje. Tanzania una technolojia gani ya kuchimba madini au kuendesha bandari? Yaani tuwe maskini ni rasilimali tunazo, huo si ujinga aliouleta nyerere na jpm. Madini lazima yachimbwe kwa namna yoyote ili serikali kupata mrahaba na kodi.

Unachosema ni sawa na masai kuwa na ngo'mbe mia mbili halafu anashindia matembele na hana pa kulala
Kweli nimejipa kazi kukuelimisha mjinga wewe.

1.Technology inanunuliwa,kama tulivyo fanya kwenye Treni na Bwawa la Umeme.(Kumbuka hii yote ni miradi ya Magu alianzisha yeye na Mama ameichelewesha tu kumalizia sababu hakusanyi mapato ipasavyo na anayapanya pesa hovyo)

Hivi unaelewa utekelezaji wa mkataba wa bandari?sisi tuko huku tunaona Ndio maana nikakuuliza unaelewa maana ya whalfage? Hukunijibu kitu. Nijibu kwanza hilo swali kisha nikupe elimu bure.
 
Haya sasa wakefanya mikutano na maandamano, wamevutia wawekezaji wangapi ambao wamekuja kwa sababu wapinzani wanafanya mikutano ya kisiasa?
Ni ajira ngapi zimetengenezwa na imesaidia vipi ukuaji wa uchumi wa nchi.

Hayo wapinzani wanaiheshimu hiyo katiba ya nchi na katiba zao?
Anyway, nishajua ni kwa namna gani ulivyo. Let us agree to disagree
Hujui kitu
 
Rule

Rule of law ni kuheshimu kilichoandikwa katika katiba mana ndo uliapiswa kwayo. Katiba inasema mikutano ya siasa ni ruksa halafu we unakataza. Huo si udictator

Alisema kila mtu afanye kwenye Jimbo lake, Kwa wabunge

Kama ww ni mbunge wa Arusha fanya mikutano yako Arusha sio unakuja dar kufanya mkutano
 
Alisema kila mtu afanye kwenye Jimbo lake, Kwa wabunge

Kama ww ni mbunge wa Arusha fanya mikutano yako Arusha sio unakuja dar kufanya mkutano
Hakuwa na mandate hiyo kikatiba. Katiba haisemi hivyo
 
Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.

Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.

Nini madhara yake?

Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.

Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.

Bureu de changes nazo the same stories.

Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Mawazo yako
 
Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.

Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.

Nini madhara yake?

Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.

Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.

Bureu de changes nazo the same stories.

Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
"NIKIWA RAIS MTALIMIA MENO"
 
Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.

Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.

Nini madhara yake?

Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.

Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri wkuwa atu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.

Bureu de changes nazo the same stories.

Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Ni aibu kwa nchi kuwa na jitu jinga kama wewe. Umewahi kuona wapi au kusikia nchi imekimbiwa na wawekezaji wote kwanza. Kumchafua Magufuli unapoteza muda Bure. Wewe pamoja na uzao wako wote mtakuwa wajinga milele. Jinga na zombie wewe. Na ufe kwa mapenzi ya mungu jinga wewe
 
Ni aibu kwa nchi kuwa na jitu jinga kama wewe. Umewahi kuona wapi au kusikia nchi imekimbiwa na wawekezaji wote kwanza. Kumchafua Magufuli unapoteza muda Bure. Wewe pamoja na uzao wako wote mtakuwa wajinga milele. Jinga na zombie wewe. Na ufe kwa mapenzi ya mungu jinga wewe
Amina
 
Mbona biashara zilifinga sana tena nyingi. Pale manzese ulikuwa ukienda mahoteli yote yamefunga ni vilio kwa kwenda mbele. Kariakoo maduka mengi yamefungwa ni kilio kila kona
Utawala wa Dkt Magufuli haukuruhusu biashara haramu kuendelea, yaani biashara nyingi zilikuwa ni vivuli vya biashara nyingine, na hakuna taifa linaweza kuendelea kwa biashara haramu. Na ukilinganisha biashara na wafanya biashara kabla na baada ya Dkt Samia wafanya biashara wanasema bora kipindi cha Dkt Magufuli. So baki na ujinga wako na kila mtu anamchukia Dkt Samia kuhusu uendeshaji mbovu wa nchi kupitia washauri wabovu na wajinga ka wewe.
 
Back
Top Bottom