Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
- Thread starter
- #61
Ambao hawakumwelewa Jpm ni walee, vyeti feki na wapumbavu pumbavu hivi kama wewe yaaniWewe na familia yako mkimpa inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ambao hawakumwelewa Jpm ni walee, vyeti feki na wapumbavu pumbavu hivi kama wewe yaaniWewe na familia yako mkimpa inatosha
Tunaposema Magufuli alikuwa psychiatric watu wanabisha. Lakini nashukuru mtoa mada kwenye makala yako umeeanza na jengo la TANESCO.Kama alivyowahi kunukuliwa akisema, Jengo la Tanesko ubungo, akitokea kiongozi mwenye kusimamia sheria, litavunjwa tuu, na hatimaye akaja kushika mwenyewe na likavunjwa,
?
Jengo lile lilikuwa ndani ya barabaraTunaposema Magufuli alikuwa psychiatric watu wanabisha. Lakini nashukuru mtoa mada kwenye makala yako umeeanza na jengo la TANESCO.
Ni miaka 5 sasa jengo la TANESCO limevunjwa nusu. Bado barabara ya Mwendokasi haijasogea kabisa. Iko mbali sana. Kweli kulikuwa na sababu gani kubomoa jengo la TANESCO la siyo UKICHAA?
Kama unataka kumpa tuzo sawa inakubalika ila mpe tuzo ya MAAMUZI ya HOVYO
Katembee Japan, Malaysia hata SA uone namna barabara zinavyoingiliana na majengo. Sasa alibomoa mbona barabara haijafika kule?Jengo lile lilikuwa ndani ya barabara
Unaweza kumuelewa taahira?Ambao hawakumwelewa Jpm ni walee, vyeti feki na wapumbavu pumbavu hivi kama wewe yaani
Ujinga tupu, nchi imekushindeni, tozo kila pahala, huduma hovyo, kazi kula Kwa kamba, umeme ndo kabisaa! Mnatangaza mitambo tu ya umeme kuharibikq nq migao ya umeme, wakati mlidai mpewe miezi miwili ya kufanyia ukarabati wa mitambo,Unaweza kumuelewa taahira?
Usisahau kumpa na tuzo hii hapa 👇
Kama alivyowahi kunukuliwa akisema, Jengo la Tanesko ubungo, akitokea kiongozi mwenye kusimamia sheria, litavunjwa tuu, na hatimaye akaja kushika mwenyewe na likavunjwa,
Na sasa, akija kutokea Rais asiye na unafki ndani yake, lazima JPM atapewa tuzo!
Tunaposema JPM (hayati) anastahili tuzo ya heshima kuhusu kulinda rasilimali na kufanikiwa sana kupunguza kero Kwa wananchi tuna maanisha
Kipimo ni hizi hizi tawala zilizokuwepo na zilizopo!
Staki nirudi nyuma huko kwenye Richimondi, Epa, escrow n.k
Huko nyuma kulinuka wizi nchi nzima, huduma za hovyo kila pahala, viongozi watu waliitwa majina mengi, miongoni mwao ni wazee wa kuchekacheka n.k
Tukija hapa tulipo, bila shaka hakuna hata mmoja asiyepata majeraha makali ya tozo na kodi zisizo na majina, huduma mbovu mahospitalini, ukipeleka wagonjwa unakutana na madaktari walioko chuo wakisoma bado na wengine wakiwa field, utampangaje zamu dakitari anayesoma bado kuhudumia mgonjwa siriaz? Matokeo yake ni wagonjwa kufariki ama kuzidiwa Kwa sababu ya mambo ya kizembe kama hayo
Ukija kwenye suala la nishati ya umeme, Hayati alipondwa Kwa maneno yote kwamba alikuwa mkamuaji tu wa maziwa bila kumlisha ng"ombe ili anenepe na kuendelea kutoa maziwa mengi, tukadhani ni kweli wasemacho, na tulipewa miezi miwili ya ukarabati wa miundombinu yote ya Mitambo ya TaNesco, miezi hiyo ikaisha, kilichofuata, kila mtanzania ni shahidi
Tukirudi kwenye uwekezaji wa uzalishaji wa Umeme JKHP, kulisemwa lugha mbalimbali baada tu ya kuingia wajuvi, tukaamini labda huwenda ni kweli,
Kabla ya wajuvu kuingia, tulikuwa tumepewa na tarehe ya kujazwa maji bwawa hilo, wajuvi walipoingia, tukaambiwa, bwawa hilo halitajazwa ispokuwa kuagizwe kifaa ambacho nchini hakipo, sasa ni karibu mwaka toka kuagizwe kifaa hicho cha kusaidia kujazwa maji bwawa letu na bado mpaka sasa hakuna cha maji kujazwa na sina hakika kama hata hicho kifaa kilishagakuja!
Kiukweli, tunahitaji kuona kila kinachokuwa kimesemwa, kinafanyika na kinaanza kutumika!
JPM, (hayati) alikuwa akisema, tayari kitu kinafanywa na kinanza kutumika Kwa manufaa ya nchi, hakuwa mtu wa porojo,
Ukweli na matendo yake mengi ya kitendaji, yaliufunika uwingi wa udhaifu wake na kuanza kuaminiwa saana na wananchi hasa wale waliokuwa hawapati haki zao kwenye tawala zilizowahi kuwepo
mf, wamama ntilie, wamachinga, wafugaji na wakulima, waliiamini sana serikari yake! Migogoro mingi ya wafugaji na wakulima, migogoro ya aridhi ilidhibitiwa na kusababisha kutamalaki Kwa amani
JPM (hayati) alihakikisha kuwa, Rasilimali za nchi, zinalindwa Kwa nguvu zote na kwamba, ziwanufaishe wananchi na kwamba, nchi yetu inakuwa ni kituo cha mataifa mbalimbali kuja ama kuleta madini yao kuja kuuza na kununua hapa
JPM (hayati) alianzisha masoko ya madini kila eneo lnalochima madini nchini, Sielewi Kwa sasa ikiwa maono haya makubwa yanaendelezwa Kwa kasi ilelie
Tubayo mengi mazuri ya kujifunza Kutoka Kwa kiongozi huyu ambapo Kwa wengi wa watanzania hata sasa bado wanamnena kusema, laiti angelikuwepo?
Tusingeona tozo katikati ya mdoloro wa kiuchumi duniani,
Swali ni... Ikiwa kuna mdorolo wa uchumi duniani,
Je, Wananchi mdororo huu hauwaathiri? Kwa nini waongezewe tozo ili hali dunia inapitia uharibifu wa Uchumi?
Usirudie tena kutuletea mada za huyu mtekaji, muuaji, mporaji na mfitini hapa jukwaani.
Ukiambiwa uthibishe huna point weng mnachuki binafsi
Mshenzi Sana yule!
Ndugu yangu shida yetu ss watanzania huwa hatujui nn tunataka na nn hatutaki.MUNGU akituletea mtu bado hatuwezi kung'amua na kuelewa na wakati mwingine tunasema huyu si afadhali afe tu, swali je akifa utapata nn,watu wengi tulimuomba MUNGU alete mtu wa aina ile ya Magufuli,MUNGU akasikia kilio chetu akajibu kwa kumleta Magufuli tukaanza tena kulalamika,Sasa MUNGU akasema mbona hawa watoto siwaelewi,kumbe ngoja nimchukue Magufuli John alafu hawa kwa sababu hawaeleweki ngoja kwanza wapite kwenye tanuri la Moto labla watapata AKILI.Tukichoka na msululu wa Tozo twende tukapige Magoti mbele za MUNGU Kumuomba MSAMAHA nadhani atatusikia maana MUNGU ni msikivu.Kama alivyowahi kunukuliwa akisema, Jengo la Tanesko ubungo, akitokea kiongozi mwenye kusimamia sheria, litavunjwa tuu, na hatimaye akaja kushika mwenyewe na likavunjwa,
Na sasa, akija kutokea Rais asiye na unafki ndani yake, lazima JPM atapewa tuzo!
Tunaposema JPM (hayati) anastahili tuzo ya heshima kuhusu kulinda rasilimali na kufanikiwa sana kupunguza kero Kwa wananchi tuna maanisha
Kipimo ni hizi hizi tawala zilizokuwepo na zilizopo!
Staki nirudi nyuma huko kwenye Richimondi, Epa, escrow n.k
Huko nyuma kulinuka wizi nchi nzima, huduma za hovyo kila pahala, viongozi watu waliitwa majina mengi, miongoni mwao ni wazee wa kuchekacheka n.k
Tukija hapa tulipo, bila shaka hakuna hata mmoja asiyepata majeraha makali ya tozo na kodi zisizo na majina, huduma mbovu mahospitalini, ukipeleka wagonjwa unakutana na madaktari walioko chuo wakisoma bado na wengine wakiwa field, utampangaje zamu dakitari anayesoma bado kuhudumia mgonjwa siriaz? Matokeo yake ni wagonjwa kufariki ama kuzidiwa Kwa sababu ya mambo ya kizembe kama hayo
Ukija kwenye suala la nishati ya umeme, Hayati alipondwa Kwa maneno yote kwamba alikuwa mkamuaji tu wa maziwa bila kumlisha ng"ombe ili anenepe na kuendelea kutoa maziwa mengi, tukadhani ni kweli wasemacho, na tulipewa miezi miwili ya ukarabati wa miundombinu yote ya Mitambo ya TaNesco, miezi hiyo ikaisha, kilichofuata, kila mtanzania ni shahidi
Tukirudi kwenye uwekezaji wa uzalishaji wa Umeme JKHP, kulisemwa lugha mbalimbali baada tu ya kuingia wajuvi, tukaamini labda huwenda ni kweli,
Kabla ya wajuvu kuingia, tulikuwa tumepewa na tarehe ya kujazwa maji bwawa hilo, wajuvi walipoingia, tukaambiwa, bwawa hilo halitajazwa ispokuwa kuagizwe kifaa ambacho nchini hakipo, sasa ni karibu mwaka toka kuagizwe kifaa hicho cha kusaidia kujazwa maji bwawa letu na bado mpaka sasa hakuna cha maji kujazwa na sina hakika kama hata hicho kifaa kilishagakuja!
Kiukweli, tunahitaji kuona kila kinachokuwa kimesemwa, kinafanyika na kinaanza kutumika!
JPM, (hayati) alikuwa akisema, tayari kitu kinafanywa na kinanza kutumika Kwa manufaa ya nchi, hakuwa mtu wa porojo,
Ukweli na matendo yake mengi ya kitendaji, yaliufunika uwingi wa udhaifu wake na kuanza kuaminiwa saana na wananchi hasa wale waliokuwa hawapati haki zao kwenye tawala zilizowahi kuwepo
mf, wamama ntilie, wamachinga, wafugaji na wakulima, waliiamini sana serikari yake! Migogoro mingi ya wafugaji na wakulima, migogoro ya aridhi ilidhibitiwa na kusababisha kutamalaki Kwa amani
JPM (hayati) alihakikisha kuwa, Rasilimali za nchi, zinalindwa Kwa nguvu zote na kwamba, ziwanufaishe wananchi na kwamba, nchi yetu inakuwa ni kituo cha mataifa mbalimbali kuja ama kuleta madini yao kuja kuuza na kununua hapa
JPM (hayati) alianzisha masoko ya madini kila eneo lnalochima madini nchini, Sielewi Kwa sasa ikiwa maono haya makubwa yanaendelezwa Kwa kasi ilelie
Tubayo mengi mazuri ya kujifunza Kutoka Kwa kiongozi huyu ambapo Kwa wengi wa watanzania hata sasa bado wanamnena kusema, laiti angelikuwepo?
Tusingeona tozo katikati ya mdoloro wa kiuchumi duniani,
Swali ni... Ikiwa kuna mdorolo wa uchumi duniani,
Je, Wananchi mdororo huu hauwaathiri? Kwa nini waongezewe tozo ili hali dunia inapitia uharibifu wa Uchumi?
Daaah! Mkuu, umesema Yale yote ambayo sisi jamii ya kitanzania asilimia kubwa huwa tuko hivyoNdugu yangu shida yetu ss watanzania huwa hatujui nn tunataka na nn hatutaki.MUNGU akituletea mtu bado hatuwezi kung'amua na kuelewa na wakati mwingine tunasema huyu si afadhali afe tu, swali je akifa utapata nn,watu wengi tulimuomba MUNGU alete mtu wa aina ile ya Magufuli,MUNGU akasikia kilio chetu akajibu kwa kumleta Magufuli tukaanza tena kulalamika,Sasa MUNGU akasema mbona hawa watoto siwaelewi,kumbe ngoja nimchukue Magufuli John alafu hawa kwa sababu hawaeleweki ngoja kwanza wapite kwenye tanuri la Moto labla watapata AKILI.Tukichoka na msululu wa Tozo twende tukapige Magoti mbele za MUNGU Kumuomba MSAMAHA nadhani atatusikia maana MUNGU ni msikivu.
Hakuna lolote. Vitu pekee ambavyo Magufuli anamzidi Samia ni; Kuua wakosoaji, UDIKTETA, kudhibiti bunge, kuitisha Mahakama, kubana vyombo vya habari na kukurupuka kwenye maamuzi.Daaah! Mkuu, umesema Yale yote ambayo sisi jamii ya kitanzania asilimia kubwa huwa tuko hivyo
Binafs kulingana na niliyoshuhudia tawala zilizopita na ninazoendelea kuzishuhudia, kwangu Mimi JPM ni Mtu na kiongozi aliyekitendea haki kiti cha urais,
Rais anapaswa awe ni MTU mwenye wivu na maendrleo na mwenye kuchukizwa na wizi wa Mali za nchi yake, mwenye kuwaonea huruma wanamchi wake, ni jasiri asiyeogopa vikundi vya watu watishao ili tu wengi wapate manufaa
nimepenyezewa hapa, za ndani ndani zinasema wiki ijayo suala lako la uteuzi linaenda kukamilika, unaenda kuzawadiwa u-DC.Naunga mkono hoja, na tayari rais huyo yupo, JPM atapewa hiyo tuzo na Samia.
P
Kuuwa legacy ni mpaka kizazi chote kilichoshuhudia aliyoyafanya kifeKi ukweli, JPM alikuwa ni Kiongozi wa aina ya pekee sana.
Alikuwa mzalendo wa kweli wa Nchi yake, aliwapenda sana Wananchi wake hasa wale ambao walipuuzwa katka Tawala zilizopita.
Aliumia sana anapoona Watanzania wanapata taabu. Alipoingia tu madarakani, vibaka, Panyaroads, walarushwa, Majangili, watekaji wa magari walipotea ghafla kwa speed ya ajabu.
Kwa sasa wakubwa wanachokifanya ni kujaribu kuharibu Legacy ya JPM.
Mimi nawaambia, hawataweza. JPM alikuwa ni Rais wa aina yake.
Siku zote wa MBILI huwa havai MOJA.
Ebu fikiri, kila mtu huku mtaani anataja jina la JPM. Kwamba angekuwepo, haya yanayotukumba sasa yasingekuwepo(Mfumuko wa bei, Tozo nk.)
Mungu mwenye huruma ailaze pema roho ya Mtumishi wake JPM. Amiiiiiiiina.
Amen Amen!nimepenyezewa hapa, za ndani ndani zinasema wiki ijayo suala lako la uteuzi linaenda kukamilika,
Duh...!. nilidhani ni uteuzi wa lile jambo langu, kumbe ni U DC?!, mimi saa hizi nakwenda 60!, U DC wa nini?!.unaenda kuzawadiwa u-DC.
Duh... umenikumbusha mbali sana!, nitakuwekea picha yangu mara yangu ya kwanza kuvaa Kaunda Suit na hiyo hiyo ndio ya mwisho!, yaani in my life, nimewahi kuvaa Kaunda Suit mara moja, ndio mara ya kwanza na ya mwisho!. Hivyo just thinking kuanza tena kuvaa Kaunda Suit, makes me sick!. Dress code ya lile jambo langu ni suti suti kweli!.hakikisha kabati lako la nguo linakuwa na kaunda suti nyingi.
Nikikumbuka dhalimu alivyotupiga 1.5t na akalitisha bunge na vyombo vya habari, nashukuru yaliyotokea March mwaka jana.