GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama ulivyo Mpiga Mluzi / Mbinua Mchanga Wewe.Mpoli mpoli on the move
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ulivyo Mpiga Mluzi / Mbinua Mchanga Wewe.Mpoli mpoli on the move
Jiwe anateseka motoni kwa madhambi yake ya utekaji, uuaji na upotezajiNinachojua Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais basi Tanzania ingekuwa imeendelea kwa Kasi na Maradufu kuliko sasa, Wapumbavu, Wanafiki na Wendawazimu wangepungua kama si Kuisha kabisa na Thamani ya Shilingi ya Tanzania ingepaa zaidi, Uchumi kukua vizuri, Wakulima kuneemeka na Maisha ya Watanzania wa chini yangeimarika, Ushirikina na Mauwaji ya Vikongwe na Maalbino visingekuwepo, Ujambazi ungeota mbawa na Huduma maeneo mbalimbali nchini zingeendelea kuwa vizuri huku Dawa Mahospitalini zingekuwepo na Heshima ya Wauguzi na Madaktari kwa Wagonjwa ingekuwa ya juu huku Rushwa ikiwa ni Historia Tanzania.
Ukiona GENTAMYCINE nampenda sana Mtu fulani jua nimemuona ana Akili na ukiona namchukia mno jua hana Akili.
Rest In Peace Jemedari wangu Hayati Magufuli. Utapuuzwa na Kusemwa hovyo ila WATETEZI wako tupo na tunakuenzi.
Imeisha hiyo Kudadadeki..........!!!
Huna Akili.Jiwe anateseka motoni kwa madhambi yake ya utekaji, uuaji na upotezaji
Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.
Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.
Nini madhara yake?
Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.
Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.
Bureu de changes nazo the same stories.
Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Wanateseka wale wa freemason waliouza nafsi zao mapema kwa bwana shetaniJiwe anateseka motoni kwa madhambi yake ya utekaji, uuaji na upotezaji
Freemason na mtekaji wote wabayaWanateseka wale wa freemason waliouza nafsi zao mapema kwa bwana shetani
Endelea kubisha kina sugu na kabendera walipoteza wazazi wao kisa kibri xa mwendakuzimuHuna Akili.
Pamoja na kujitutumua ila huyo mtu wenu hajui kitu kwenye biashara na Uchumi kulinganisha na Samia 👇👇
Pamoja na kujitutumua ila huyo mtu wenu hajui kitu kwenye biashara na Uchumi kulinganisha na Samia 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C-KNa9mtcI7/?igsh=MXJpenhidzByc2xhbA==
Nafasi zipi zilizouzwa?Nyie mnajua biashara mmeuza hadi nafsi zenu kwa mabwana zenu , endeleeni na kujua vizuri biashara........kikubwa mtakatifu hakuuza nafsi yake wala nchi yake
Alikuwa mwanadamu naye pia
Alaumiwe Kwa mabaya yake na pia ashukuriwe Kwa mazuri yakee .
Yt ya yt tuseme apumzike alipo Kwa ss.......
Nyie mnajua biashara mmeuza hadi nafsi zenu kwa mabwana zenu , endeleeni na kujua vizuri biashara........kikubwa mtakatifu hakuuza nafsi yake wala nchi yake
Wa kile kikundi wanajua waliyofanya na mikataba yao ya kuuza nafsi............wanataka kua wajuzi zaidi,,,,shida hata mabwana zao kwa sasa hali ni ngumuBwana gani tena anayewanunua watu bila utaratibu?
Efatha kwani bank mchongo ipo? Wajanja washafanya yao. Waliopanda mbegu hawana pa kuzidai 😂 😂 😂 😂Bank ya Efatha na FnB ziajiri watu 2000 😄
Ilipigagwa 🔒Efatha kwani bank mchongo ipo? Wajanja washafanya yao. Waliopanda mbegu hawana pa kuzidai 😂 😂 😂 😂
Mtazijua au waulizeni magodifaza wenu wanajua.......tena ni nafsi sio nafasi blaza au bado mnawaza uteuzi tuNafasi zipi zilizouzwa?
🔨🔨 Bado hujasema Hadi useme 👇👇Mtazijua au waulizeni magodifaza wenu wanajua.......tena ni nafsi sio nafasi blaza au bado mnawaza uteuzi tu
🔨🔨🔨🔨👇👇Aaah Mama kazi iendeleee hapo hakuna shida kabisa tunapiga salute.........shida ni nyie wazuri hawafi acheni kujificha mambo waaazi kabisa