Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais wawekezaji wangekuwa wameshakimbia wote

Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais wawekezaji wangekuwa wameshakimbia wote

Ninachojua Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais basi Tanzania ingekuwa imeendelea kwa Kasi na Maradufu kuliko sasa, Wapumbavu, Wanafiki na Wendawazimu wangepungua kama si Kuisha kabisa na Thamani ya Shilingi ya Tanzania ingepaa zaidi, Uchumi kukua vizuri, Wakulima kuneemeka na Maisha ya Watanzania wa chini yangeimarika, Ushirikina na Mauwaji ya Vikongwe na Maalbino visingekuwepo, Ujambazi ungeota mbawa na Huduma maeneo mbalimbali nchini zingeendelea kuwa vizuri huku Dawa Mahospitalini zingekuwepo na Heshima ya Wauguzi na Madaktari kwa Wagonjwa ingekuwa ya juu huku Rushwa ikiwa ni Historia Tanzania.

Ukiona GENTAMYCINE nampenda sana Mtu fulani jua nimemuona ana Akili na ukiona namchukia mno jua hana Akili.

Rest In Peace Jemedari wangu Hayati Magufuli. Utapuuzwa na Kusemwa hovyo ila WATETEZI wako tupo na tunakuenzi.

Imeisha hiyo Kudadadeki..........!!!
Jiwe anateseka motoni kwa madhambi yake ya utekaji, uuaji na upotezaji
 
Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.

Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.

Nini madhara yake?

Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.

Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.

Bureu de changes nazo the same stories.

Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
images.jpeg-190.jpg
images.jpeg-90.jpg
 
Tungekuwa tumeshanasa kama taifa uwepo wape umewanufaisha nchi jirani mfano KENYA,MALAWI,ZAMBIA,UGANDA n.k
 
Back
Top Bottom