Lucas philipo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,039
- 2,676
What a very dumbass being in the universe!!Stupid [emoji242]
Magufuli will remain the best president ever!
You're an embicile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What a very dumbass being in the universe!!Stupid [emoji242]
To your familyWhat a very dumbass being in the universe!!
Magufuli will remain the best president ever!
You're an embicile.
wewe ni mmoja wa mfano wa viongozi wengi waliolikwamisha hili taifa yani unawaza kufanya jambo linalikidhi idadi ya watu waliopo bila kufikiria mbele this is bulls**iEti abiria 2700!!!ki ukweli hakukuwa na umuhimu huo kwani iliyopo Mv.victoria ina toshereza sana na hata hao abiria inayotakiwa kubeba haiwapati hata nusu nusu yake,sembuse hao abiria 1200!!!?Huo nao ni mmoja wa miradi isiyo na tija kama ile mingine.Bora hata hiyo meli ingekuwa ziwa Tanganyika kule ki uhalisia kuna matatizo ya usafiri hasa,
Wewe mbwa una mema gani uliyoyafanya hapa duniani kama siyo ujinga????Hana mema aliyofanya
Jinga kweli weweBaada ya Jiwe kutwaliwa naona vibaraka wake mnaishi maisha ya kupe tu kwa shemeji zenu
He was a man beyond our time wamebaki madunga embe wanamtukana na kumlaani kwa kuwaharibia ulaji.Mwaka 1996 wakati ajali kubwa ikitokea Ziwa Victoria mimi nilikuwa Ukraine nikiwa nimemaliza mwaka wa kwanza wa lugha nikijitayarisha kuingia mwaka wa masomo. Nakumbuka namna sisi watanzania tulivyoanzisha mjadala juu ya ajali hiyo iliyoua ndugu na jamaa zetu wengi.
Mwaka huu itatimia miaka 27 tangu msiba ule utokee. Huwa tunalo tatizo la kutoa takwimu halisi za vifo haswa kwa malengo ya kisiasa yenye nia ya kujaribu kupunguza hasira za walengwa wa moja kwa moja wa ajali (victims). Ni hulka iliyoendelea kuwepo kwa muda mrefu. Ukisika wamekufa watu 10,000 basi tambua ni zaidi ya 30,000 wamepoteza maisha.
Sina uhakika kama hayati JPM alipoteza ndugu zake wa karibu katika msiba ule mzito. Lakini kwa maamuzi ya kutoangalia watasema nini wale wakosoaji wa kila jambo akaamua kwa ushujaa kuanza kujenga meli kubwa ili itumike katika Ziwa Victoria. Ni maamuzi ya kijasiri sana na ya kizalendo.
Kuwa tayari huku mtaani watu walalamike vyuma vimekaza lakini serikali yake ikiwa inafanya kazi yenye kuacha kitu chenye kuonekana maishani mwetu (tangible).
Serikali ya JPM licha ya lawama na upungufu wa hapa na pale lakini iliweza kwa kiasi kikubwa kupambana kuacha vitu vyenye kuonekana na vyenye kuweza kupigiwa hesabu vimenunuliwa kwa pesa kiasi gani.
Manunuzi ya ndege mpya na ukarabati wa viwanja kadhaa, ujenzi wa daraja la Busisi na haya ya hapa Dar, na mambo mengi yenye kuonekana na hivyo kuchangia katika mzunguko wa pesa kiuchumi na kuinua kiwango cha maisha cha watu hao hao.
Vilio vya wote waliofiwa na ndugu zao pale ziwani tarehe 21 May 1996 angalau vimefutwa machozi na uwepo wa Meli yenye kuweza kubeba watu 2700 na tani 400 za bidhaa mbalimbali.
Wale watoto waliokuwa yatima kwa sababu ya ajali ile katili, angalau wanacho chombo cha kusafiria wakiwa na amani moyoni.
Wale wajane walioishi miaka 27 wakiwaombea misa maalum wenza wao kila siku makanisani wanacho chombo cha kusafiria chenye kulingana na uzito wa kodi wanayolipa kila wanaponunua chochote mahali popote.
JPM kwa hii meli ya Ziwa Victoria mimi kama mtu mwenye asili ya kanda ya ziwa nitakuenzi daima. Ulale mahali pema peponi.
Tulio kuwa rohoni tuliona Eng ingezima kumbe kweli bwana ila ataishi kwa miaka mingi na uwenda matendo yake yatalitikisa TaifaMwaka 1996 wakati ajali kubwa ikitokea Ziwa Victoria mimi nilikuwa Ukraine nikiwa nimemaliza mwaka wa kwanza wa lugha nikijitayarisha kuingia mwaka wa masomo. Nakumbuka namna sisi watanzania tulivyoanzisha mjadala juu ya ajali hiyo iliyoua ndugu na jamaa zetu wengi.
Mwaka huu itatimia miaka 27 tangu msiba ule utokee. Huwa tunalo tatizo la kutoa takwimu halisi za vifo haswa kwa malengo ya kisiasa yenye nia ya kujaribu kupunguza hasira za walengwa wa moja kwa moja wa ajali (victims). Ni hulka iliyoendelea kuwepo kwa muda mrefu. Ukisika wamekufa watu 10,000 basi tambua ni zaidi ya 30,000 wamepoteza maisha.
Sina uhakika kama hayati JPM alipoteza ndugu zake wa karibu katika msiba ule mzito. Lakini kwa maamuzi ya kutoangalia watasema nini wale wakosoaji wa kila jambo akaamua kwa ushujaa kuanza kujenga meli kubwa ili itumike katika Ziwa Victoria. Ni maamuzi ya kijasiri sana na ya kizalendo.
Kuwa tayari huku mtaani watu walalamike vyuma vimekaza lakini serikali yake ikiwa inafanya kazi yenye kuacha kitu chenye kuonekana maishani mwetu (tangible).
Serikali ya JPM licha ya lawama na upungufu wa hapa na pale lakini iliweza kwa kiasi kikubwa kupambana kuacha vitu vyenye kuonekana na vyenye kuweza kupigiwa hesabu vimenunuliwa kwa pesa kiasi gani.
Manunuzi ya ndege mpya na ukarabati wa viwanja kadhaa, ujenzi wa daraja la Busisi na haya ya hapa Dar, na mambo mengi yenye kuonekana na hivyo kuchangia katika mzunguko wa pesa kiuchumi na kuinua kiwango cha maisha cha watu hao hao.
Vilio vya wote waliofiwa na ndugu zao pale ziwani tarehe 21 May 1996 angalau vimefutwa machozi na uwepo wa Meli yenye kuweza kubeba watu 2700 na tani 400 za bidhaa mbalimbali.
Wale watoto waliokuwa yatima kwa sababu ya ajali ile katili, angalau wanacho chombo cha kusafiria wakiwa na amani moyoni.
Wale wajane walioishi miaka 27 wakiwaombea misa maalum wenza wao kila siku makanisani wanacho chombo cha kusafiria chenye kulingana na uzito wa kodi wanayolipa kila wanaponunua chochote mahali popote.
JPM kwa hii meli ya Ziwa Victoria mimi kama mtu mwenye asili ya kanda ya ziwa nitakuenzi daima. Ulale mahali pema peponi.
Jibu swali wewe sio unajifanya kujibaraguza na vijimaswali vya hovyo hovyo.Hivi na corona ipo kwenye magonjwa mtambuka?
Mmawia naona unaumia sana sijui ukiwa wapi?. JPM alikuwa binadamu lakini aliyejielewa sana.Baada ya Jiwe kutwaliwa naona vibaraka wake mnaishi maisha ya kupe tu kwa shemeji zenu
Ulitaka awe wapi muda huu?, alishawahi kuwa rais wa tano wa TZ, wewe hata kufagia pale ikulu huwezi kupata hiyo ajira. Debe tupu.Leo yuko wapi?
Hata kuunda meli kwa ajili ya wananchi wa eneo lake ni thawabu tupu kwa muumba, ukumbuke hilo.Si Samia wala Jiwe waliojenga ile meli, meli imejengwa(imeundwa) na kampuni ya nje kwa malipo ya fedha za walipa kodi.
Mwandawazimu/Mwendakuzimu aliharibu sana mazuzu mpaka pesa za kodi za wananchi waliona ya kwamba ni fedha zake binafsi, yaani kwamba fedha zilizokuwa hazina ilikuwa kama ni personal account yake.
Magufuli ana pesa ya kuuunda meli?Mwaka 1996 wakati ajali kubwa ikitokea Ziwa Victoria mimi nilikuwa Ukraine nikiwa nimemaliza mwaka wa kwanza wa lugha nikijitayarisha kuingia mwaka wa masomo. Nakumbuka namna sisi watanzania tulivyoanzisha mjadala juu ya ajali hiyo iliyoua ndugu na jamaa zetu wengi.
Mwaka huu itatimia miaka 27 tangu msiba ule utokee. Huwa tunalo tatizo la kutoa takwimu halisi za vifo haswa kwa malengo ya kisiasa yenye nia ya kujaribu kupunguza hasira za walengwa wa moja kwa moja wa ajali (victims). Ni hulka iliyoendelea kuwepo kwa muda mrefu. Ukisika wamekufa watu 10,000 basi tambua ni zaidi ya 30,000 wamepoteza maisha.
Sina uhakika kama hayati JPM alipoteza ndugu zake wa karibu katika msiba ule mzito. Lakini kwa maamuzi ya kutoangalia watasema nini wale wakosoaji wa kila jambo akaamua kwa ushujaa kuanza kujenga meli kubwa ili itumike katika Ziwa Victoria. Ni maamuzi ya kijasiri sana na ya kizalendo.
Kuwa tayari huku mtaani watu walalamike vyuma vimekaza lakini serikali yake ikiwa inafanya kazi yenye kuacha kitu chenye kuonekana maishani mwetu (tangible).
Serikali ya JPM licha ya lawama na upungufu wa hapa na pale lakini iliweza kwa kiasi kikubwa kupambana kuacha vitu vyenye kuonekana na vyenye kuweza kupigiwa hesabu vimenunuliwa kwa pesa kiasi gani.
Manunuzi ya ndege mpya na ukarabati wa viwanja kadhaa, ujenzi wa daraja la Busisi na haya ya hapa Dar, na mambo mengi yenye kuonekana na hivyo kuchangia katika mzunguko wa pesa kiuchumi na kuinua kiwango cha maisha cha watu hao hao.
Vilio vya wote waliofiwa na ndugu zao pale ziwani tarehe 21 May 1996 angalau vimefutwa machozi na uwepo wa Meli yenye kuweza kubeba watu 2700 na tani 400 za bidhaa mbalimbali.
Wale watoto waliokuwa yatima kwa sababu ya ajali ile katili, angalau wanacho chombo cha kusafiria wakiwa na amani moyoni.
Wale wajane walioishi miaka 27 wakiwaombea misa maalum wenza wao kila siku makanisani wanacho chombo cha kusafiria chenye kulingana na uzito wa kodi wanayolipa kila wanaponunua chochote mahali popote.
JPM kwa hii meli ya Ziwa Victoria mimi kama mtu mwenye asili ya kanda ya ziwa nitakuenzi daima. Ulale mahali pema peponi.
Zitakuja meli kubwa zaidi itasahaulika tu.Mwaka 1996 wakati ajali kubwa ikitokea Ziwa Victoria mimi nilikuwa Ukraine nikiwa nimemaliza mwaka wa kwanza wa lugha nikijitayarisha kuingia mwaka wa masomo. Nakumbuka namna sisi watanzania tulivyoanzisha mjadala juu ya ajali hiyo iliyoua ndugu na jamaa zetu wengi.
Mwaka huu itatimia miaka 27 tangu msiba ule utokee. Huwa tunalo tatizo la kutoa takwimu halisi za vifo haswa kwa malengo ya kisiasa yenye nia ya kujaribu kupunguza hasira za walengwa wa moja kwa moja wa ajali (victims). Ni hulka iliyoendelea kuwepo kwa muda mrefu. Ukisika wamekufa watu 10,000 basi tambua ni zaidi ya 30,000 wamepoteza maisha.
Sina uhakika kama hayati JPM alipoteza ndugu zake wa karibu katika msiba ule mzito. Lakini kwa maamuzi ya kutoangalia watasema nini wale wakosoaji wa kila jambo akaamua kwa ushujaa kuanza kujenga meli kubwa ili itumike katika Ziwa Victoria. Ni maamuzi ya kijasiri sana na ya kizalendo.
Kuwa tayari huku mtaani watu walalamike vyuma vimekaza lakini serikali yake ikiwa inafanya kazi yenye kuacha kitu chenye kuonekana maishani mwetu (tangible).
Serikali ya JPM licha ya lawama na upungufu wa hapa na pale lakini iliweza kwa kiasi kikubwa kupambana kuacha vitu vyenye kuonekana na vyenye kuweza kupigiwa hesabu vimenunuliwa kwa pesa kiasi gani.
Manunuzi ya ndege mpya na ukarabati wa viwanja kadhaa, ujenzi wa daraja la Busisi na haya ya hapa Dar, na mambo mengi yenye kuonekana na hivyo kuchangia katika mzunguko wa pesa kiuchumi na kuinua kiwango cha maisha cha watu hao hao.
Vilio vya wote waliofiwa na ndugu zao pale ziwani tarehe 21 May 1996 angalau vimefutwa machozi na uwepo wa Meli yenye kuweza kubeba watu 2700 na tani 400 za bidhaa mbalimbali.
Wale watoto waliokuwa yatima kwa sababu ya ajali ile katili, angalau wanacho chombo cha kusafiria wakiwa na amani moyoni.
Wale wajane walioishi miaka 27 wakiwaombea misa maalum wenza wao kila siku makanisani wanacho chombo cha kusafiria chenye kulingana na uzito wa kodi wanayolipa kila wanaponunua chochote mahali popote.
JPM kwa hii meli ya Ziwa Victoria mimi kama mtu mwenye asili ya kanda ya ziwa nitakuenzi daima. Ulale mahali pema peponi.
Kwako weweJPM anabaki kuwa Rais bora kuwahi kutokea Tanzania.
Ashukuriwe Mungu kwa zawadi ya maisha ya mtumishi wake hakika aliletea Taifa mwanga.
Tanzania inamkumbuka na itandelea kumkumbuka daima.
I reserve my comments. Kujenga meli ni kitu kimoja na meli kutembea ndani ya maji kwa tija ni kitu kingine. Tusubiri muda utatupa majibuNenda katafute rekodi za kiserikali. Nimeleta huo uzi kwa heshima ya wengi walioteseka hapo ziwani kwa miaka mingi.
JPM na madhambi yake yote kwa kujenga hiyo meli ameliweka hai jina lake miongoni mwa watu wa kanda ya ziwa.
Cha muhimu ni watu kupata huduma wakitaka kusafiri ziwani, mengine ni maongezi yasiyo na tija.Magufuli ana pesa ya kuuunda meli?
Wewe ulizaliwa bahati mbaya.Baba yako alikuwa anapiga punyeto mama yako akamfuma ndio akamuomba amalizie bao asimwage mbegu chooni ndio ukapatikana wewe.ndio maana akili zako kama za mavi sababu Baba yako angekumwaga chooni.Unaonekana wazazi wako walikupatia kwenye mkesha wa mbio za mwenge.
Mwaka 1996 wakati ajali kubwa ikitokea Ziwa Victoria mimi nilikuwa Ukraine nikiwa nimemaliza mwaka wa kwanza wa lugha nikijitayarisha kuingia mwaka wa masomo. Nakumbuka namna sisi watanzania tulivyoanzisha mjadala juu ya ajali hiyo iliyoua ndugu na jamaa zetu wengi.
Mwaka huu itatimia miaka 27 tangu msiba ule utokee. Huwa tunalo tatizo la kutoa takwimu halisi za vifo haswa kwa malengo ya kisiasa yenye nia ya kujaribu kupunguza hasira za walengwa wa moja kwa moja wa ajali (victims). Ni hulka iliyoendelea kuwepo kwa muda mrefu. Ukisika wamekufa watu 10,000 basi tambua ni zaidi ya 30,000 wamepoteza maisha.
Sina uhakika kama hayati JPM alipoteza ndugu zake wa karibu katika msiba ule mzito. Lakini kwa maamuzi ya kutoangalia watasema nini wale wakosoaji wa kila jambo akaamua kwa ushujaa kuanza kujenga meli kubwa ili itumike katika Ziwa Victoria. Ni maamuzi ya kijasiri sana na ya kizalendo.
Kuwa tayari huku mtaani watu walalamike vyuma vimekaza lakini serikali yake ikiwa inafanya kazi yenye kuacha kitu chenye kuonekana maishani mwetu (tangible).
Serikali ya JPM licha ya lawama na upungufu wa hapa na pale lakini iliweza kwa kiasi kikubwa kupambana kuacha vitu vyenye kuonekana na vyenye kuweza kupigiwa hesabu vimenunuliwa kwa pesa kiasi gani.
Manunuzi ya ndege mpya na ukarabati wa viwanja kadhaa, ujenzi wa daraja la Busisi na haya ya hapa Dar, na mambo mengi yenye kuonekana na hivyo kuchangia katika mzunguko wa pesa kiuchumi na kuinua kiwango cha maisha cha watu hao hao.
Vilio vya wote waliofiwa na ndugu zao pale ziwani tarehe 21 May 1996 angalau vimefutwa machozi na uwepo wa Meli yenye kuweza kubeba watu 2700 na tani 400 za bidhaa mbalimbali.
Wale watoto waliokuwa yatima kwa sababu ya ajali ile katili, angalau wanacho chombo cha kusafiria wakiwa na amani moyoni.
Wale wajane walioishi miaka 27 wakiwaombea misa maalum wenza wao kila siku makanisani wanacho chombo cha kusafiria chenye kulingana na uzito wa kodi wanayolipa kila wanaponunua chochote mahali popote.
JPM kwa hii meli ya Ziwa Victoria mimi kama mtu mwenye asili ya kanda ya ziwa nitakuenzi daima. Ulale mahali pema peponi.
Mwaka 1996 wakati ajali kubwa ikitokea Ziwa Victoria mimi nilikuwa Ukraine nikiwa nimemaliza mwaka wa kwanza wa lugha nikijitayarisha kuingia mwaka wa masomo. Nakumbuka namna sisi watanzania tulivyoanzisha mjadala juu ya ajali hiyo iliyoua ndugu na jamaa zetu wengi.
Mwaka huu itatimia miaka 27 tangu msiba ule utokee. Huwa tunalo tatizo la kutoa takwimu halisi za vifo haswa kwa malengo ya kisiasa yenye nia ya kujaribu kupunguza hasira za walengwa wa moja kwa moja wa ajali (victims). Ni hulka iliyoendelea kuwepo kwa muda mrefu. Ukisika wamekufa watu 10,000 basi tambua ni zaidi ya 30,000 wamepoteza maisha.
Sina uhakika kama hayati JPM alipoteza ndugu zake wa karibu katika msiba ule mzito. Lakini kwa maamuzi ya kutoangalia watasema nini wale wakosoaji wa kila jambo akaamua kwa ushujaa kuanza kujenga meli kubwa ili itumike katika Ziwa Victoria. Ni maamuzi ya kijasiri sana na ya kizalendo.
Kuwa tayari huku mtaani watu walalamike vyuma vimekaza lakini serikali yake ikiwa inafanya kazi yenye kuacha kitu chenye kuonekana maishani mwetu (tangible).
Serikali ya JPM licha ya lawama na upungufu wa hapa na pale lakini iliweza kwa kiasi kikubwa kupambana kuacha vitu vyenye kuonekana na vyenye kuweza kupigiwa hesabu vimenunuliwa kwa pesa kiasi gani.
Manunuzi ya ndege mpya na ukarabati wa viwanja kadhaa, ujenzi wa daraja la Busisi na haya ya hapa Dar, na mambo mengi yenye kuonekana na hivyo kuchangia katika mzunguko wa pesa kiuchumi na kuinua kiwango cha maisha cha watu hao hao.
Vilio vya wote waliofiwa na ndugu zao pale ziwani tarehe 21 May 1996 angalau vimefutwa machozi na uwepo wa Meli yenye kuweza kubeba watu 2700 na tani 400 za bidhaa mbalimbali.
Wale watoto waliokuwa yatima kwa sababu ya ajali ile katili, angalau wanacho chombo cha kusafiria wakiwa na amani moyoni.
Wale wajane walioishi miaka 27 wakiwaombea misa maalum wenza wao kila siku makanisani wanacho chombo cha kusafiria chenye kulingana na uzito wa kodi wanayolipa kila wanaponunua chochote mahali popote.
JPM kwa hii meli ya Ziwa Victoria mimi kama mtu mwenye asili ya kanda ya ziwa nitakuenzi daima. Ulale mahali pema peponi.
Picha ya meli ikwapi?