- Thread starter
- #41
Wahuni ndo wanakuza pato we dogo unless hujui uchumi unavyifanya kazi. Nchi isiyokuwa na wahuni ni maskini sanaAngekuwepo wahuni wote angeshawaf.ra tofauti na wanavyokula kodi zetu leo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni ndo wanakuza pato we dogo unless hujui uchumi unavyifanya kazi. Nchi isiyokuwa na wahuni ni maskini sanaAngekuwepo wahuni wote angeshawaf.ra tofauti na wanavyokula kodi zetu leo!
Upuuzi mtupu!Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.
Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.
Nini madhara yake?
Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.
Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.
Bureu de changes nazo the same stories.
Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Jamaa kwenye uchumi alikuwa hamna kitu , alikuwa yupo vzuri kwenye ukiranja ( kusimamia) Ila sio kuongoza
Shida hujasoma economics. Democracy is a key point to investment since investors can choose channel his thoughts to anybody and be heard. Democracy guarantees rule of law of which investors are interested.Yaani mwekezaji aogope eti kisa wapinzani wamezuiwa kufanya mikutano ya kisiasa? Ebu kuweni na aibu kidogo basi. Punguza kujidharirisha basi inatosha. Hivi wabongo huwa tunafikiri kuna nchi inayojari hizi biashara tunazoziita siasa?
Magufuli mara ya mwisho alikuwa na wawekezaji kule Kabanga Nikeli.Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.
Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.
Nini madhara yake?
Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.
Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.
Bureu de changes nazo the same stories.
Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Wawekezaji wa kweli wangekuepo ila wakezaji uchwara kama do world na wale wa bagamoyo port wangekuwa wangetafuta mashimo ya kujifichaNajaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.
Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.
Nini madhara yake?
Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.
Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.
Bureu de changes nazo the same stories.
Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Hakuna mwekezaji mzalendo jata mmoja. Principals za uchumi zinakataa.Magufuli mara ya mwisho alikuwa na wawekezaji kule Kabanga Nikeli.
Wawekezaji makanjanja wakeshatema bungo. Wazalengo wangekuwa nchini kama wote.
Hakuna mwekezaji wa kweli duniani. Principals za uchumi zinakataaWawekezaji wa kweli wangekuepo ila wakezaji uchwara kama do world na wale wa bagamoyo port wangekuwa wangetafuta mashimo ya kujificha
Wawekezaji wa kweli wapo ila hao makanjanja na matapeli wako kina mwingira lazima wapotezwe tuHakuna mwekezaji wa kweli duniani. Principals za uchumi zinakataa
Principal za uchumi zinaseam hivi. If you want to make yourself better off you have to make someone worse off. Hii inaitwa pareto optimality. Kwa misingi hii hakuna mwekezaji wa kweli hata mmoja hata akina trump au elon musk wameiba sanaWawekezaji wa kweli wapo ila hao makanjanja na matapeli wako kina mwingira lazima wapotezwe tu
Je hukuona ile barua ya mabalozi waliolalamika kuhusu kufungiwa akaunti zao? Je hujaona rais aliyesema Dkt Magufuli anakodi za kukusanya kwa mtutu wa bunduki na yeye atakusanya kimdebwedo na walipa kodi wataenjoy na kaunda tume. Usiwe lijinga la kumsingizia Dkt Magufuli. Kwa taarifa yako kipindi cha Dkt Magufuli maisha yalikuwa predictable na wafanya biashara walikuwa na uhakika wa kulipa kodi lakini siyo leo ambapo kodi zinafujwa na hawaoni umuhimu wa kulipa kodiNajaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.
Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.
Nini madhara yake?
Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.
Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.
Bureu de changes nazo the same stories.
Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Ndo maana wezi wengine kama kina efatha walivyosanukiwa na JPM wakasepeshwa hatuwezi kuwa na benki uchwara kama ya efatha harafu iumize wananchi harafu serikali isiingilie katiPrincipal za uchumi zinaseam hivi. If you want to make yourself better off you have to make someone worse off. Hii inaitwa pareto optimality. Kwa misingi hii hakuna mwekezaji wa kweli hata mmoja hata akina trump au elon musk wameiba sana
Safi kabisa.Angekuwepo magufuli tungekuwa mbali sana kimaendeleo tofauti na sasa.kuna miradi mingi sana imekufa baada ya magufuli kufariki
Hebu jifunze kuficha mapungufu yako kijana,unanukia ujuaji sanaa.Ninachojua Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais basi Tanzania ingekuwa imeendelea kwa Kasi na Maradufu kuliko sasa, Wapumbavu, Wanafiki na Wendawazimu wangepungua kama si Kuisha kabisa na Thamani ya Shilingi ya Tanzania ingepaa zaidi, Uchumi kukua vizuri, Wakulima kuneemeka na Maisha ya Watanzania wa chini yangeimarika, Ushirikina na Mauwaji ya Vikongwe na Maalbino visingekuwepo, Ujambazi ungeota mbawa na Huduma maeneo mbalimbali nchini zingeendelea kuwa vizuri huku Dawa Mahospitalini zingekuwepo na Heshima ya Wauguzi na Madaktari kwa Wagonjwa ingekuwa ya juu huku Rushwa ikiwa ni Historia Tanzania.
Ukiona GENTAMYCINE nampenda sana Mtu fulani jua nimemuona ana Akili na ukiona namchukia mno jua hana Akili.
Rest In Peace Jemedari wangu Hayati Magufuli. Utapuuzwa na Kusemwa hovyo ila WATETEZI wako tupo na tunakuenzi.
Imeisha hiyo Kudadadeki..........!!!
Mbona biashara zilifinga sana tena nyingi. Pale manzese ulikuwa ukienda mahoteli yote yamefunga ni vilio kwa kwenda mbele. Kariakoo maduka mengi yamefungwa ni kilio kila konaJe hukuona ile barua ya mabalozi waliolalamika kuhusu kufungiwa akaunti zao? Je hujaona rais aliyesema Dkt Magufuli anakodi za kukusanya kwa mtutu wa bunduki na yeye atakusanya kimdebwedo na walipa kodi wataenjoy na kaunda tume. Usiwe lijinga la kumsingizia Dkt Magufuli. Kwa taarifa yako kipindi cha Dkt Magufuli maisha yalikuwa predictable na wafanya biashara walikuwa na uhakika wa kulipa kodi lakini siyo leo ambapo kodi zinafujwa na hawaoni umuhimu wa kulipa kodi
Sasa bila mwekezaji huo unakuwa ni uchumi? Ajira nani atazitoa au watu wangeishi bila kula na maisha yakae da tu. Unaongea kama layman usiyejua chochoteBora wawekezaji wasiwepo kuliko hawa wezi mnaowaleta mkishirikiana nao kuiba
Hebu weka upumbavu wako pembeni? Madini yanaoza? Jibu ni hayaozi.Sasa kuna haja gani ya kusaini mikataba mibovu yakinyonyaji mpaka kuwatoa wamasai ngorongoro mkawape wawekezaji? Dont be a fool.Sasa bila mwekezaji huo unakuwa ni uchumi? Ajira nani atazitoa au watu wangeishi bila kula na maisha yakae da tu. Unaongea kama layman usiyejua chochote
Hivi umeshawahi kuona maiha yanasubilishwa kwamba watu wafe kwanza halafu maendeleo yaje. Tanzania una technolojia gani ya kuchimba madini au kuendesha bandari? Yaani tuwe maskini ni rasilimali tunazo, huo si ujinga aliouleta nyerere na jpm. Madini lazima yachimbwe kwa namna yoyote ili serikali kupata mrahaba na kodi.Hebu weka upumbavu wako pembeni? Madini yanaoza? Jibu ni hayaozi.Sasa kuna haja gani ya kusaini mikataba mibovu yakinyonyaji mpaka kuwatoa wamasai ngorongoro mkawape wawekezaji? Dont be a fool.
Tumegawa badadari ya Dar gate number 1-5 lakini anaekusanya Whalfage ni mgeni na inaingia kwa account yake.
Kisha akupe gawio? Unaelewa maana ya Whalfage? Ni mambo ya hovyo sanaaa.Mbona hawakukimbia alipokuwepo Magufuli walibaki na wakacomply ?
Unajua Twiga Minerals ni jitihada za Marehemu Magufuli mapaka serikali sasa ina hisa 15%.
Kama wanafuata sheria na mikataba yao ni haki kwanini wakimbie.
Leo Hii serikali ya Mama imesaini mikataba ya hovyo na kufanya ni Siri.
Siri gani kama sio upigaji .